USA, mataifa mengi Ulaya na India ni miongoni mwa ambao ndege zao bado haziruhusiwi kuingia Kenya, natumai hawatalialia kama Watanzania

Hilo la kufukuzwa kazi ni mambo ya mtu binafsi na hayatuhusu humu, nimekushangaa kumbe uko hovyoo kiasi hicho, humu hatujadili matatizo binafsii ya watu, tunajadili udhaifu wenu kwenye kupambana na corona na kulialia mkilazimisha kuingia kwenye mataifa ya watu.
Mtu wa ovyo ni wewe unayeshadadia mambo yasiyokuhusu nadhani siku hizi huna kazi za kufanya. Wanaolialia ni ninyi Wakenya mliozuiwa kuleta vindege vyenu...
 
Ilipotolewa orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuingia Kenya, na humo Watanzania wakaona zao hazimo, jamaa wamelialia sana ikiwemo hata wale ambao hawajawahi kukaribia uwanja wa ndege na wala hata siku moja hawategemei kuiona ndege wachilia mbali hata kuabiri. Taifa lote kuanzia walalahoi mitaa ya mabandani Tandale, kwenda mikoani vijijini na kote waliifanya kama ndio habari kubwa ya nchi, kila mmoja akawa kama aliyefiwa. Hehehe bandugu zetu huwa mnachekesha sana.

Sasa kwa taarifa zenu, mikakati ya kuzuia baadhi ya mataifa haikufanywa kwa kuzingatia chuki kama mlivyo, tumezuia hata mabeberu USA na washirika wake, maana kwao taarifa za corona hazijakaa sawa, kirusi kinawatesa sana, japo wanatoa taarifa, wanapima na kutoa taarifa, hawajajichokea kama Tanzania ambao wametelekeza zoezi lote na kuachia kila mtu ajiaminishe hakuna corona, aidha ajifie au apone mwenyewe huko atajijua.

Yaani ni kama demu anataka mfanye naye tendo ila hataki mpime UKIMWI, ameng'ang'ania kwamba yeye anajijua yuko sawa na kwamba UKIMWI ni gonjwa la mabeberu na halimhusu na hatoruhusu hata utumie kinga, mfanye naye hivyo hivyo kavu. Watanzania walianza kung'ang'ania mpakani kwamba waingie bila kupimwa, tukakomaa mpaka wakaachia, leo hii wanapimwa na wataalam wetu.

Hii ya ndege pia wameng'ang'ania, sema wataruhusiwa ila lazima tuwapime, ukija Kenya kaa ukijua lazima uwe tayari kupanua mdomo kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo. Hatutaki kuvuna mabua kisa tumecheka nanyi.

========

Kenya has excluded the US and the major European nations from a list of countries whose nationals will be allowed in when international flights resume from tomorrow.

A protocol guiding the resumption of international flights only has Canada, Switzerland, Japan, China and South Korea outside of Africa in the list of 11 countries whose citizens will initially be allowed into Kenya.

This means China is the only country among the top 10 nations that accounted for most of the tourists to Kenya last time that is on the list.

Also on the list are Zimbabwe, Ethiopia, Uganda and, Rwanda, Morocco and Namibia.

The list excludes countries like US, Tanzania, Britain and India, which brought in 743,310 tourists to Kenya or 37.1 percent of the two million travellers.

Source: Business Daily
Nadhan unaelewa pia kuwa na KQ haitui huko. Kama ndege zao haziruhusiwi kutua kenya its obvioursly hata zenu haziruhusiwi kutua kwao. Ndivyo na sisi tulifanya. Wala sio tatizo. Tumewazuia mmeleta kulia lia. Kwan a kimyaa kungekuwa na tatizo gan.

Sent from my LG-K520 using JamiiForums mobile app
 
Hamtakiwi popote duniani, mumejiponza kwa hilo la kujichokea, ona hii ramani mlivyotiwa nyekundu, nyie pekee yenu ukanda wote huu wa EAC na kati... Kwamba lazima mpimwe mara mbili, mumewekwa kwenye orodha ya mataifa hatari.
Sasa mnalialia kwa Kenya, na hawa mtawalilia kivipi, watawaskliza?


2473175_20200801_164531.jpg

Tz tuko na problem
 
Wewe unajua maana ya 'kulia' au unarukia maneno bila kujua maana.

Tanzania haijaongea chochote zaidi ya kujibu mapigo kwa maamuzi yenu ya kifala na kukaa kimya.

Kwa kupanua uwezo wako finyu wa kiswahili; Kulialia maana yake ni kulalamikia jambo ili upate huruma ya mwenye maamuzi.

Sasa, kati ya Tz 'the great' na pashikuna Kenya nani analialia🤔

Usiwe unatetea ujinga ..mimi ni mtz ila kuna vitu tutumiage akili

Kama sisi tumeamua liwalo na liwe basi si kila nchi iko hivo
 
Usiwe unatetea ujinga ..mimi ni mtz ila kuna vitu tutumiage akili

Kama sisi tumeamua liwalo na liwe basi si kila nchi iko hivo
Ujinga gani nimetetea..!?
Soma kwa makini nilichoandika. Kama bado hujaelewa tatizo litakuwa ni uwezo wako wa kuelewa kuwa mdogo.

Kuwa mtanzania hakuondoi ujinga kichwani, wako watz wapuuzi pia.
 
Mimi hizi taarifa nimezisikia leo, kumbe kulikuwa na tit for tat na hatimaye kenya kasalimu amri.
kwa nini wakenya wameshindwa kuelewa watanzania miaka yote hii.

Hii sio southern Sudan.

Hii united republic jamani.

Umesikia leo pia umeonesha ufinyu wako wa kufikiri leo leo
 
Ujinga gani nimetetea..!?
Soma kwa makini nilichoandika. Kama bado hujaelewa tatizo litakuwa ni uwezo wako wa kuelewa kuwa mdogo.

Kuwa mtanzania hakuondoi ujinga kichwani, wako watz wapuuzi pia.

Rudia ulichoandika acha kuwa.....wa
 
Back
Top Bottom