USA Government na EPA hawataki Afrika na Tanzania iendelee ndio maana...

Kessy Wa Kilimanjaro

JF-Expert Member
Jan 23, 2016
327
208
Haya leo nimewakubali wabunge tena sana. Hawa ni Bashe na Kabwe. Sana sana bashe kwa kuipinga EPA na mkataba wao.

Tusijidanganye hata siku moja tukafikiri serikali za wazungu zinataka tuendelee. Hata wakitupa mikopo hiyo mikopo inakuja na mashariti na mitego ili sisi tuwategemee wao. Hawa wamarekani na wazungu mbinu yao ni kuwa na uwezo wa kuzitawala nchi za kiafrika bila hata kutumia silaha wala kulazimisha utumwa.

Huu utumwa mpya ni ule utumwa wa kudanganywa. Ningependanda kumpongeza Raisi Magufuli kwa kuukataa huu mkataba. Ingawa sikubaliani na wewe lakini hapa umeonyesha hekima sana.

EPA iliundwa sio kulinda Ardhi na sio kupunguza polution bali walitumia kisingizio cha polution ili waweze kupitisha kodi mpya, kuipa serikali ya marekani madaraka makubwa zaidi na kupata kisingizio cha kuunda serikali moja ya dunia yenye uwezo wa kunyanyasa nchi yeyote ile.

Serikali ya marekani ina nia za uovu kila pale inapojihusisha na Africa na tusijidanganye kwamba wanataka kutusaidia. Kwa mfano wao walitumia dawa ya DDT kuondoa mmbu nchini kwao lakini wakaikataza kwenye nchi za kiafrica kisa kisingizio chao kilikua ni polution na cancer. Ukiangalia mda walipo tumia hiyo dawa na kabla ya wao kuitumia watu walikuwa wanapata cancer bila hata kukutana na hiyo dawa. Lakini walitaka wazuie nchi za kiafrica kuitumia hiyo dawa ili waweze kusema kwamba wanahitaji kuingilia nchi za kiafrica na kuwa na madaraka juu yake ili kuzisaidia kupambana na malaria. Lakini wote tunajua huo ni uongo.
 
habari ya kila kitu tunachokiona kwetu hakifai kusingizia ni mbinu za marekan na wazungu ni aina nyngne ya utumwa wa kifikra inayosababisha tuzidi kuwa wavivu wa kufikiri.......hata marekan na wao waliyawaliwa na wazungu lakin leo wameweza kujiinua nakufika hapo walipo...ni vyema waafrica tujue kuwa ni cc wenyew wenye uwezo wa kujiinua toka hapa tulipo na tuache kuwalaumu watu wengine kwa matatizo yetu.....maana hizi habar za kuwaona america na wazungu wanataka kukandamiza uchumi wetu ili wao wafaidikie ndizo zinazotufanya leo hii tukimbilie kwe mikon ya china ambao na wao wanaendelea tu kutumia kwa manufaa yao pia...tuache lawama tufanye yale tunayoyaona mema kwetu maana wazungu hawajatufunga kamba
 
habari ya kila kitu tunachokiona kwetu hakifai kusingizia ni mbinu za marekan na wazungu ni aina nyngne ya utumwa wa kifikra inayosababisha yuzidi kuwa wavivu wa kufikiri.......hata marekan na wao waliyawaliwa na wazungu lakin leo wameweza kujiinua nakufika hapo walipo...ni vyema waafrica tujue kuwa ni cc wenyew wenye uwezo wa kujiinua toka hapa tulipo na tuache kuwalaumu watu wengine kwa matatizo yetu.....maana hizi habar za kuwaona america na wazungu wanataka kukandamiza uchumi wetu ili wao wafaidikie ndizo zinazotufanya leo hii tukimbilie kwe mikon ya china ambao na wao wanaendelea tu kutumia kwa manufaa yao pia...tuache lawama tufanye yale tunayoyaona mema kwetu maana wazungu hawajatufunga kamba

Sifikiri umeielwa hoja yangu. Nina hoja nyingi tu kuhusu makosa ya serikali yetu na makosa yake. Nina hoja pia za fikra za kiafrika zinazokosa hekima. Hii ni hoja kuhusu EPA na serikali ya marekani na mbinu zake za kupata madaraka kwenye nchi za kiafrika. Kama unataka kukataa kwamba serikali ya marekani haina mbinu za kuziweka nchi za kiafrica kwenye umaskini ili iweze kuzibabaisha basi amini unachotaka. Lakini angalia IMF, World Bank, UN, EPA na hizi organization zenye policy za kulazimisha au kuhonga nchi za kiafrica kuingia kwenye mikataba mibaya. Kama hiyo siyo mbinu ni nini?

