USA, mataifa mengi Ulaya na India ni miongoni mwa ambao ndege zao bado haziruhusiwi kuingia Kenya, natumai hawatalialia kama Watanzania

Kama sisi ambao tupo salama hatutakiwi.
Vipi nyie mnaokufa kama kuku wa mdondo?.
Uzuri data HAZIDANGANYI.
Hamtakiwi popote duniani, mumejiponza kwa hilo la kujichokea, ona hii ramani mlivyotiwa nyekundu, nyie pekee yenu ukanda wote huu wa EAC na kati... Kwamba lazima mpimwe mara mbili, mumewekwa kwenye orodha ya mataifa hatari.
Sasa mnalialia kwa Kenya, na hawa mtawalilia kivipi, watawaskliza?


2473175_20200801_164531.jpg
Screenshot_20200802-061523.jpg


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Nimesema na narudia tena, naelewa kiwango cha elimu kwenu huwa hovyoo na huchukua kuda sana kuelewa chochote, Kenya imeweka kwenye orodha mataifa ambayo yanadhihirisha jitihada zao dhidi ya corona zinafua dafu, jiulize kwanini majimbo fulani ya Marekani, India, Uhispania, Sweden hawapo kwenye hiyo orodha, na kuna mataifa mengi tu bara uropa hayapo. Sasa nyie msiokua na jitihada zozote ila mnang'ang'ania kwa njaa zenu muingie kwenye mataifa ya watu.
Iv ww mitihan yako ulikuwa unajibu vp ? Ktk title ya uzi wako Umention USA haukutaja majimbo ... Ukitaja USA ... Unafahamu una maanisha nn ? Acha kula mirungi na bange ww
 
Wewe mpuuzi ndio unafanya jamii za kiafrika zinaonekana ni kama mifugo.

Unaelewa hata hoja ya watz wenzako ni kitu gani??au uliamua tu kulala na mafuriko??

Demu wako anaamua kublock number msiwasiliane maana anadai wewe ni malaya,nawewe ili kumsaidia unaamua kusajiri line nyingine ile unaitupa.then analaumu una mambo ya kitoto,sijui utamuelewaje!!!!!

Ukweli inakuuma mpaka unamtukana mwenzako juu ameongea ukweli mtupu.
 
Achana na sisi wewe nyie endeleeeni na mambo yenu,sisi huo ugonjwa umepungua sana na wamekuja watu kutoka huko wameona hakuna.Hatuna wagonjwa hospitali unakomaa na TZ tuu.Nyie endeleeni kupimana tuu,huu ugonjwa tutaishi nao tuu.Tuna kiongozi shupavu sasa ambaye ababaishwi.Endeleeni na ishu zenu huko kwenu.
 
Hatukatai kwanini katika orodha yote hiyo itajwe Tanzania pekee kulikoni? Mna ajenda gani?ilitosha kutaja nchi 11 mlizozirusuhu haya yote yasingefika hapa

Uliona wapi Tanzania imetajwa?
 
Iv ww mitihan yako ulikuwa unajibu vp ? Ktk title ya uzi wako Umention USA haukutaja majimbo ... Ukitaja USA ... Unafahamu una maanisha nn ? Acha kula mirungi na bange ww

USA ilikua imezuiwa yote, leo ndio baadhi ya majimbo yamekubaliwa, mjifunze kufuata taarifa sio kubwatuka bila kujua kichwa kiko wapi au mkia.
 
Nimesema na narudia tena, naelewa kiwango cha elimu kwenu huwa hovyoo na huchukua kuda sana kuelewa chochote, Kenya imeweka kwenye orodha mataifa ambayo yanadhihirisha jitihada zao dhidi ya corona zinafua dafu, jiulize kwanini majimbo fulani ya Marekani, India, Uhispania, Sweden hawapo kwenye hiyo orodha, na kuna mataifa mengi tu bara uropa hayapo. Sasa nyie msiokua na jitihada zozote ila mnang'ang'ania kwa njaa zenu muingie kwenye mataifa ya watu.
We fala nn...umesikia nani.kafa huku...eti elimu ,mna elimu gani nyie malimbukeni fuata upepo.......sasa kama mnajiweza mmekimbilia nn kurekebisha taarifa yenu?,mngekaa kimya na nyie ndege zenu zisije kwetu kila mtu aendelee na maisha yale.....PUNGUZENI KUJIPENDEKEZA MTAOLEWA!
 
