Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Nimeona hii kitu ilifanyika huko Washington DC. na kuna mambo nyetinyeti ya yalijadiliwa mezani kwa mustakabali mwema wa Afrika. Vipi Tanzania tulituma mtu wa maana wa kutuwakilisha au tunanyoosha nchi (chadema) kwanza?
Post sent using JamiiForums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app