EAC Tanzania kinara kuvutia Wa-USA

Rais wa Matajiri

JF-Expert Member
Sep 14, 2018
1,475
607
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja.

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL.

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council ( EABC ) tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi.

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU kati ya AGCC na EABC itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini..

photo_2021-11-15_12-02-37.jpg
 
Tanzania leads East Africa in drawing American investments

FRIDAY NOVEMBER 12 2021

Arusha. Tanzania leads the other East African Community (EAC) partner states in attracting investments from the United States, the world’s largest economy.

This emerged during the signing of a Memorandum of Understanding (MoU) between the East African Business Council (EABC) and the Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) to lure more investments from the US.

According to EABC - an apex body of private sector associations in the region - total foreign direct investments from the US to Tanzania was $1.5 billion in 2019.

Tanzania is followed by Kenya - which received $353 million in the same year - followed by Uganda $42 million, Rwanda ($11 million) and Burundi which managed to attract $1 million in the same year (2019).

The agreement, signed on Wednesday, outlines several areas of collaboration, including showcasing trade and investment opportunities in the EAC bloc. These include industrial exchange programmes and trade missions to the USA, joint exhibitions and conferences, training programmes and certifications.

Speaking at the signing ceremony, Mr John-Bosco Kalisa, EABC executive director, said the partnership is set to improve joint ventures, production capacities and technology transfers between businesses in East Africa and USA.”

He advised the AGCC to mobilise the African diaspora to invest in East Africa in lucrative sectors such as agri-business and digital innovations to support the economic recovery of the continent amid the Covid-19 pandemic.

For his part, AGCC Chairman Olivier Kamanzi said “AGCC is steadfast to kick-off this partnership, as USA investors are eager to visit and explore trade opportunities in the East African region”.

He stated that the MoU signing paves the way for the African diaspora and US investors to partner with the private sector in Africa and strongly drive the African Continental Free Trade Area (AfCFTA) and the African Union Agenda 2063. He explained that AGCC has mobilised the diaspora to invest and set up a smart city in Malindi, Kenya.

The EAC bloc benefits from preferential market access to the US under the Africa Growth and Opportunity Act (AGOA). In 2015, EAC and the US signed an Agreement on Trade Facilitation, Sanitary and Phytosanitary (SPS) and Technical Barriers to Trade (TBT).

The EAC also initiated negotiations on EAC/US Investment Treaty, and inaugurated the EAC/US Commercial Dialogue.

According to the International Trade Centre (ITC), the EAC bloc imports of goods from US in 2019 stood at $1.124 billion while exports reached $704 million.

The values declined to $963,010 and $681,299 respectively in 2020 due to the Covid-19 pandemic.

Mr Kalisa called for joint advocacy efforts to ensure the extension of the AGOA and commencement of negotiations EAC-US Free Trade Agreement in order to attract more investment into East Africa.

He stated that AGOA has integrated the EAC bloc’s apparel sector into the global value chains.

The partnership is set to boost trade and attract more USA investments in industrial parks, special economic zones, export processing zone in the EAC and unlock market access to U.S.A via AGOA, environmental and climate change innovations and co-organizing the East African Business and Investment Summit 2022.

AGCC is a Chicago-based not-for-profit corporation that specializes in promoting trade, investment, educational exposures, and cultural exchanges globally for Africa’s economic interest and its partners starting from the USA.

Locally, AGCC strives to serve businesses and professionals seeking business opportunities, while also facilitating mutual commerce between US and Africa. AGCC is based in Chicago, Illinois.

Source: The Citizen
 
Tatizo huelewi maana ya neno ubeberu. Au kama unaelewa unawashobokea sana wazungu hadi unaudhika wakiitwa beberu.

Ngoja nikueleweshe. Wawekezaji wanatafuta faida tu wala hawawekezi ili mwafrika upate maendeleo. Ili nchi inufaike kwa kupata maendeleo kutokana na uwekezaji lazima kusimamia maslahi yake kwa nguvu na maarifa. Vinginevyo itakua yaleyale ya kunyonywa kama enzi ya ukoloni.

Ubeberu ni ile hali ya ubabe na vitisho (kama beberu la mbuzi) inayotumika na serikali za magharibi kwa nchi changa kuhakikisha maslahi ya wawekezaji na serikali yao yanalindwa dhidi ya maslahi ya nchi wenyeji. Kwa kingereza wanaita economic imperialism, neo imperialism au hata neno imperialism tu hutumika.

Kwa hivyo mabeberu ndio hao hao wawekezaji ndio haohao wafadhili, kwa hivyo ni akili yako tu utumie kuishi nao kwa faida.
 
Tukisema Rais Samia anakasi nzuri mjaribu kituelewa tu

Sasa huu ushirikiano ndio fungakazi,

Tuendelee kuiombea nchi yetu
 
Bora kufanya kazi na wataka urais wastafu kama Obama Ujinga usio na kikosi cha:

1. Tija 2. Tija 3. Tija 4. Tija 5. Tija 6. Tija 7. Tija 8. Tija 9. Tija 10. Tija Sub 1. Tija 2. Tija


Tanzania itatoa Rais wa USA bora wameinvest huko😜😜😜
Sijaelewa kabisa
 
Mungu yuko upande wetu kazi iendelee,Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana tu huyu mama,
 
Back
Top Bottom