Ilipotolewa orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuingia Kenya, na humo Watanzania wakaona zao hazimo, jamaa wamelialia sana ikiwemo hata wale ambao hawajawahi kukaribia uwanja wa ndege na wala hata siku moja hawategemei kuiona ndege wachilia mbali hata kuabiri. Taifa lote kuanzia walalahoi mitaa ya mabandani Tandale, kwenda mikoani vijijini na kote waliifanya kama ndio habari kubwa ya nchi, kila mmoja akawa kama aliyefiwa. Hehehe bandugu zetu huwa mnachekesha sana.

Sasa kwa taarifa zenu, mikakati ya kuzuia baadhi ya mataifa haikufanywa kwa kuzingatia chuki kama mlivyo, tumezuia hata mabeberu USA na washirika wake, maana kwao taarifa za corona hazijakaa sawa, kirusi kinawatesa sana, japo wanatoa taarifa, wanapima na kutoa taarifa, hawajajichokea kama Tanzania ambao wametelekeza zoezi lote na kuachia kila mtu ajiaminishe hakuna corona, aidha ajifie au apone mwenyewe huko atajijua.

Yaani ni kama demu anataka mfanye naye tendo ila hataki mpime UKIMWI, ameng'ang'ania kwamba yeye anajijua yuko sawa na kwamba UKIMWI ni gonjwa la mabeberu na halimhusu na hatoruhusu hata utumie kinga, mfanye naye hivyo hivyo kavu. Watanzania walianza kung'ang'ania mpakani kwamba waingie bila kupimwa, tukakomaa mpaka wakaachia, leo hii wanapimwa na wataalam wetu.

Hii ya ndege pia wameng'ang'ania, sema wataruhusiwa ila lazima tuwapime, ukija Kenya kaa ukijua lazima uwe tayari kupanua mdomo kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo. Hatutaki kuvuna mabua kisa tumecheka nanyi.

========

Kenya has excluded the US and the major European nations from a list of countries whose nationals will be allowed in when international flights resume from tomorrow.

A protocol guiding the resumption of international flights only has Canada, Switzerland, Japan, China and South Korea outside of Africa in the list of 11 countries whose citizens will initially be allowed into Kenya.

This means China is the only country among the top 10 nations that accounted for most of the tourists to Kenya last time that is on the list.

Also on the list are Zimbabwe, Ethiopia, Uganda and, Rwanda, Morocco and Namibia.

The list excludes countries like US, Tanzania, Britain and India, which brought in 743,310 tourists to Kenya or 37.1 percent of the two million travellers.

Source: Business Daily
Mtanyooka tu nyinyi nyang'ao tumeshapiga ban KQ yenu!
 
Mimi ni mtanzania, nilisikitika sana kuona watanzania wenzangu kulichukulia suala la Kenya kuzuia safari za anga kutoka Tanzania kama jambo lililoilenga Tanzania pekee huku tukisahau kuwa Kenya ilizuia karibu nchi zote duniani kutua Kenya na nchi 11 pekee ndio wanaweza kutua Kenya.

Watanzania tunalazimisha sana Kenya watujumuishe kwenye hizo nchi wakati hatukidhi vigezo vyao.

Sababu tunayotumia watanzania ni hafifu sana, eti tunasema kwa kuwa sisi Tanzania tuliwaruhusu watue basi na sisi waturuhusu tutue!

Ni sababu ya kijinga kabisa. Tanzania tumesahau kuwa sisi tulifungua anga letu kwa kila nchi kuja Tanzania (kwa sababu hatuogopi Corona!) sasa tunalazimisha na sisi twende kwao hata kama vigezo vyao vinatukataa.
Kwanini wazuie watz kwenda Kenya halafu walete ndege zao hapa!? Ni asshole pekee anaweza kuwa upande wa nyanga'o hao!
 
