US Companies Financial Meltdown - Capitalism at its best?

Inawezekana kabisa kuwa kuna sababu nyinginezo zilizofanya uchumi wa marekani uyumbe, ila mimi nadhani kuwa hamu ya wamarekani ya kuwa na serikali inayozuia abortion rights na gay marriage ndizo zilizolifikisha taifa hili hapa. Serikali hii ya sasa iliingia madarakani kwa kete hiyo na ndiyo imevuruga uchumi huu kutoka kwenye budget ya sulplus hadi kuwa budget ya deficit.

Hebu nipeni pole ndugu zanguni. Nilikuwa na stocks 850 za benki moja inaitwa New Century nilizokuwa nimenunua kwa dola 20 kila moja. Stocks zile zikafanya vizuri sana na kukua hadi dola 120 na kitu. Kuelekea mwishoni mwa spring semester, nikawa buzy na mambo ya shule nikawa mzembe wa kushindwa kuangalia mwenendo wa stock kwa siku nne mfulilizo. Siku ya tano nikakuta stock zile zimeanguka kutoka dola 120 hadi dola 5. Nikadhani ni shock tu, kesho yake nikakuta stock zimebaki dola mbili tu. Wakati huo swala la subprime lending likawa hot issue sana na kwa uchungu nikashsindwa kuuza stock zile. Leo hii stock zile zina thamani ya senti 0.01!!!!

...acha tuu,hapa nilipo kichwa kinazunguka naogopa hata kuchungulia portfolio yangu,najua 70%(networth) is gone since monday,na hili mortgage kila nikiamka linaelekea south,hii crisis imepiga pabaya sana...wabongo nyumbani msifikiri mko safe ngojeni ianze kuwachapa sawasawa huko ndio mtatia akili na soon mtaipata tuu maana naona wengine naona mmefurahi!
 
Kama hamjafuatilia historia kuanzia kabla ya vita ya pili ya dunia na the great depression...Wakati wa Churchill na Rossevelt...Msisahahu pia THE NEW DEAL....Na uanzishwaji rasmi wa Taifa la Israel mara baada ya anguko la HITLER...
 
Kitendo cha serikali ya Marekani kuingilia kati kwenye makampuni yanayoonekana kuyumba kinapashwa kuangaliwa kwa makini sana na viongozi wetu waliokimbilia kuuza mashirika yetu bila kufikiri huku wakijidai kuendesha market economy kufuatia maagizo ya mabosi wao wa marekani eti siyo serikali kujihusisha na biashara. Je kitendo cha Marekani ambayo ndiyo baba na mama wa ubepari aliyeanzisha hiyo market economy kuingila kati na kuchukua makampuni kina tofauati gani na serikali yetu kusimamia mashirika yake ya umma hadi yawe na nguvu ya kutosha kujiendesha kwa faida ya nchi? Kama serikali ya marekani imefanya uchambuzi na kuona kuwa ni kwa faiuda ya nchi kuchukua makapmuni hayo, je serikali yetu haikuona faida yeyote kuimarisha mashirika yake kusudi miaka ya mbele tuwe tunawez ku-export biadhaa zenye added value? Najua kuwa kuna makampuni mengi Japan yaliyoazishwa na serikali hadi yalipoimarika ndipo yakaachwa yajeindeshe binafsi: NEC, JR, JAL, na mengineyo mengi tu. Lakini eti Tanzania inauza ATC, TR na mengineyo mengi tu.
 
Mwalimu Kichuguu,

Jana au juzi, Kikwete kakutana na Wachina Dar na kawambia kuwa GVTZ inajiandaa kubinafsisha TAZARA kutokana na uongozi na utawala mbovu!

Nimekaa nikijiuliza tangu nisome kauli hiyo ya Kikwete, hivi kushindwa kwa mashirika ya Tanzania na taasisi zake suluhisho lake ni kubinafsisha na kuziuza kwa wawekezaji?

Kama hivyo ndivyo kuwa tunashindwa kuwa na uongozi madhubuti kuchapa kazi, kuongeza ufanisi na ubora wa bidhaa au huduma, ni nani basi anastahili akatwe kichwa? Je si Serikali hiyo hiyo ambayo imekosa dira au sera na uwezo wa kuongoza?

