fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,109
- 8,131
Kuna uzi wangu mmoja nilielezea sana namna nilivyokuwa nachomekea shati kwenye suruali.
Leo nataka nilelezee kidogo kuhusu usafi wangu wa mwili. Muhimu ni haya mambo 2:
1.Kupiga mswaki, ambapo huwa napiga mara 3 kwa siku yaani asubuhi nikiamka,mchana baada ya kula na usuku baada ya kula.Hivi nafanya hata nikisafiri,iwekibinafsi au kikazi kwenye kuna mswaki na dawa ya meno.
Napopiga mswaki huwa sisukutui kabisa mdomo baada ya kupiga mswaki,yaani nikimaliza kuoiga mswaki nachukua maji ama yaliyochemshwa au ya kununua na naweka mdomoni,nayazungusha mdomoni nakuyameza sisukutui na kuyatema,na huiacha dawa ya meno kwa dakika 2 mdomoni bila kuweka maji.Situmii toothpicks kabisa.
2.Usafi wa masikio, situmii earbuds kabisa, uchafu wa masikio naosha kwa maji tu. Hii inaniwezesha kulinda meno yangu na masikio yangu.Mpaka sasa ninaelekea miaka 65,nimetoa jino moja tu la juu.
Leo nataka nilelezee kidogo kuhusu usafi wangu wa mwili. Muhimu ni haya mambo 2:
1.Kupiga mswaki, ambapo huwa napiga mara 3 kwa siku yaani asubuhi nikiamka,mchana baada ya kula na usuku baada ya kula.Hivi nafanya hata nikisafiri,iwekibinafsi au kikazi kwenye kuna mswaki na dawa ya meno.
Napopiga mswaki huwa sisukutui kabisa mdomo baada ya kupiga mswaki,yaani nikimaliza kuoiga mswaki nachukua maji ama yaliyochemshwa au ya kununua na naweka mdomoni,nayazungusha mdomoni nakuyameza sisukutui na kuyatema,na huiacha dawa ya meno kwa dakika 2 mdomoni bila kuweka maji.Situmii toothpicks kabisa.
2.Usafi wa masikio, situmii earbuds kabisa, uchafu wa masikio naosha kwa maji tu. Hii inaniwezesha kulinda meno yangu na masikio yangu.Mpaka sasa ninaelekea miaka 65,nimetoa jino moja tu la juu.

