masengobangu
Senior Member
- Feb 25, 2014
- 127
- 131
Poleni na uchovu wa jana na juzi,
Yametokea malalmiko makubwa kutoka kwa akina dada kwamba mwanaume amemfatilia kwa muda mrefu lakini baada ya kummega tu hajarudi tena,ingawa kunaweza kukawa na sababu nyingi lakini kubwa ni USAFI.
Unakuta mwanamke mzuri ,ana shape ya kumtajia mshahara wako wa mwezi lakini ananuka jasho,ajajisafisha sehemu za siri,nywele za siri hajanyoa hana analolijua kitandani.Kwa hali hii mwanaume kurudi inahitaji nguvu za giza.
Inashangaza kwa karne hii mwanamke unanuka mdomo?kweli? .Pia unakuta mwanamke nje amevaa vizuri ila nguo za ndani kama sidiria,taiti na chupi zimechakaaa au kama ni nyeupe unakuta zimefubaa,kweli mwanaume atarudi kwa hali hii?.
Inasemekana moja ya UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME unatokana na uchafu wa akina dada coz ukiona hali hiyo uwezo wa kupiga mbili huwezi kua nao coz hamasa yote inaisha na ukijitahidi utapiga moja basi.
BADILIKENI akina dada,usafi ndiyo silaha muhimu yakufanya usiachwe au kusalitiwa.
Yametokea malalmiko makubwa kutoka kwa akina dada kwamba mwanaume amemfatilia kwa muda mrefu lakini baada ya kummega tu hajarudi tena,ingawa kunaweza kukawa na sababu nyingi lakini kubwa ni USAFI.
Unakuta mwanamke mzuri ,ana shape ya kumtajia mshahara wako wa mwezi lakini ananuka jasho,ajajisafisha sehemu za siri,nywele za siri hajanyoa hana analolijua kitandani.Kwa hali hii mwanaume kurudi inahitaji nguvu za giza.
Inashangaza kwa karne hii mwanamke unanuka mdomo?kweli? .Pia unakuta mwanamke nje amevaa vizuri ila nguo za ndani kama sidiria,taiti na chupi zimechakaaa au kama ni nyeupe unakuta zimefubaa,kweli mwanaume atarudi kwa hali hii?.
Inasemekana moja ya UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME unatokana na uchafu wa akina dada coz ukiona hali hiyo uwezo wa kupiga mbili huwezi kua nao coz hamasa yote inaisha na ukijitahidi utapiga moja basi.
BADILIKENI akina dada,usafi ndiyo silaha muhimu yakufanya usiachwe au kusalitiwa.