US: Kikundi kinachodhaminiwa na IS cha Msumbiji kisipodhibitiwa, uasi unaweza kuhamia Tanzania

Hao na uhakika Zaidi ya 90% Kuwa main financier wao ni USA, Hio alert walioyotoa ni janja tu ila naona Mpango kazi tayari wanao wakuvuruga huo ukanda mana ni miongoni mwa maeneo yenye Gas nyingi sana(reserve) na kwanini hii Security alert imekuja kipindi hiki tukielekea Uchaguzi nawasihi Raia walioko upande huo kutoa taarifa zozote wanazohisi zitahatarisha usalama wa jamii, Naamini pia Vyombo vyetu vya dola viko aware na hii movement, Ulinzi wa Taifa letu ni Jukumu letu sote
 
Hao na uhakika Zaidi ya 90% Kuwa main financier wao ni USA, Hio alert walioyotoa ni janja tu ila naona Mpango kazi tayari wanao wakuvuruga huo ukanda mana ni miongoni mwa maeneo yenye Gas nyingi sana(reserve) na kwanini hii Security alert imekuja kipindi hiki tukielekea Uchaguzi nawasihi Raia walioko upande huo kutoa taarifa zozote wanazohisi zitahatarisha usalama wa jamii, Naamini pia Vyombo vyetu vya dola viko aware na hii movement, Ulinzi wa Taifa letu ni Jukumu letu sote


Mabeberu weusi wanajifanya hawakuoona huu uzi,,ila ukweli wanaujua wanajitoa ufahamu
 
Taifa letu linapashwa kuwa makini na Wamerikani - wafadhili wakubwa wa makundi ya ma terrorist wa type ya ISIS ni Wamerikani Wenyewe, we jiulize iweje Jenerali wa USA awe na taarifa kwamba kikundi hicho kimebuni mbinu mpya na kujihami na silaha hatarishi zaidi, kwani yeye ni war planner wa kikundi hicho?

Kuteleza kwa ulimi wa Jenerali huyo wa Merikani ndio iwe a wake up call kwa Taifa letu kwamba kuna kitu wana plan katika jimbo la kaskazini mwa Msumbuji na Mkoa wa Mtwara.

Kumbuka eneo hilo ndilo lenye utajiri mkubwa wa mali asili ya mafuta na gesi, miaka ya nyuma niliwahi kusikia utawala wa Merikani waki-comnent kuhusu eneo hilo nikawa concern, iweje wawe na interest na belt hiyo?

Si ajabu wakaja kutuletea matatizo siku za usoni, nionavyo mimi ni suala la muda tu kabla hawaja jaribu ku-distablise eneo tajwa hapo juu - binafsi napendelezag Nchi za SADC hazitachukuwa hatua kali ya kuangamiza kundi hili hatarishi.
Huyo Jenerali amefahamu habari za ISIS kupitia taarifa za kijasusi hivyo hakuna kuteleza ulimi hapo.

Hizo habari za Marekani kufadhili ISIS hazina uthibitisho zaidi ya propaganda tu.
 
Huyo Jenerali amefahamu habari za ISIS kupitia taarifa za kijasusi hivyo hakuna kuteleza ulimi hapo.

Hizo habari za Marekani kufadhili ISIS hazina uthibitisho zaidi ya propaganda tu.


Utakuwa una ukaribu sana na wazungu, kama sio eneo la kazi basi mko majirani wa muda mrefu. Ebu tuambie kitu gani kinakufanya usiamini mkuu?
 
Yaani wakijaribu tu kutia mguu Tanzania kule Mtwara tunawakamata, wala hakuna haja ya kuwaua, tunawakata uume, mapumbv, pua masikio na vidole vya mikono wote alafu tunawaacha waende zao, hutawaona tena na itakuwa historia.. Yaani watakimbia wakipiga ukunga hadi watazamia baharini, hutawaona tena.
 
Utakuwa una ukaribu sana na wazungu, kama sio eneo la kazi basi mko majirani wa muda mrefu. Ebu tuambie kitu gani kinakufanya usiamini mkuu?
Kama wangekua wanashirikiana na ISIS wasingeshambulia kambi zao kule Iraq na Syria.