Tunakimbilia Asprin kwa kila kitu na Asprin yetu ni kuuza au kubinafsisha, sasa tutabakiwa na nini?

Je Serikali ya Tanzania imeshawahi kukaa chini na kufanya tathmini ya kweli kwa nini Tanzania ime-inazorota katika Utendaji na Utawala?

Mwanzo wa ugonjwa huu wa udhaifuwa Uongozi ni lile jengo pale Magogoni linaloitwa Ikulu na yule anayekikalia kiti kikuu Ikulu!
 
Game theory,

Sawa mkuu tusubiri kwa sababu hakuna haja kuandikia mate hali kila kitu kitajitokeza wazi wala sio muda...
Kumbuka tu kwamba yote haya tunayoyaona leo hii ni matokeo,a yaani ni matunda ya UBEPARI uliopandikizwa bila kutazama WATU na MAZINGIRA yakle...Angalia sana alama za samaki sokoni hasa pale mmoja anapoanza kuoza..Kwa hiyo kama kweli wewe unaamini kabisa kwamba ili kukoa abiria (populance) ktk meli (giant companies) zinazozama, na ukaona ni bora zaidi kutumia assetes na akiba yote kuokoa meli ambayo kama meli haina tena thamani (toxic) kuliko kuokoa abiria wenyewe..then kinachobakia hapa ni sisi kufunga macho. kupiga magoti na kuomba Mungu kwamba meli hii inaokolewa!..Laa sivyo ikishindikana kuokolewa basi meli na abiria wote watakwenda na maji..The prospect of these challenge will define America's and the west economic future ought to be about!
Tatizo la yote haya kama nilivyosema toka mwanzoni yamesababishwa na kutokuwepo regulation ktk hizi financial market. China walipofanya mageuzi ya kiuchumi waliendelea kuitumia serikali yao ku regulate financial market zao..Kama unakumbuka majuzi tu walioambiwa washushe thamani ya fedha yao wakakataa..waliambiwa bank zao zisiwe controlled na serikali na pia watoe nafasi kubwa kwa benki za nje bila masharti na regulations wakafumba macho..Kila siku tumesikia wataalam wa nchi za Magharibi na hasa US na UK wakisema China hawana muda lazima Uchumi wao utaanguka kama sio leo kesho kutokana na serikali kuingilia..well now we know nani ameumia zaidi na huo uhuru wa kiuchumi -soko huria na globalization!
Kwa hiyo kabla hujaitazama SWF as a solution ni muhimu tutazame tatizo limeanza wapi..tactics za mashirika haya makubwa ni sawa kabisa na za Mafisadi nyumbani, hao kina Patel, Visran, Rostam na kadhalika ambao wapo tayari kutumia millions to make more billions bila kujali nani yupo njia watamfagia!..Their main focus is to make more money at any cost..sasa jiulize ni kina nani wako nyuma ya hao mafisadi....Viongozi, Wataalam, Wasomi wetu ambao wamekwisha sahau kabisa Uzalendo..Hata hao Masheikh ulowasema wa Dubai sijui Kuwait na kadhalika hawa ni wafanya biashara na wanaweza kabisa kuhujumu uchumi wa nchi yoyote kwa sababu wanachotafuta wao ni fedha. Na kina nani wapo nyuma ya hawa Masheikh?...ni Viongizi na Wataalamu wakubwa toka nchi za West.... Na trust me Dubai leo hii inaonekana kuwa na yote haya kwa sababu wanatumia fedha yao...Buy anything what money can buy at any cost kuleta maendeleo Dubai na UAE.