Hamna lawama kwa wamarekani bali ni serikali na wanasiasa wao ambao ni waovu. Na kisa ninaisema serikali ya marekani haimaanishi sina tatizo na wa china. Wao pia ni wa socialist ambao hawafai. Lakini hoja hii bado inahusu serikali ya marekani.

Wazungu hawajatufunga kamba lakini wameweka restrictions on trade na sanctions kwenye nchi ambazo hazikubaliani nao kwahiyo husifikiri kamba ndiyo kitu pekee ambacho kinatumika kuoppress.
 
kaja mmarekani halisi kabisa donald trump, katika moja ya ahadi zake ni kuziacha pesa za kimarekani zimsaidie mmarekani mmarekani.

mtakoma na mtasaga meno,hivyo vi pesa vya madafu milioni kumi vinajaa gunia si lolote.

Kafika Trump afute hela zote ambazo huwa mnaimba kwamba ni msaada ya kibajeti
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Hatakama tupigane wenyewe lakini adui wa nje akija tujiunge kumshambulia
Huo uwezo haupo,wacha propaganda bhana,kwa mfano marekani Tanzania itapambana nayo vipi?

nusu ya bajeti ya nchi inatoka marekani au nchi ambazo marekani ikiamua iziambie zisitoe hata mia kwenye bajeti,hazitoi.

Kama ni vita,marekani ina manuari za kivita bahari ya hindi zenye makombora ya kinyuklia na ya kawaida,wanapaki meli bahari kuu wanaanza kurusha makombora,wana makombora yanayoweza kusafiri mpaka kilometa 2000,sawa na umbali wa mwanza dar mwanza,na kwa kuwa jeshi letu ni la nchi kavu zaidi,hao askari wa miguu hawawezi kutembea juu ya maji,kama ni ndege,marekani wana maelfu ya ndege ambazo wakizirusha zote kwa wakati mmoja katika jiji la dar,dar itaonekana giza

kama ni kiuchumi,nenda zimbabwe,ni mfano mzuri wa economic wars and sabotage
 
Sifikiri umeielwa hoja yangu. Nina hoja nyingi tu kuhusu makosa ya serikali yetu na makosa yake. Nina hoja pia za fikra za kiafrika zinazokosa hekima. Hii ni hoja kuhusu EPA na serikali
Wazungu hawajatufunga kamba lakini wameweka restrictions on trade na sanctions kwenye nchi ambazo hazikubaliani nao kwahiyo husifikiri kamba ndiyo kitu pekee ambacho kinatumika kuoppress.
c kwamba nmekupinga, sote tunajua jinsi marekan anavyoendeleza hegemony yake kupitia world banki,IMF na organizations zingnezo,lakin hz nyimbo na malalamiko hayajawah kutusaidia sisi....mugabe yeye hakutaka kabisa yshirikiano na hao watu akaamua kusgirikiana tu na uchina,warusi wengineo wa mashariki lakini hio haikuwa nafuu kwake kwakuwa wote hao ni haohao hawana tofauti yeyote na west....mimi hoja yangu hapa ni kwamba hamna faida yoyote ya kulalamika na kuambiana cc kwa cc ni jinsi gan america ama wazungu walivyo wabaya unless km uu anti america la msingi ni kuamua kuendelea kivyetu na sera zetu km jpm yy alivyoona tufanye kazi kwa bidii(hapa kazi tu).....hatuwez kuwa km maduro ambae nchi yake mpk mafuta ya kupikia yamekuwa lulu nchini mwake wananchi wanalalamika maisha magum lakin yeye anakazi ya kulaumu tu kwamba marekan ndio wabaya wanafanya nchi yeke iwe na shida jambo hilo wala halimsaidii kitu chochote
 
Yaani ulambe hela ya mmarekani baadae uanze ooh ni unyonyaji,sijui nini,now the man has came to reclaim every cent
 
Mie naona unakosea unapofikiri kwamba ni lazima serikali ya marekani au EPA wanajukumu la kuchangia maendeleo ya Tanzania.
Tanzania ili iendelee inahitaji kuangalia maslahi yake kama nchi kwanza, kila mkataba uwe na manufaa kwetu ila tutumie nchi nyingine kufanikisha mipango yetu. Marekani na nchi zilizoendelea zinafanya hivyo tokea zamani

Japan- Tanzania ( magari ya kijapan yana soko sana hapa)
China- Tanzania (kinachofanyika unaona)

Ipo mifano hai mingi sana ila sie hatutumie fursa za mikataba tunayosaini tunasubiri tupewe..... tupo kwenye zama za kale, watanzania hatutaki kutoka nje na kijifunza waliotoka wanarudi wanatuibia wamejifunza familia kwanza watanzania baadae
 
Huo uwezo haupo,wacha propaganda bhana,kwa mfano marekani Tanzania itapambana nayo vipi?

nusu ya bajeti ya nchi inatoka marekani au nchi ambazo marekani ikiamua iziambie zisitoe hata mia kwenye bajeti,hazitoi.

