Cestus
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 987
- 131
Wewe unayewaponda wachina na kuwaita wazee wa mafeki ebu soma hii hapa uone jinsi surge ya wachina inavyotisha: BBC News - China 'to overtake US on science' in two years
SIZE]
big up 4 useful link.
Wewe unayewaponda wachina na kuwaita wazee wa mafeki ebu soma hii hapa uone jinsi surge ya wachina inavyotisha: BBC News - China 'to overtake US on science' in two years
SIZE]
Tufanyeje ili nasi tuyafikie maendeleo ya kisayansi?
Tufanyeje ili nasi tuyafikie maendeleo ya kisayansi?
Yote uliyosema ni sahihi ila hapo nina wasiwasi nako. kama kweli walikanyaga mwezi imewashinda nini kurudi baada ya miaka 50 wakati tekinolojia umeendela sana kuliko miaka ile ya sitini? kumbuka kile kilikuwa ni kipindi cha propaganda za who's got the biggest ...
Kwani umeshasahau kuwa Tanzania ni nchi ya kwanza duniani kwa sayansi na teknolojia ya tiba ya magonjwa sugu..."kikombe"Tanzania inashikilia namba ya ngapi?
Hahaha asante kwa kuni LoliondoKwani umeshasahau kuwa Tanzania ni nchi ya kwanza duniani kwa sayansi na teknolojia ya tiba ya magonjwa sugu..."kikombe"
Yote uliyosema ni sahihi ila hapo nina wasiwasi nako. kama kweli walikanyaga mwezi imewashinda nini kurudi baada ya miaka 50 wakati tekinolojia umeendela sana kuliko miaka ile ya sitini? kumbuka kile kilikuwa ni kipindi cha propaganda za who's got the biggest ...
kweli wachina noma.Wewe unayewaponda wachina na kuwaita wazee wa mafeki ebu soma hii hapa uone jinsi surge ya wachina inavyotisha: BBC News - China 'to overtake US on science' in two yearsSIZE]
Wewe unayewaponda wachina na kuwaita wazee wa mafeki ebu soma hii hapa uone jinsi surge ya wachina inavyotisha: BBC News - China 'to overtake US on science' in two years
SIZE]