Leo hii mkuu, amini usiamini Dubai ina concentration kubwa sana ya talented individuals kuliko nchi za Ulaya - per capita, kuna high degree of technological innovation kuliko nchi zote za Ulaya in the last 10 years, na kikubwa zaidi kuliko yote kuna high level of tolerance for changes in basic fundamental values to accommodate deverse lifestyles kuliko nchi zote za kiarabu na pengine kuliko hata nchi za Ulaya..
Haya yote pia tunayaona Kuwait, Qatar na Kidogo Saudia ingawa wao wamebanwa sana na maswala ya dini...
Mkuu kama nilivyotoa mfano wangu huko nyuma kuhusiana na Ukulima.. tazama basi hawa jamaa zetu waarabu nchi yao jangwa, hakioti kitu wala hakuna uwezekanano wa kuota kitu isipokuwa kwa kutumia fedha zao... nenda leo Dubai ukaone ilivyo utadhani haiko jangwani...
Mkuu hawa jamaa hawaendi shambani kulima wao mafuta yapo na population yao kidogo sana, kiasi kwamba raia wote wa Dubai wanaweza kutokwenda kazini kwa mwaka mmoja na still vitu vikajiendesha kwa kutumia Watumwa wapya wa waarabu..- Wataalam, hii ndiyo biashara mpya ya Utumwa nchi za kiarabu..
Tofauti kubwa kati ya nchi za kiarabu, China au Marekani ni kwamba hawa jamaa waarabu hawalimi wanaagiza tu kile kilichokuwa bora..wanachagua pa ku invest...
Nchi nyingine zote uchumi unahesabiwa kwa fedha, tunajipanga kama malaya wanaojaribu kumvutia mwarabu...Iwe China, Marekani au Ulaya..
 
---Koba na Kichuguu Poleni sana. Ni somo gumu mmepata.... mimi thamani ya shares zangu ikikaribia tu ku-double, nauza!! Hamna kitu kinachopanda bila kushuka under our troposphere!!

SteveD.
 
Rev. Kishoka,

Mkuu wangu wala usishangae sana maanake kubinafsisha mali zote za Umma kama vile ATC, TRC, na TAZARA haiwezi kuwa dawa ya kuondokana na Umaskini isipokuwa - it's the easy way out!..
Kama kawaida yetu sisi binadamu siku zote hutafuta njia ya kuchomokea pindi tunapobanwa na tatizo na mara nyingi huchukua hatua za mkato..
Nitakukumbusha hadithi moja ambayo sidhani kama wengine mmewahi kuifikiria..
Katika karne ya 14, kulizuka ugonjwa unaoitwa Plague ambao uliua kishenzi hata ukapachikwa jina la Black Death..mnakumbuka vizuri!...Haya ni zipi zilikuwa hatua za mwanzo kuhusiana na ugonjwa huo baada ya kugundulika kwamba hauna dawa!... Ilikuwa :- Kuchoma moto maiti za wagonjwa.. (easy way out)
Hii ilikuwa njia rahisi sana ya ku deal na usambaaji wa maradhi hao lakini walichoshindwa kuelewa ni kwamba sio maiti hizo ama Binadamu aliyejenga fear hiyo ama adui yetu isipokuwa ni virusi (VIRUS) wanaoasababisha ugonjwa huo..
Kwa hiyo kuchoma moto maiti kulikuwa hakusaidii kitu ktk kupambana na virusi hao zaidi ya kuondoa tumaini la kupatikana kwa dawa haraka.. Ikiwa huna mwili uliohifadhiwa utaweza vipi kufanya uchunguzi wa hao virusi wanaoua!..
Kwa hiyo mkuu waliendelea kuchoma moto hadi population ya dunia nzima ilipungua kwa kiasi cha asilimia 30 kabla hawajashtuka kuwa ndio kwanza virusi walikuwa wakizidi kusambaa toka Asia hadi Ulaya nzima!..then wakaanza kufikiria jinsi ya ku deal na the real problem yaani virusi wenyewe na mapanya yaliyokuwa yakibeba..

Hatukujifunza, yamekuja magonjwa mengine mengi tu ambayo mara zote tumekuwa tukitumia zaidi njia za mkato kwanza ku buy time na watu wengi wamekufa kwa sababu hizo hizo ..
Sasa tazama basi kuna haya magonjwa ya mifugo kama Mad cows na magonjwa ya kuku yanayoambukiza ambayo badala ya sisi kutafuta njia za kuponya wanyama hawa tunawachoma moto hivyo kupoteza kabisa ushahidi wa virusi vinavyoambukiza ama chanzo cha kuwepo virusi hivyo...

