mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,203
- 44,651
Kama sisi ambao tupo salama hatutakiwi.
Vipi nyie mnaokufa kama kuku wa mdondo?.
Uzuri data HAZIDANGANYI.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Vipi nyie mnaokufa kama kuku wa mdondo?.
Uzuri data HAZIDANGANYI.
Hamtakiwi popote duniani, mumejiponza kwa hilo la kujichokea, ona hii ramani mlivyotiwa nyekundu, nyie pekee yenu ukanda wote huu wa EAC na kati... Kwamba lazima mpimwe mara mbili, mumewekwa kwenye orodha ya mataifa hatari.
Sasa mnalialia kwa Kenya, na hawa mtawalilia kivipi, watawaskliza?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app