Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Hahaha Romney anaanza spin sasa, eti 'Will repeal and replace Obamacare' the only thing Romney has is 'Romneycare' in Massachussetts, Mi nakwambia huyu jamaa Obama anammaliza kwenye debate hana jipya. Yaani Republican this year wame-mess up sana kumuweka huyu Archtect wa Obamacare 'Mandate' kuwa mgombea wao. Issue ya Obamacare ingekuwa hot kama wangemuweka Santorum au Perry au Newt.
Eti Perry...siamini sana katika mungu lakini ngoja tu niseme mungu wangu eeeh! Yaani Perry, Santorum, na Newt? Usipokuwa serious sita engage tena na wewe. Ni heri hata mshikaji wangu Susuviri arudi.
You cannot have both ways, I was for it before I was against it because now I want to be President for United States.
Hahahaaa that's a GOP line....kumbe unawahusudu kimoyomoyo eeeh? Good to know that.
Romney is a big loser on Healthcare issue. Na mbaya zaidi hata huko kwenye biashara nako Washington post wanamwita Job outsourcer in chief.
How is he a loser when all of the polling data shows the American people oppose Obamacare? Just wait and see how the conservative massive comes together....I know for sure Democraps are scared as hell for that to happen coz they know what time it is when they are energized.
Obummer bye bye....can't wait for November to get here.
Oh by the way, if people are thinking that healthcare will be free of charge they are sadly mistaken.