Je, ni miaka mingapi leo hii magonjwa haya toka yamejitokeza tumeweza kupata dawa zake?... Focus yetu kubwa imekuwa kutazama hao ng'ombe, kuku na nyama kutoka China au nchi fulani kuwa ndilo tatizo bila kuweka pause na kusema... wait a minute!.. Hawa wanyama wote kama binadamu wanakufa kwa sababu kuna virus ambavyo tumeviacha vikasambaa bila kufahamu chanzo chake.. Adui yetu sio hawa ng'ombe ama kuku isipokuwa ni virusi vinavyoambukiza maradhi haya na Kuchoma moto hawa wanyama haiwezi kuondoa ukweli tuliojifunza kuwa tunayarudia yale yale ya wakati wa Plague...

Sasa sijui itachukua miaka mingapi hadi tufahamu kwamba ni muhimu sana kutatua matatizo kwa kuweka juhudi na nguvu ktk chanzo cha tatizo hilo..Hao virus, ni wao tunatakiwa tufahamu zaidi kuhusiana nao, wametokana na kitu gani! wanaweza vipi kuambukiza na kadhalika..
Ng'ombe, kuku na sisi binadamu ni victims wa maradhi yanayoambukiza..Ajabu ni kwamba ng'ombe na kuku waliokufa kwa maradhi hayo huchomwa lakini binadamu aliyekufa kwa maradhi hayo hayo huzikwa!..sasa sielewi tunachoepuka hapa ni kitu gani?..
Kwa hiyo binafsi nime conclude kwamba focus kubwa inatakiwa kuwachunguza hao virus jinsi wanavyoweza kuambukiza, kusambaa na kuzaana, solution sio kuchoma moto maiti (kiumbe) ambao hao virus tayari wameisha maliza kazi yao na wanatafuta makazi mapya!..
Leo ni miaka mingapi hatuna dawa ya Uhakika kwa outbreak ya maradhi haya!..... tic....tac! tic tac.
Yooote haya ni kwa sababu tunatafuta njia za mkato badala ya ku deal na the real problem..
 
GT,

I see Bernanke and King Henry have granted Goldman Sachs and Morgan Stanley provisions to change their charters and thus become commercial banks accepting deposits!

Sasa which Commercial Bank inayochechemea itanyakuliwa? We know WAMU is on the table and Dick Kovacevich wa WFC kasema the way financial situation ilivyo sasa hivi, it makes him being Chairman of WFC feel like Kid in Candy Store!

Who would be next available bank? Wachovia? US Bank? Would BoA survive the mega purchase of Merryl Lynch in addition to the Muzigo of purchasing Countrywide Mortgage?

Look for small regional banks selling their shares to the big sharks and wolves who are liquid such as GS!
 
Inawezekana kabisa kuwa kuna sababu nyinginezo zilizofanya uchumi wa marekani uyumbe, ila mimi nadhani kuwa hamu ya wamarekani ya kuwa na serikali inayozuia abortion rights na gay marriage ndizo zilizolifikisha taifa hili hapa. Serikali hii ya sasa iliingia madarakani kwa kete hiyo na ndiyo imevuruga uchumi huu kutoka kwenye budget ya sulplus hadi kuwa budget ya deficit.

Hebu nipeni pole ndugu zanguni. Nilikuwa na stocks 850 za benki moja inaitwa New Century nilizokuwa nimenunua kwa dola 20 kila moja. Stocks zile zikafanya vizuri sana na kukua hadi dola 120 na kitu. Kuelekea mwishoni mwa spring semester, nikawa buzy na mambo ya shule nikawa mzembe wa kushindwa kuangalia mwenendo wa stock kwa siku nne mfulilizo. Siku ya tano nikakuta stock zile zimeanguka kutoka dola 120 hadi dola 5. Nikadhani ni shock tu, kesho yake nikakuta stock zimebaki dola mbili tu. Wakati huo swala la subprime lending likawa hot issue sana na kwa uchungu nikashsindwa kuuza stock zile. Leo hii stock zile zina thamani ya senti 0.01!!!!

Wewe sasa unaleta siasa hapa. Hao vigogo wa Fannie na Freddie wote ni Democratic appointees. Chris Dodd na Barney Frank wote ni democrats. Unajua roles zao kwenye congress au basi tu unataka kuleta ushabiki wa kisiasa? Unajua ni kiasi gani Raines alipata baada kuachia ngazi Fannie? Na unajua ni nani washauri wa mambo ya kichumi wa Messiah? Acha hizo bana....
 
When Capitalism turned to be socialism. No one to trust, Paulson sounds like he doesn't know what the hell is talking about. It is the end of American Financial System or the Beggining of the end of American Financial system.

