Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Aliekua anatafuta CV ya Mayalla, CV yenyewe ndo hii sasa achilia mbali ya hkoo nyuma enzi za kitimoto. Anatafuta fahali ya ulimwengu hata kwa kufumba macho na kuyasujudia mawe. Na fahali kwa speed hii ataipata. Lakn Mayalla mm nakwambia mawazo yako ya kuitafuta fahali yanapingana na nafsi yako ambayo ilikuepo kabla ya huo mwili uitafutayo fahali...mwili wenye Shauku na tamaa ya kuketi kwenye viti vya juu na kulala kwenye mahekalu na kukokotwa na magari ya chuma yavutwayo na farasi....ikiwa nafsi yako ya milele ikihuzunika kwa kusalitwa na mawazo yalyojaa tamaa ya duniaKwa ripoti hii, tuwaeleze tuu Wamerekani kuwa asanteni kwa urafiki wetu, lakini naishauri serikali yetu, isikubali kupokea misaada yoyote ya Watu wa Marekani, katika maeneo ya ku cover internationally recognized individual, civil, political, and worker rights, as set forth in the Universal Declaration of Human Rights and other international agreements. The U.S. Department of State submits reports on all countries receiving assistance and all United Nations member states to the U.S. Congress in accordance with the Foreign Assistance Act of 1961 and the Trade Act of 1974.
Hivyo hatuhitaji misaada yao kwenye eneo hili na hatutaki wafuatilie human rights records zetu, ila pia tuwaombe, kila wakitoa ripoti yao ya human rights, pia waweke repoti ya haki hizo nchini kwao, tusije kuwa ni ripoti za kunyoosheana kidole kimoja, halafu wao wana vidole vinne vikiwaelekea ila vimekunjwa!.
Hii ndio standard record yetu na kwa upande wa demokrasia, hii ndio Tanzania modal democracy yetu as part of African democracy, mambo mengine ni mambo yetu ya ndani, wao hayawahusu.
Hawa wazungu hawajui standards zetu za human rights, mfano kwenye ndoa za Kiafrika hata kwenye urafiki tuu wa wapenzi, wenzetu wazungu zile huduma hata kwa mkeo, unaomba unabembeleza, ukikataliwa ni bila bila, ukilazimisha unashitakiwa kwa ubakaji. African modal, mke ni wako mwenyewe, ukihitaji unapaswa kuhudumiwa hakuna kukataa, na ukikataa, unachukua huduma kwa nguvu, na mke hathubutu kushitaki popote kuwa huduma zimechukuliwa kwa nguvu bila idhini yake, Jamii watakushangaa. Hivyo kiukweli kabisa dada zetu, mama zetu kila siku wanabakwa na pia wanachezea vichapo, hawasemi. It's normal, it's our model.
Hivyo wazungu hawa watuache na African Human Rights records zetu na African Democracy ambapo rais ndio kila kitu, na political rights kwa Tanzanian Democracy ni haki za chama tawala pekee.
P.