Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,160
- 10,454
Nimekwambia tutasubiri sana ukianza kuona vitu made in us huku uswazi ujue wakti umeshafika
Hahaha. Haya
Nimekwambia tutasubiri sana ukianza kuona vitu made in us huku uswazi ujue wakti umeshafika
Hahaha. Haya
Karibu RT.comAsubuhi Leo Kuna taarifa nimeona EU wamekubali kununua gesi zaidi toka US ili waondolewe ule ushuru wa kwenye Aluminum. EU agrees to buy more US gas if Trump scraps tariffs – report
Si ndo mnayoiamini team PutinKaribu RT.com
Ha ha aaa ! Mimi, ukweli ni team Amani ya Dunia na utu. Yeyote anayeunga mkono vitu hivi, Amani na Utu niko upande wake.Si ndo mnayoiamini team Putin
EU wanakula gas ya urusi kitambo sana mmechelewa kuamkaAsubuhi Leo Kuna taarifa nimeona EU wamekubali kununua gesi zaidi toka US ili waondolewe ule ushuru wa kwenye Aluminum. EU agrees to buy more US gas if Trump scraps tariffs – report
Nasubiria Sikh asogeze merikebu zaka pale Moscow hapa ntakubali hats kuolewa na mmarekaniSasa ivi Dubai na Saudi Arabia wanauza nguruwe kama kawaida.
Trumpet kaishika dunia sehemu za siri na hatuna jinsi. Juzi alizichimba nchi za Africa kuhusu mitumba zimefyata
Wangekuwa hawana gesi wangekuwa wapolesana.Russia wanatumia Gas kma sphere of influence kwa Ulaya that y anakuwa anajitutumua kuiekea misuli USA