Washington Mutual & WAchovia stock in penny stock situation, Citigroup yuu taabani kwenye koma, Goldman and Morgan stanley wameshaaamua kuchannell kwenye cormercial banks na Fed wameshawapigia stamp.

The question is who knows kuhusu ni liini hii nightmare itakuwa over? With Global economy who will survive? Can more regulations be solution?

Republican thought Glass Steagall Act of 1933 was a jock, then they awards this Investment banks to do what they wish kwa sababu ya kwamba everybody around the world is doing the same. These greeds impose the syestem which neither of them knows how it works. "The mortgage backed security"

700Billion is not a problem, but the Question is where will the money come from? With the dollar weaker than ever, can America afford to print more money? With bad political relations with other nations can America afford to borrow from Russia and China?

The challenges doesn't end after Bail out is over, but think about new president how will he afford the to remodel health care, Social Security, and the War in Iraq ahd Afrighan?

America is in the Coma, i know what i am talking, there is no easy way around. The governement doesn't know how to run a company, but next week US government will start to run Insuarance companies AIG, Banks Bear stearns, Indymac and Feddie and Fannie and soon it will start to own all mortgages in US. What is the JOCK?

Neither Obama no McCain gatta the solution for these turmoil. While Wall Street CEO gatta the golden jacket for their mess, Main Street people can't afford gudulia la mafuta.

What will happen when credit market will be frozen? You will work up in the morning without credit card, you can't borrow money to buy a house or a car. But how about big projects like investments of offshore drilling?
Does Paulson scares people? I thought four month ago when he bailed out Bears Stearn he said we about to hit the bottom of this mess. Now he wanna turn the capitalism into socialism, does he cares? Or he is worring about his buddies at Goldman? No one knows exactly what Bush and his hommies try to take this great nation on earth into.

The investor suppose to enjoy capital gain, and pay the price for careless investments and not otherwise, that is pure Capitalism.
Can America afford McCain doctrine at this moment?
 
When Capitalism turned to be socialism. No one to trust, Paulson sounds like he doesn't know what the hell is talking about. It is the end of American Financial System or the Beggining of the end of American Financial system.

Washington Mutual & WAchovia stock in penny stock situation, Citigroup yuu taabani kwenye koma, Goldman and Morgan stanley wameshaaamua kuchannell kwenye cormercial banks na Fed wameshawapigia stamp.

The question is who knows kuhusu ni liini hii nightmare itakuwa over? With Global economy who will survive? Can more regulations be solution?

Republican thought Glass Steagall Act of 1933 was a jock, then they awards this Investment banks to do what they wish kwa sababu ya kwamba everybody around the world is doing the same. These greeds impose the syestem which neither of them knows how it works. "The mortgage backed security"

700Billion is not a problem, but the Question is where will the money come from? With the dollar weaker than ever, can America afford to print more money? With bad political relations with other nations can America afford to borrow from Russia and China?

The challenges doesn't end after Bail out is over, but think about new president how will he afford the to remodel health care, Social Security, and the War in Iraq ahd Afrighan?

America is in the Coma, i know what i am talking, there is no easy way around. The governement doesn't know how to run a company, but next week US government will start to run Insuarance companies AIG, Banks Bear stearns, Indymac and Feddie and Fannie and soon it will start to own all mortgages in US. What is the JOCK?

Neither Obama no McCain gatta the solution for these turmoil. While Wall Street CEO gatta the golden jacket for their mess, Main Street people can't afford gudulia la mafuta.

What will happen when credit market will be frozen? You will work up in the morning without credit card, you can't borrow money to buy a house or a car. But how about big projects like investments of offshore drilling?
Does Paulson scares people? I thought four month ago when he bailed out Bears Stearn he said we about to hit the bottom of this mess. Now he wanna turn the capitalism into socialism, does he cares? Or he is worring about his buddies at Goldman? No one knows exactly what Bush and his hommies try to take this great nation on earth into.

The investor suppose to enjoy capital gain, and pay the price for careless investments and not otherwise, that is pure Capitalism.
Can America afford McCain doctrine at this moment?

