Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Tunajua sera za China kwa nchi za Africa,concern yake ni fursa ya kukuza uchumi wake kwa kupata tenda kubwa kubwa za ujenzi na soko la uhakika la bidhaa zake!Taifa hili huwa halijihusishi na mambo mengine kabisa yanayotokea kwenye mataifa ya Africa ilimradi yeye anafanya biashara!Kwa msimamo huo,taifa hili limekuwa role model wa baadhi ya watu na kumuona kama rafiki wa kweli!
Kwa mantiki nikawaza, vipi kama US na nchi za Ulaya zikifuata mkondo wa China?Kwamba na wao wajali tu maslahi yao ya kibiashara bila kuingilia wala kujishughulisha na mambo yanayotokea ndani ya nchi husika!Muwe na amani au msiwe na amani wao wawe kimya na kuendelea kufanya biashara!Muwe na demokrasia au msiwe na demokrasia wao wasijali na waendelee na mishe zao!Pia wasitoe misaada kama ambavyo china hatoi!
Je,hali ya amani na uchumi kwa nchi hizi za Africa itakuwaje?Kwa aina ya viongozi wa africa,siasa zitakuwaje?
Kwa mantiki nikawaza, vipi kama US na nchi za Ulaya zikifuata mkondo wa China?Kwamba na wao wajali tu maslahi yao ya kibiashara bila kuingilia wala kujishughulisha na mambo yanayotokea ndani ya nchi husika!Muwe na amani au msiwe na amani wao wawe kimya na kuendelea kufanya biashara!Muwe na demokrasia au msiwe na demokrasia wao wasijali na waendelee na mishe zao!Pia wasitoe misaada kama ambavyo china hatoi!
Je,hali ya amani na uchumi kwa nchi hizi za Africa itakuwaje?Kwa aina ya viongozi wa africa,siasa zitakuwaje?