US to pull Troops out of Iraq by end of the year.

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
5,139
1,139
Baada ya karibu 9 years kuwa ndani ya ardhi ya Iraq,hatimae muda huu obama anautangazia ulimwengu kwamba mwanajeshi wa mwisho wa marekani atakuwa ameondoka iraq kufikia mwishoni mwa december 2011!

Naona kitendo cha Iraq kuonekana kushikamana na Iran kimewaudhi wamarekani ile mbaya hasa baada ya kiongozi wa Iraq kutembelea Iran siku chache zilizopita.

Lakini wamarekani bado wanamkumbusha Obama...Jobs...! Jobs..! Jobs...!OBama kamaliza kakataa maswali katimka zake,kawaachia wasidizi wake.
 
Ya kuondoa majeshi Iraq ni mojawapo ya ahadi za Barry Onyango 2008, naona ameona moto wa 2012 si wa kitoto.
 
Wanafiki tu hao..hawajawahi kuondoka walipoweka majeshi yao..yaani ni nuksi
 
Lakini kasema "just a small number" will remain to protect us embassy in baghdad which is the us largest embassy in the world
 
Wanafiki tu hao..hawajawahi kuondoka walipoweka majeshi yao..yaani ni nuksi
zhangwei1.jpg

zhangwei2.jpg

zhangwei3.jpg
 
Back
Top Bottom