Kama ni vita,marekani ina manuari za kivita bahari ya hindi zenye makombora ya kinyuklia na ya kawaida,wanapaki meli bahari kuu wanaanza kurusha makombora,wana makombora yanayoweza kusafiri mpaka kilometa 2000,sawa na umbali wa mwanza dar mwanza,na kwa kuwa jeshi letu ni la nchi kavu zaidi,hao askari wa miguu hawawezi kutembea juu ya maji,kama ni ndege,marekani wana maelfu ya ndege ambazo wakizirusha zote kwa wakati mmoja katika jiji la dar,dar itaonekana giza

kama ni kiuchumi,nenda zimbabwe,ni mfano mzuri wa economic wars and sabotage
kwahiyo wewe unataka tukubali kila kitu kutoka kwao kisa heti wananguvu.
Mikataba ya kijinga inayolenga kurudisha utumwa huku sisi hatusaini, wanacho taka kufanyaache wafanye sisi sio wake zoa wa kutupeleka peleka.
khebo!! we vipi ndugu!!!?
 
kwahiyo wewe unataka tukubali kila kitu kutoka kwao kisa heti wananguvu.
Mikataba ya kijinga inayolenga kurudisha utumwa huku sisi hatusaini, wanacho taka kufanyaache wafanye sisi sio wake zoa wa kutupeleka peleka.
khebo!! we vipi ndugu!!!?
wizara ya afya inayokufanya ukae nyuma ya keyboard asilimia 80 wanaihudumia kifedha wao

wametingisha kidogo mkaanza kuimba dawa wakati kitambp tu mlikuwa mnawatukana.

Tanzania kidunia ni sawa na mtoto under 18!!anastahili kulelewa na asiwe mbishi
 
nchi km iran mwaka 1979 ilipofanya mapinduzi ya kumtimua kiongoz aliekuwa swahiba wa wamarekani tangu hapo haikuwa na uhusino wowote wa kidiplomasia na marekan pamoja na nchi kubwa z ulaya km uingereza,ikawekewa vikwazo vingi sana na mataifa hayo mpk na UN na EU ukizngatia marekani ana ushawish mkubwa sana kwe organizatyion hizo kupelekea iran kuwa nauchumi wenye shid sana...lakin wameweza kwenda kwa shida hiohio na wakajitahidi kuweza kujitengezezea kila itu wao wenyew badala ya kunua toka nje maana vikwazo vilikua ni vingi...mpk leo hii wanaondolewa vikwazo iran wana uwezo wa kujitengezezea bidhaa nying sana nchini mwao kuanzia magari,vifaa vta hospitali na maabara,meli za kivita,makombora ya masafa marefu(ICBM) military drones na submarines...hii inathibitisha kwamba figisu za mrekan na ulaya siokikwazo kisixhokabiilka hapa tatizo ni sisi waaafrica tuna matatizo yetu binafsi mengio ndio yanayoturudiha nyuma hasa madaraka
 
nchi km iran mwaka 1979 ilipofanya mapinduzi ya kumtimua kiongoz aliekuwa swahiba wa wamarekani tangu hapo haikuwa na uhusino wowote wa kidiplomasia na marekan pamoja na nchi kubwa z ulaya km uingereza,ikawekewa vikwazo vingi sana na mataifa hayo mpk na UN na EU ukizngatia marekani ana ushawish mkubwa sana kwe organizatyion hizo kupelekea iran kuwa nauchumi wenye shid sana...lakin wameweza kwenda kwa shida hiohio na wakajitahidi kuweza kujitengezezea kila itu wao wenyew badala ya kunua toka nje maana vikwazo vilikua ni vingi...mpk leo hii wanaondolewa vikwazo iran wana uwezo wa kujitengezezea bidhaa nying sana nchini mwao kuanzia magari,vifaa vta hospitali na maabara,meli za kivita,makombora ya masafa marefu(ICBM) military drones na submarines...hii inathibitisha kwamba figisu za mrekan na ulaya siokikwazo kisixhokabiilka hapa tatizo ni sisi waaafrica tuna matatizo yetu binafsi mengio ndio yanayoturudiha nyuma hasa madaraka
kama nchi haina vikwazo imeshindwa kutengeneza hata sindano!!

tuache kudanganyana jamani
 
Huo uwezo haupo,wacha propaganda bhana,kwa mfano marekani Tanzania itapambana nayo vipi?

nusu ya bajeti ya nchi inatoka marekani au nchi ambazo marekani ikiamua iziambie zisitoe hata mia kwenye bajeti,hazitoi.

