Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,277
- 9,912
Kigezo cha Gari kuwa Dadadala ni lazima liwe Bovu? Nenda stendi zote, Dar, Dodoma, Arusha, ukiacha zile zinazofanya ruti ndefu lakini zingine zote magari ni mabovu kiasi ambacho zingine ukiwa ndani unaona chini.
Lakini sioni mammlaka husika zikifanya kazi yake.
Zamani kwa mabasi yalikuwa yanafanya ruti zake kutoka makumbusho kwenda Posta zilikuwa zinasifika kwa ubora wake, siku hizi ni balaa tu gari ni mbovu, gari imepigwa rangi nje ukiingia ndani ni uozo mtupu.
Inafikirisha sana kuona usafiri wa Daladala ni kama mateso na dhamha ili hali kwa wenzetu waliostarabika ni usafiri rahisi wa jumuiya.
Lakini sioni mammlaka husika zikifanya kazi yake.
Zamani kwa mabasi yalikuwa yanafanya ruti zake kutoka makumbusho kwenda Posta zilikuwa zinasifika kwa ubora wake, siku hizi ni balaa tu gari ni mbovu, gari imepigwa rangi nje ukiingia ndani ni uozo mtupu.
Inafikirisha sana kuona usafiri wa Daladala ni kama mateso na dhamha ili hali kwa wenzetu waliostarabika ni usafiri rahisi wa jumuiya.