Isitoshe kwenye Vita ya kusambaratisha ISIS, Marekani imetumia gharama kubwa sana ikiwemo gharama ya maisha ya askari wake waliokufa huko Syria na wengine Iraq.

Sasa hayo madai ya wao (Marekani) kuwasaidia ISIS mnyatoa wapi?
 
Hao na uhakika Zaidi ya 90% Kuwa main financier wao ni USA, Hio alert walioyotoa ni janja tu ila naona Mpango kazi tayari wanao wakuvuruga huo ukanda mana ni miongoni mwa maeneo yenye Gas nyingi sana(reserve) na kwanini hii Security alert imekuja kipindi hiki tukielekea Uchaguzi nawasihi Raia walioko upande huo kutoa taarifa zozote wanazohisi zitahatarisha usalama wa jamii, Naamini pia Vyombo vyetu vya dola viko aware na hii movement, Ulinzi wa Taifa letu ni Jukumu letu sote
Hawa watu tunawapinga kwa pamoja
 
Hao hawawezi kukanyaga Tanzania, hao ni wale wa kibiti wanajua tulicho wafanya
Hao wavaa kobasi wakiingia tu Tz ndiyo itakuwa mwisho wao...sie tuna andaa kundi maalumu la commando wanacheza nao kama wale wa kibiti na ole wako uwe kati ya watu ulio wapokea hapo kijijini utakuwa na wewe ni watu wasio julikana. hiyo operation itakuwa ya nyumba kwa nyumba na kazi inafanyika ucku asubuhi watu wanaendekea na ujenzi wa taifa kama kawaida mbona watarudi tu msumbiji.
Hahahaha Mkuu hivi tunavyoongea , misitu ,mapori ,vichaka ,milima na mabonde huko mtwara,Lindi,ruvuma kuna operesheni inaendelea ya jw ni balaa hakiachwi kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukichunguza kwa ndani sehemu nyingi ambazo hawa IS wameshamiri huwa kuna mkono wa U.S. Wasiwasi wangu tu hili lisijekuwa ni plan ya U.S kuisambaratisha Mozambique na Tz hasa interest ikiwa ni natural gas. Huo ukanda kwa pande zote yaani kaskazini ya Msumbiji na Kusini mwa Tz kuna reserve kubwa ya natural gas.

Hivyo tusilichukulie vyepesi hili hasa kipindi hiki cha chaguzi ambapo mara nyingi vyombo vyote vya usalama macho yanakuwa kwenye hilo tu. Najaribu kufikiria kwa sauti tu
Na LNG iliyopo hapo ni balaa ,mpk sasa kuna kampuni mbili tu kubwa ndio ziko huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukichunguza kwa ndani sehemu nyingi ambazo hawa IS wameshamiri huwa kuna mkono wa U.S. Wasiwasi wangu tu hili lisijekuwa ni plan ya U.S kuisambaratisha Mozambique na Tz hasa interest ikiwa ni natural gas. Huo ukanda kwa pande zote yaani kaskazini ya Msumbiji na Kusini mwa Tz kuna reserve kubwa ya natural gas.

Hivyo tusilichukulie vyepesi hili hasa kipindi hiki cha chaguzi ambapo mara nyingi vyombo vyote vya usalama macho yanakuwa kwenye hilo tu. Najaribu kufikiria kwa sauti tu
Inawezekana...
 
Aise unakosea sana kutuambia waislamu ni watu washenzi. Umejuaje hao ni waislamu? Na hata kama kweli ni waislamu lakin tambua kuwa wako nje ya mafundisho ya dini yetu. Muwe mnaelewa basi na sio kukurupuka tu.

Onyo la mwisho usirudie tena kutuambia waislamu ni washenzi, nakuripoti.
Pole comrade kwa kukwazika, ila hawa watu hujidadavua kuwa wanalingania uislam, ni changamoto ambayo waislam wanapaswa kuianika
 
Back
Top Bottom