Kama ni vita,marekani ina manuari za kivita bahari ya hindi zenye makombora ya kinyuklia na ya kawaida,wanapaki meli bahari kuu wanaanza kurusha makombora,wana makombora yanayoweza kusafiri mpaka kilometa 2000,sawa na umbali wa mwanza dar mwanza,na kwa kuwa jeshi letu ni la nchi kavu zaidi,hao askari wa miguu hawawezi kutembea juu ya maji,kama ni ndege,marekani wana maelfu ya ndege ambazo wakizirusha zote kwa wakati mmoja katika jiji la dar,dar itaonekana giza

kama ni kiuchumi,nenda zimbabwe,ni mfano mzuri wa economic wars and sabotage
Usitangulize hofu katika maamuzi yako


Daudi alimuu goliati



Ikumbukwe kutoka katika biblia takatifu kuna mataifa mawili tu duniani yaliyo pangiwa kuwa na nguvu
Nayo ni yale yenye bendera zake juu ya milima


Yatafute hayo utaniambia ni yapi
 
unaimba wimbo usioujua,ikitegwa setelaiti,meli tano za kivita,zenye makombora yenye precision,biashara inafanyika asubuhi,kaa ujuedunia ya makombeo kama.ya enzi ya goliati haipo tena,mtu anakupiga akiwa maelfu ya kilometa ndani ya bahari au akiwa washington anaongoza kompyuta kwa drones,

kachukue kombeo uone jiwe linaishia kigambon
Usitangulize hofu katika maamuzi yako


Daudi alimuu goliati



Ikumbukwe kutoka katika biblia takatifu kuna mataifa mawili tu duniani yaliyo pangiwa kuwa na nguvu
Nayo ni yale yenye bendera zake juu ya milima


Yatafute hayo utaniambia ni yapi
 
Haya leo nimewakubali wabunge tena sana. Hawa ni Bashe na Kabwe. Sana sana bashe kwa kuipinga EPA na mkataba wao.

Tusijidanganye hata siku moja tukafikiri serikali za wazungu zinataka tuendelee. Hata wakitupa mikopo hiyo mikopo inakuja na mashariti na mitego ili sisi tuwategemee wao. Hawa wamarekani na wazungu mbinu yao ni kuwa na uwezo wa kuzitawala nchi za kiafrika bila hata kutumia silaha wala kulazimisha utumwa.

Huu utumwa mpya ni ule utumwa wa kudanganywa. Ningependanda kumpongeza Raisi Magufuli kwa kuukataa huu mkataba. Ingawa sikubaliani na wewe lakini hapa umeonyesha hekima sana.

EPA iliundwa sio kulinda Ardhi na sio kupunguza polution bali walitumia kisingizio cha polution ili waweze kupitisha kodi mpya, kuipa serikali ya marekani madaraka makubwa zaidi na kupata kisingizio cha kuunda serikali moja ya dunia yenye uwezo wa kunyanyasa nchi yeyote ile.

Serikali ya marekani ina nia za uovu kila pale inapojihusisha na Africa na tusijidanganye kwamba wanataka kutusaidia. Kwa mfano wao walitumia dawa ya DDT kuondoa mmbu nchini kwao lakini wakaikataza kwenye nchi za kiafrica kisa kisingizio chao kilikua ni polution na cancer. Ukiangalia mda walipo tumia hiyo dawa na kabla ya wao kuitumia watu walikuwa wanapata cancer bila hata kukutana na hiyo dawa. Lakini walitaka wazuie nchi za kiafrica kuitumia hiyo dawa ili waweze kusema kwamba wanahitaji kuingilia nchi za kiafrica na kuwa na madaraka juu yake ili kuzisaidia kupambana na malaria. Lakini wote tunajua huo ni uongo.
Hio ndio kazi waliyotumwa na watanzania kutetea maslahi ya Tanzania, lakini dunia inaendeshwa kibiashara hivyo hatupaswi kujitenga bali kutumia akili yetu kukataa mabaya. Tatizo la viongozi wetu ni wizi wanaiba na wanaenda kuficha huko kwao, wanaua wananchi wao na wanawafanya masikini ili wasipinge mabaya wanayowafanyia. Tanzania sio masikini bali viongozi wana agenda mbaya zidi ya Watanzania
 
USA na EPA ni vitu viwili tofauti!mtoa mada jaribu kwanza kujielimisha nini maana ya EPA na nchi husika ni zipi.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom