US OPEN 2010: FLUSHING MEADOWS 30Aug-12Sept

Ili uwe kwenye hizo rank za juu unatakiwa kupambana haswa ...Mfano ni kama Murray atachukua hii Grand Slam atakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuja kumtoa Djokovic mwakani...so ni juhudi tu za Monfils kuonesha uwezo wake mana last match alisumbuana sana na Tipsarevic na kushinda kwa set ya 4.Akifika kwenye Robo au nusu anaweza kusogea kwenye Top ten

Mkuu, kama ulivyoona, Monfils hata fika mbali. unajua at the top level, tennis is probably 80% mental. Huyu ngozi ya tak* mwenzetu hana metal discipline ya kuwa at the top. Unaona alichokuwa akifanya uwanjani on his last game. yaani mimi nilitaka kujiua kwa aibu...

The only way he can improve is game is by finding another coach who can discipline him what to do and get you out of those childplay-nonsense actions on the court.

By the way, if I was his coach, I would also resign. I mean, how could you couch a player who is not serious, especially on a Grand Slam competition!
 
Kipute cha Final ya Madume kinachezwa Leo baada ya jana bondo kusababisha mambo kuwa ndivyo sivyo ndani ya viwanja vya flushing meadows.Natumai Kijana djoko atakuwa amepumzika vyakutosha kuweza kumsambaratisha Top Seed Nadal

hahahaha! najua itakuwa ngumu, tusubiri.
 
MTanange unaendelea hapa ngoja tuone nae ataacha kwa kunyakua set ya kwanza..so far 2-2 now
 
Nadal 6-4,3-4 Djokovic dah naona dalili za straight sets zinanukia
 
Ngoma imeahirishwa kwa sababu ya mvua wakati seti ya pili scoline ni 4-4, mvua inatarajiwa kunyesha kwa dakika 60-75 then mtanange unaendelea ngoja nikalale for now matokeo nitayakuta kesho ama kwa hakika it must be love
 
I was heartbroken Federer is not in the final - I look forward to NADAL taking the WIN!! I would have been pleased for either Roger or Nadal; both class acts and demonstrate extraordinary sportsmanship matched equally with their talent and humility!!!
 
Kiwanja si mchezo inabidi wafikirie kiwe closed ili kuzuia mvua next time...

usopen-tennis-flushing-mead.jpg
 
_49091973_djoko_nadal_getty.jpg

_49091975_nadalserve_reuters.jpg

_49091976_djokostretch_ap.jpg

_49091977_racquet_getty.jpg

Djokovic saves five break points in game five, only to lose the sixth; Nadal breaks serve, Djokovic breaks his racquet
 
_49091978_nadalstretch_getty.jpg

Nadal, who has yet to lose a set in the tournament, takes the opener 6-4
_49092030_djokosplits_ap.jpg

The Serbian isn't fazed and races to a 4-1 lead in the second set
_49092031_nadalaggression_pa.jpg

Just as Djokovic appears to have got a footholf in the match, Nadal fights back to 4-4
_49092210_010180111-2.jpg

With the final delicately poised down comes the rain and off go the players
 
Naona kama Djoko amepanic au ameshakubali kufungwa vile, too many unforced errors. Na Rafa pia rate yake ya kumaliza break points ni mbaya sana leo!!!!
 
Rafael nadal winner of the us open and seventh man to achieve the career grand slam
 
Rafael nadal winner of the us open and seventh man to achieve the career grand slam
...Hongera kwa ushindi wa nadal..Djoko naona alishakubali matokeo hakuweza kuhimili mikiki ya Rafa...\
some pics to follow
b_09132010_Djokovic_Nadal__Andrew_441.jpg

Fans in Arthur Ashe Stadium during the 2010 US Open Men's Final match.
 