Good points Mtanganyika. Just to add up i would imagine since the John Kichaka administration is trying to railroad the plan through Congress - with no changes or additions - here are a few questions to ask:



1) How does buying troubled assets help recapitalize the financial institutions unless the Treasury pays a premium for the assets?


2) Why aren't taxpayers receiving some sort of contingent shares in the companies based on the losses to the taxpayers? If there are no taxpayer losses (as some are projecting), then the shares would not be issued - if there are substantial losses, then the taxpayers would own a sizable portion of that institution.

Note: Senator Dodd proposed something along these lines this morning.
From the WSJ: Dodd Bailout Draft Could Give Government Shares of Companies
Sen. Dodd's plan would not allow the Treasury Department to purchase any assets "unless the Secretary receives contingent shares in the financial institution from which such assets are to be purchased equal in value to the purchase price of the assets to be purchased."
source: Dodd's Bailout Draft Could Give Companies' Shares to Government - WSJ.com

Why isn't the entire process transparent? There are no national security issues, so Treasury could provide an online site that listed each transaction purchased by the government.

This could be updated daily and list the details of the asset, the PAR value, the selling institution, the underlying characteristics, the originators of the loans, the price the government paid (and eventually sold the asset for) and any other relevant detail. This transparency would help with pricing and oversight.

But dont bet yto get any answers since Kichaka and his friends wana mitazamo topfauti na wengine
 
Game theory,

Sawa mkuu tusubiri kwa sababu hakuna haja kuandikia mate hali kila kitu kitajitokeza wazi wala sio muda...Kumbuka tu kwamba yote haya tunayoyaona leo hii ni matokeo,a yaani ni matunda ya UBEPARI uliopandikizwa bila kutazama WATU na MAZINGIRA yakle...Angalia sana alama za samaki sokoni hasa pale mmoja anapoanza kuoza..Kwa hiyo kama kweli wewe unaamini kabisa kwamba ili kukoa abiria (populance) ktk meli (giant companies) zinazozama, na ukaona ni bora zaidi kutumia assetes na akiba yote kuokoa meli ambayo kama meli haina tena thamani (toxic) kuliko kuokoa abiria wenyewe..then kinachobakia hapa ni sisi kufunga macho.

MKANDARA...your above portion oif your post can be summerized in 14 simple points:


1.) Free trade cost America jobs.



2.) The old methods of lowering interest rates and taxes were tried to stimulate the production of jobs by giving Americans more money to buy more.


3.) The old methods didn't work well because Americans weren't producing anything but houses, health care, excessive government, prison space, the military, mortgage securities and legal defenses against inflated charges by the police.



4.) Those things were stimulated. Chinese production was also stimulated. America built more homes. America outsourced mortgage securities.



5.) America needed more people buying homes so we started giving mortgages to people without verifying their incomes.



6.) America increased the interest rates to burst the bubble on housing prices. With outsourcing and free trade, that bubble was all that was keeping America going.



7.) Housing values dropped. People without sufficient incomes to pay mortgages lost their homes. Dropping housing values decreased jobs.



8.) Suddenly there weren't sufficient jobs for even the verified incomes. More people lost their jobs. More people lost their homes.



9.) Housing prices dropped further. Mortgages became higher than the value of homes. People lost their life savings.



10.) It started with unlimited and unrestricted free trade and outsourcing.



11.) The predictions of H Ross Perot and Karl Marx have been fulfilled.


12.) Once the dominos started falling, there is no sane choice left but to stop the chain reaction.



13.) Failed compaines must be resurrected.



14.) Unlimited Free trade and outsourcing must immediately be arrested by either tarrifs or a sales taxes on both foreign and domestic products accompanied by a reduction in corporate taxes on American manufacturing and a lessening of the incentives to outsource.





kupiga magoti na kuomba Mungu kwamba meli hii inaokolewa!..Laa sivyo ikishindikana kuokolewa basi meli na abiria wote watakwenda na maji..The prospect of these challenge will define America's and the west economic future ought to be about!



Interesting...what i feared was the doomsday scenarios kama aliziokuwa anaelezea Fareed Zakaria jana kwenye CNN kwenye kipindi chake cha GPS....to be fair bwana MKDR i used to be afraid of a big collapse and depression caused by American central banking system(kwa kuamini kuwa when America sneazes everyone catches cold), but not so much anymore.



