Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Magaidi wa ngonoWanaongelea magaidi, kwani wabongo ni magaidi?
Magaidi wa ngonoWanaongelea magaidi, kwani wabongo ni magaidi?
Tofauti kabisaaa * 10000Use your akili, hichi ulichokiandika hapa hata hakihusiani
Old ila wanapata hadi buffaloes hawa jamaa.Hizi wanazoendesha nyingi sio brand new Toyotas, ni older model. Au nimekosea?
Inavyosemekana kuna serikali zipo hapo, kwa sababu kuna uchunguzi ulifanywa na Al-jazeera kwa kuokota risasi zilizotumika wakakuta zina label ya kiwanda ambacho kiko Bulgaria na walienda mpaka kwenye hicho kiwanda bahati mbaya hawakupata access ya kuingia walitimuliwa.Wanaweza wakawa wananunua used kwa watu. Na pengine ni magari yaliyoibiwa.
Buffaloes ni nini, Loftins?Old ila wanapata hadi buffaloes hawa jamaa.
Inavyosemekana kuna serikali zipo hapo, kwa sababu kuna uchunguzi ulifanywa na Al-jazeera kwa kuokota risasi zilizotumika wakakuta zina label ya kiwanda ambacho kiko Bulgaria na walienda mpaka kwenye hicho kiwanda bahati mbaya hawakupata access ya kuingia walitimuliwa.
Hata maaskari na marais Africa wanatumia TOYOTAJapo hoja hiyo inaukweli maana magaidi na waasi wote anzia congo, somalia, libya, Iraq, mynemar, Sri lanka, central africa, cameroon, hadi nigeria wote wanatumia toyota
Japo hoja hiyo inaukweli maana magaidi na waasi wote anzia congo, somalia, libya, Iraq, mynemar, Sri lanka, central africa, cameroon, hadi nigeria wote wanatumia toyota