_49092407_gall5766.jpg

_49092422_gall6766.jpg

Championship point arrives and Nadal collapses to the ground as he seals a 6-4 5-7 6-4 6-2 victory
_49092423_gall7766.jpg

_49092440_gall8766.jpg

The camaraderie and friendship between Djokovic and Nadal is there for all to see after the match is over
 
Celebration time
_49092441_gall9766.jpg

Djokovic must conetent himself with being runner-up at Flushing Meadows for the second time, while Nadal finally gets his hand on the trophy
_49092460_gall10766.jpg

Nadal joins Roger Federer, Andre Agassi, Roy Emerson, Rod Laver, Don Budge and Fred Perry as winners of the career Grand Slam
_49092384_tro3_getty766.jpg

Rafael Nadal joins the ranks of the all-time greats of tennis as he beats Novak Djokovic to win the US Open and complete his set of Grand Slam titles.
 
Originally Posted by senator
Ili uwe kwenye hizo rank za juu unatakiwa kupambana haswa ...Mfano ni kama Murray atachukua hii Grand Slam atakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuja kumtoa Djokovic mwakani...so ni juhudi tu za Monfils kuonesha uwezo wake mana last match alisumbuana sana na Tipsarevic na kushinda kwa set ya 4.Akifika kwenye Robo au nusu anaweza kusogea kwenye Top ten

Djokovic, the 2008 Australian Open champion, will move up to number two in the new world rankings, ahead of Roger Federer after defeating the Swiss in a dramatic five-set semi-final
Rank Name & Nationality Points Tournaments Played
1 Nadal, Rafael (ESP) 12,025 19
2 Djokovic, Novak (SRB) 7,145 21
3 Federer, Roger (SUI) 6,735 21
4 Murray, Andy (GBR) 5,035 18
5 Soderling, Robin (SWE) 4,910 24
6 Davydenko, Nikolay (RUS) 4,150 25
 
Roger basi tena, umri umefika. But, his record of 16 Grand Slams will be hard to beat.

One thing i will always regret is being in NYC for many many years and yet never set a foot on US open.
I knew several playing partners who used to go free at night, on those very late games. This was mid 90s by the way, before they rebuilt the Arthur Ashe stadium! yaani najuta sana:confused2:

But I was lucky to meet and chat with Yannick Noah at a club in SOHO. That was fantastic! For those who don't know, Noah was the second and the last niga to ever win a grand slam! He is half Cameroonian, half french, I think. Great guy
 
Kama ningekuwa huko sidhani kama ningekuwa nakosa zile game zenye akili..huku tu huwa nakesha kwa TV...Kweli Federer zama zinampita ..record yake kufikiwa itakuwa ngumu ingawa wanampa chapuo NAdal kwa kuwa bado mbichi ,24yrs huenda akafikia kabla ya kuwa na umri wa federer.Djoko ameumia sana moyoni kukosa hii slam..I do remember one time Federer alitoa chozi kufungwa na Nadal katika Grandslam wakati huo alikuwa anataka kuvunja record iliyokuwepo..nilisikitika sana that time.Nadal atasumbua kweli kwenye hii seed alikuwepo sasa.Tusubirie Masters Series kumalizia mwaka
 
Kama ningekuwa huko sidhani kama ningekuwa nakosa zile game zenye akili..huku tu huwa nakesha kwa TV...Kweli Federer zama zinampita ..record yake kufikiwa itakuwa ngumu ingawa wanampa chapuo NAdal kwa kuwa bado mbichi ,24yrs huenda akafikia kabla ya kuwa na umri wa federer.Djoko ameumia sana moyoni kukosa hii slam..I do remember one time Federer alitoa chozi kufungwa na Nadal katika Grandslam wakati huo alikuwa anataka kuvunja record iliyokuwepo..nilisikitika sana that time.Nadal atasumbua kweli kwenye hii seed alikuwepo sasa.Tusubirie Masters Series kumalizia mwaka

Kama gamu unalipenda hivyo, kwanini tusipange tuka licheza? Naona wame rinoveti zile koti za pale Chuo cha posta...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom