Nampa ushauri wa bure Waziri wa Ujenzi za kuondoa kero ya foleni Dar es Salaam. Kujenga barabara kila kona sio suluhisho la kudumu, kila siku watu wanaongezeka na kuingia Dar es Salaam. Kifuatacho kifanyike
Kujenga bandari kubwa ya nchi kavu maeneo ya kibaha au mkoa wa Pwani, then kujenga reli itakayotoka bandarini Dar moja kwa moja hadi kibaha kwaajili ya Treni ya Mizigo ya kuchukoa macontainer kutoka Dar hadi kibaha. Malori yote yaanzie Kibaha kwenda mikoani, Dar kubaki malori yanayobeba mizigo ya Dar tu. Pia Reli hii itatumika kupitia treni la abiria pia.
Pia wafufue usafiri wa treni Dar, Moja ianzie Posta, kupitia Kariakoo, Manzese, Ubungo, Kimara, Mbezi hadi kibamba. Nyingine Kariakoo hadi uwanja ndege, Tabata.Nyingine Posta, Mwenge, Mbezi beach, Tegeta, book bunju.
Kuanzisha usafiri wa Makampuni ili kuimarisha usafiri wa uma, vigari vidogo vyote kuondolewa.
Magari binafsi yapungue hasa sehemu zenye treni.
Hizi mbinu ni za kudumu, ujenzi wa barabara sio suluhisho sana. Pia usafiri imara na wa uhakika itapunguza kasi ya watu kuagiza magari au kutumia magari yao kwenda mjini.
Kujenga bandari kubwa ya nchi kavu maeneo ya kibaha au mkoa wa Pwani, then kujenga reli itakayotoka bandarini Dar moja kwa moja hadi kibaha kwaajili ya Treni ya Mizigo ya kuchukoa macontainer kutoka Dar hadi kibaha. Malori yote yaanzie Kibaha kwenda mikoani, Dar kubaki malori yanayobeba mizigo ya Dar tu. Pia Reli hii itatumika kupitia treni la abiria pia.
Pia wafufue usafiri wa treni Dar, Moja ianzie Posta, kupitia Kariakoo, Manzese, Ubungo, Kimara, Mbezi hadi kibamba. Nyingine Kariakoo hadi uwanja ndege, Tabata.Nyingine Posta, Mwenge, Mbezi beach, Tegeta, book bunju.
Kuanzisha usafiri wa Makampuni ili kuimarisha usafiri wa uma, vigari vidogo vyote kuondolewa.
Magari binafsi yapungue hasa sehemu zenye treni.
Hizi mbinu ni za kudumu, ujenzi wa barabara sio suluhisho sana. Pia usafiri imara na wa uhakika itapunguza kasi ya watu kuagiza magari au kutumia magari yao kwenda mjini.