Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,842
- 4,777
Hivi NSOWDENI WAO YUKO WAPI???
Umenuna,sivyo?Hahaha, alienda kupeleka mrejesho wa kutuma articles bloomberg, The Economist na jinsi alivyo feli, mrejesho pia wa maandamano na jinsi alivyoangukia pua kwa kuogopa kipigo cha mpaka kuchakaa
Hahaha, alienda kupeleka mrejesho wa kutuma articles bloomberg, The Economist na jinsi alivyo feli, mrejesho pia wa maandamano na jinsi alivyoangukia pua kwa kuogopa kipigo cha mpaka kuchakaa
Mimi ni mwanaccm hilo la Chadema kufa halipo kwa sisi kama chama tawala tumewazuia wapinzani kufanya then kesi Tunazoshindw kila mwisho wake.Msaada mkubwa kuliko yote wanayoweza kutusaidia ni katika kutuwezesha kupiga kura zetu kwa uhuru kabisa, na kura hizo zisiweze kuchezewa na mtu yeyote awaye.
Wakikubali kutuwezesha sisi wananchi kuchagua viongozi wetu bila ya mizengwe toka kwao (wanaotusaidia), au kwa watawala wanaotutawala sasa, tutatoa shukrani za dhati kabisa kwa msaada wao huo. Haijalishi, hata kama kwa utashi wetu wenyewe tutaendelea kuwachagua hao hao watawala wanaotunyima haki na uhuru wetu; mradi tu tuwe tumewachagua wenyewe bila ya kulazimishwa na yeyote.
Nauliza tu....Hivi CHADEMA wamekufa? Naendelea kumsoma tu hapa rafiki yangu Erythromycin....eeer Erythrocyte...naye akielekea kama kukata pumzi!
Nikiacha mengine yote uliyoandika hapo juu kwenye mchango wako; ni hili hasa ndilo lililonifurahisha katika jibu lako.alafu tunajisifu kwani haya hayajengi umoja wa kitaifa
Mku soma tena mm nimesema hizi siasa za kusema chadema imekufa sio kwani wamezuiliwa kufanya shughuli zao kwa hili linaondoa umoja wa kitaifa kwani sasa hivi hii nchi watu wanaishi kiitikadi ambayo sio hali nzuriNikiacha mengine yote uliyoandika hapo juu kwenye mchango wako; ni hili hasa ndilo lililonifurahisha katika jibu lako.
Kwamba nyinyi CCM mnajenga "umoja wa taifa letu" kwa kuwanyamazisha CHADEMA na wenzao sio? Safi sana mkuu!
Bila shaka umoja wa taifa letu utaimarika zaidi kwa mbinu hizi.
Sawa mkuu, naona nilichanganya.Mku soma tena mm nimesema hizi siasa za kusema chadema imekufa sio kwani wamezuiliwa kufanya shughuli zao kwa hili linaondoa umoja wa kitaifa kwani sasa hivi hii nchi watu wanaishi kiitikadi ambayo sio hali nzuri
Mwenzio yupo kazini anajua anachotafuta na atakachopata, ni mwanasiasa. We fikiri tu anautaka uraisi. Mwanasiasa yoyote kijana anayetaka uraisi anajua fika nafasi nzuri ya kuwa raisi kwa sasa ni kuwa mwanachama mwaminifu wa chama tawala.Mkuu, that step is nothing, US wanaangalia maslahi yao, na ZZK hana ubavu wa kuwa rais wa nchi hii, he is like pilitoni kwa hii nchi, he is nobody, so huyo mama mu CIA atakuwa kamchoraaa mchoro akaona huyu mdude hana kitu kichwani akaachana naye hahaha, pia mu CIA kapata zake perdiem kwa kutekeleza majukumu huku msaliti wa nchi akiishia kupewa chai
Punga linapiga vigeregere huku halina kitu mfukon limebaki ccm ccm ccm bwege kwel utazeeka hivyohivyo huna future yoyote.Nadhani itakuwa vizuri wakimrudisha kwanza Snowden US bila masharti then ndiyo waje watuambie hiyo demokrasia. Halfu mcheki ZZK anaonekana kama vile anaomba huruma fulani, hahahaha, kweli wapinzani kwisha kabisa, kwa mwendo huu wa CCM chini ya Dkt wa ukweli, Dkt Msomi, Dkt mwenye hekima Mh. Rais Magufuli wapinzani wote hawana pahala pa kuficha nyuso zao wooote kabisa wanatamani kuwa CCM ila viapo vinawabana
Kamtishe mama yako bwege wewe.Zitto,unachokitafuta ,utakipata
Ushuzi mtupu.Marekani wakiamua hata kesho wanamtoa rais yoyote kwenye ukanda huu wa afrika...acha uzwazwa
Siku hizi jf imeanza kuruhusu wahuni kama wewe badala ya great thinkers.Jukwaa limevamiwa na mom babies wa primary.Akitokea mtu akakufananisha na zoba utakataa kweli? Maana heri hata anayefuga kuku wa mayai amepiga bingo kuliko kuwa na akili hizi kwenye familia
Kwani hujui kuwa 'ule umaskini wa akili ndio umewafanya watu kuwa maskini wa mali?Hivi kwanini masikini wa pesa wanakuwa masikini wa akili pia ?