Ilipotolewa orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuingia Kenya, na humo Watanzania wakaona zao hazimo, jamaa wamelialia sana ikiwemo hata wale ambao hawajawahi kukaribia uwanja wa ndege na wala hata siku moja hawategemei kuiona ndege wachilia mbali hata kuabiri. Taifa lote kuanzia walalahoi mitaa ya mabandani Tandale, kwenda mikoani vijijini na kote waliifanya kama ndio habari kubwa ya nchi, kila mmoja akawa kama aliyefiwa. Hehehe bandugu zetu huwa mnachekesha sana.

Sasa kwa taarifa zenu, mikakati ya kuzuia baadhi ya mataifa haikufanywa kwa kuzingatia chuki kama mlivyo, tumezuia hata mabeberu USA na washirika wake, maana kwao taarifa za corona hazijakaa sawa, kirusi kinawatesa sana, japo wanatoa taarifa, wanapima na kutoa taarifa, hawajajichokea kama Tanzania ambao wametelekeza zoezi lote na kuachia kila mtu ajiaminishe hakuna corona, aidha ajifie au apone mwenyewe huko atajijua.

Yaani ni kama demu anataka mfanye naye tendo ila hataki mpime UKIMWI, ameng'ang'ania kwamba yeye anajijua yuko sawa na kwamba UKIMWI ni gonjwa la mabeberu na halimhusu na hatoruhusu hata utumie kinga, mfanye naye hivyo hivyo kavu. Watanzania walianza kung'ang'ania mpakani kwamba waingie bila kupimwa, tukakomaa mpaka wakaachia, leo hii wanapimwa na wataalam wetu.

Hii ya ndege pia wameng'ang'ania, sema wataruhusiwa ila lazima tuwapime, ukija Kenya kaa ukijua lazima uwe tayari kupanua mdomo kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo. Hatutaki kuvuna mabua kisa tumecheka nanyi.

========

Kenya has excluded the US and the major European nations from a list of countries whose nationals will be allowed in when international flights resume from tomorrow.

A protocol guiding the resumption of international flights only has Canada, Switzerland, Japan, China and South Korea outside of Africa in the list of 11 countries whose citizens will initially be allowed into Kenya.

This means China is the only country among the top 10 nations that accounted for most of the tourists to Kenya last time that is on the list.

Also on the list are Zimbabwe, Ethiopia, Uganda and, Rwanda, Morocco and Namibia.

The list excludes countries like US, Tanzania, Britain and India, which brought in 743,310 tourists to Kenya or 37.1 percent of the two million travellers.

Source: Business Daily
Hatujawai kulia asilani.tumewachapa kimya kimya daima Mara zote kelele hutokea kwa viongozi wa Kenya kuomba suluhu.watz tunafahamu Nini serikali ya JPM imefanya kupitia vilio ama kutoka kwa Kenyatta au mawaziri wake.ujeuri wetu dhidi yenu tunadhibitisha kuwa ninyi si muhimu kwetu daima liwe akili mwenu na kwa viongozi wenu.
 
Hehehe!!! ila huyo hapo ameonyesha matumaini bado kuna Watanzania wanaotumia ubongo....
Mmh, utakuwa una matatizo kwenye ubongo wako kwa kumshabikia mtu anayehamishia hasira zake kwa serikali baada ya kufukuzwa kazi kutokana na kubainika akitumia vyeti bandia. Kaazi kwelikweli!...
 
Mimi ni mtanzania, nilisikitika sana kuona watanzania wenzangu kulichukulia suala la Kenya kuzuia safari za anga kutoka Tanzania kama jambo lililoilenga Tanzania pekee huku tukisahau kuwa Kenya ilizuia karibu nchi zote duniani kutua Kenya na nchi 11 pekee ndio wanaweza kutua Kenya.

Watanzania tunalazimisha sana Kenya watujumuishe kwenye hizo nchi wakati hatukidhi vigezo vyao.

Sababu tunayotumia watanzania ni hafifu sana, eti tunasema kwa kuwa sisi Tanzania tuliwaruhusu watue basi na sisi waturuhusu tutue!

Ni sababu ya kijinga kabisa. Tanzania tumesahau kuwa sisi tulifungua anga letu kwa kila nchi kuja Tanzania (kwa sababu hatuogopi Corona!) sasa tunalazimisha na sisi twende kwao hata kama vigezo vyao vinatukataa.
Sasa kama hawataki ndege zao zilikua zinafata nini?
 
Hehehe!!! Wala sihangaiki, najaribu kutafuta mantiki ya kwanini mlilia sana kuliko mataifa yote ambayo hatukuweka kwenye baadhi ya wanaoruhusiwa kuja watakavyo, nyie sasa hivi mumepigwa stop dunia yote, kila ramani inaonyesha rangi nyekundu kwa Tanzania lakini ilipofanywa na Kenya pia aisei mkalipuka ni kama mliokutwa na msiba taifa lote.

Mpaka siku mtakubali kutumia njia za kisayansi kukabiliana na hili janga la kisayansi, mtaendelea kutengwa kote.
Leo hii paspoti ya Tanzania kutua nayo popote lazima ukubali kupitishwa kwenye ukaguzi wa hali ya juu.
We mama huwa unanifurahisha Sana 😂 😂😂😂
 
Ilipotolewa orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuingia Kenya, na humo Watanzania wakaona zao hazimo, jamaa wamelialia sana ikiwemo hata wale ambao hawajawahi kukaribia uwanja wa ndege na wala hata siku moja hawategemei kuiona ndege wachilia mbali hata kuabiri. Taifa lote kuanzia walalahoi mitaa ya mabandani Tandale, kwenda mikoani vijijini na kote waliifanya kama ndio habari kubwa ya nchi, kila mmoja akawa kama aliyefiwa. Hehehe bandugu zetu huwa mnachekesha sana.

Sasa kwa taarifa zenu, mikakati ya kuzuia baadhi ya mataifa haikufanywa kwa kuzingatia chuki kama mlivyo, tumezuia hata mabeberu USA na washirika wake, maana kwao taarifa za corona hazijakaa sawa, kirusi kinawatesa sana, japo wanatoa taarifa, wanapima na kutoa taarifa, hawajajichokea kama Tanzania ambao wametelekeza zoezi lote na kuachia kila mtu ajiaminishe hakuna corona, aidha ajifie au apone mwenyewe huko atajijua.

Yaani ni kama demu anataka mfanye naye tendo ila hataki mpime UKIMWI, ameng'ang'ania kwamba yeye anajijua yuko sawa na kwamba UKIMWI ni gonjwa la mabeberu na halimhusu na hatoruhusu hata utumie kinga, mfanye naye hivyo hivyo kavu. Watanzania walianza kung'ang'ania mpakani kwamba waingie bila kupimwa, tukakomaa mpaka wakaachia, leo hii wanapimwa na wataalam wetu.

Hii ya ndege pia wameng'ang'ania, sema wataruhusiwa ila lazima tuwapime, ukija Kenya kaa ukijua lazima uwe tayari kupanua mdomo kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo. Hatutaki kuvuna mabua kisa tumecheka nanyi.

========

Kenya has excluded the US and the major European nations from a list of countries whose nationals will be allowed in when international flights resume from tomorrow.

A protocol guiding the resumption of international flights only has Canada, Switzerland, Japan, China and South Korea outside of Africa in the list of 11 countries whose citizens will initially be allowed into Kenya.

This means China is the only country among the top 10 nations that accounted for most of the tourists to Kenya last time that is on the list.

Also on the list are Zimbabwe, Ethiopia, Uganda and, Rwanda, Morocco and Namibia.

The list excludes countries like US, Tanzania, Britain and India, which brought in 743,310 tourists to Kenya or 37.1 percent of the two million travellers.

Source: Business Daily

Tanzania hawajalia bali wameban ndege za KQ. Kama haina shida kwenu si mtulie? Anaelia ni Mkenya
 
Mmh, utakuwa una matatizo kwenye ubongo wako kwa kumshabikia mtu anayehamishia hasira zake kwa serikali baada ya kufukuzwa kazi kutokana na kubainika akitumia vyeti bandia. Kaazi kwelikweli!...

Hilo la kufukuzwa kazi ni mambo ya mtu binafsi na hayatuhusu humu, nimekushangaa kumbe uko hovyoo kiasi hicho, humu hatujadili matatizo binafsii ya watu, tunajadili udhaifu wenu kwenye kupambana na corona na kulialia mkilazimisha kuingia kwenye mataifa ya watu.
 
Ilipotolewa orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuingia Kenya, na humo Watanzania wakaona zao hazimo, jamaa wamelialia sana ikiwemo hata wale ambao hawajawahi kukaribia uwanja wa ndege na wala hata siku moja hawategemei kuiona ndege wachilia mbali hata kuabiri. Taifa lote kuanzia walalahoi mitaa ya mabandani Tandale, kwenda mikoani vijijini na kote waliifanya kama ndio habari kubwa ya nchi, kila mmoja akawa kama aliyefiwa. Hehehe bandugu zetu huwa mnachekesha sana.

Sasa kwa taarifa zenu, mikakati ya kuzuia baadhi ya mataifa haikufanywa kwa kuzingatia chuki kama mlivyo, tumezuia hata mabeberu USA na washirika wake, maana kwao taarifa za corona hazijakaa sawa, kirusi kinawatesa sana, japo wanatoa taarifa, wanapima na kutoa taarifa, hawajajichokea kama Tanzania ambao wametelekeza zoezi lote na kuachia kila mtu ajiaminishe hakuna corona, aidha ajifie au apone mwenyewe huko atajijua.

Yaani ni kama demu anataka mfanye naye tendo ila hataki mpime UKIMWI, ameng'ang'ania kwamba yeye anajijua yuko sawa na kwamba UKIMWI ni gonjwa la mabeberu na halimhusu na hatoruhusu hata utumie kinga, mfanye naye hivyo hivyo kavu. Watanzania walianza kung'ang'ania mpakani kwamba waingie bila kupimwa, tukakomaa mpaka wakaachia, leo hii wanapimwa na wataalam wetu.

Hii ya ndege pia wameng'ang'ania, sema wataruhusiwa ila lazima tuwapime, ukija Kenya kaa ukijua lazima uwe tayari kupanua mdomo kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo. Hatutaki kuvuna mabua kisa tumecheka nanyi.

========

Kenya has excluded the US and the major European nations from a list of countries whose nationals will be allowed in when international flights resume from tomorrow.

A protocol guiding the resumption of international flights only has Canada, Switzerland, Japan, China and South Korea outside of Africa in the list of 11 countries whose citizens will initially be allowed into Kenya.

This means China is the only country among the top 10 nations that accounted for most of the tourists to Kenya last time that is on the list.

Also on the list are Zimbabwe, Ethiopia, Uganda and, Rwanda, Morocco and Namibia.

The list excludes countries like US, Tanzania, Britain and India, which brought in 743,310 tourists to Kenya or 37.1 percent of the two million travellers.

Source: Business Daily
Pambaneni na hali zenu! KQ marufuku kuja bongo!
 
Hilo la kufukuzwa kazi ni mambo ya mtu binafsi na hayatuhusu humu, nimekushangaa kumbe uko hovyoo kiasi hicho, humu hatujadili matatizo binafsii ya watu, tunajadili udhaifu wenu kwenye kupambana na corona na kulialia mkilazimisha kuingia kwenye mataifa ya watu.

Hivi ninyi mngekuwa strong si mngekaa kimya? Washamba ninyi kazi kulialia tu! KQ bila Tanzania revenue yake ni mashaka
 
Back
Top Bottom