The more I have learned about the history of the great Depression, the more I am convinced that, if not for all the other interventions in the economy, the great Depression would have been over in a couple of years. In fact, in a free economy, even with a central bank, the fluctuations in the money supply would result in recessions that Americans could recover from very quickly, if prices, including wages, are allowed to fall along with the money supply....upo hapo?




Mkandara, if your political economy is good then you will understand that what prolonged the Great Depression was all sorts of measures such as the Smoot-Hawley Tariff act, and the New Deal. In an attempt to protect American manufacturing from competition, Americans destroyed their foreign markets, thus destroying American manufacturing. The New Deal discouraged recovery by constantly changing the rules by which businesses may operate, and a changing tax structure made people unsure of how much of what they earn they would be allowed to keep, especially with Roosevelt always itching to raise taxes even more. That, plus paying farmers to slaughter and bury their livestock and plough under their crops without harvesting damaged the productivity of Americas agriculture in a misguided attempt to help it.



Now fast forward 2008 what what I do fear is that a recession could prompt those reactionary American politicians to enact New Deal style policies that would create the same kind of depression all over again. There is already a lot of talk about protectionist measures.




Tatizo la yote haya kama nilivyosema toka mwanzoni yamesababishwa na kutokuwepo regulation ktk hizi financial market.




Mjomba i recommed one word to you :

COMMANDING HEIGHTS.....au kikosa then kukupa clue hiyo ilikuwa ni title ya speech by VLADIMIR LENINto refer to the segments and industries in an economy that effectively control and support the others, such as oil, railroads, banking and steel.

Kwa kukusaidia tuu then here are the videos:



The Commanding Heights Part One: The Battle of Ideas



[media]http://video.google.com/videoplay?docid=-1466397368167658753&ei=zLrWSNizDYqCwgPR59zuDw&hl=en[/media]



Commanding Heights Part Two: The Agony of Reform



[media]http://video.google.com/videoplay?docid=-3122039563423208507&ei=zLrWSNizDYqCwgPR59zuDw&q=ch-2[/media]



Commanding Heights Part Three: The New Rules of the Game



[media]http://video.google.com/videoplay?docid=112129377629231653&hl=en[/media]



I think it's an excellent documentary, but one thing it doesn't touch on is the federal reserve, its monopoly control over the currency and the centralization of the banking/financial sector by the financial elite through government decree.



China walipofanya mageuzi ya kiuchumi waliendelea kuitumia serikali yao ku regulate financial market zao..Kama unakumbuka majuzi tu walioambiwa washushe thamani ya fedha yao wakakataa..waliambiwa bank zao zisiwe controlled na serikali na pia watoe nafasi kubwa kwa benki za nje bila masharti na regulations wakafumba macho..




Mkandara argument yako inaangukia kwenye kundi la wale ma critics wa "China shocK" (an argument that China will rise as a new world economic centre) only focus on China's potentiality, not on the comparative analysis of China's development strategy within this region.



lakini its also true kuwa contrary to popular belief au opinion. China didint start making economic reforms in the last 10 years but rather it been pursuing capitalist-oriented reforms since the 1980s, and of course she becomes one of the most rapidly changing states in the East Asianeconomy. Few analyses, however, compare the Chinese development strategy with the "East Asian development model" even though China shares many characteristics with it and becomes an important growth centre in this region. Some critics of "China shocK" (an argument that China will rise as a new world economic centre) only focus on China's potentiality, not on the comparative analysis of China's development strategy within this region.



Kwa kukuongezea tuuu ni kuwa another interesting point ni kuwa China was least affected by the Asian financial crisis in 1997 and 1998 though she shared many of the economic vulnerabilities that led to the financial crisis in other East Asian countries kama vile:



a) a bank dominated by a financial system with a high level of government intervention

b)weak norms of regulation and supervision over commercial banks,

c) a large accumulation of non-performing loans


Lakini vile vile there are several reasons why China was able to avert the crisis na post yako ya juu hapo ni mojawapo lakini kwa kukuongezea tuu ilikuwa ni

1)strict capital control by the government

2)the absence of capital convertibility

3)manageable short-term external debt

4)a large trade surplus, large amount of foreign exchange reserves

5)high inflows of FDI



Lakiini zaidi ya yako kuna factors nyingi tuu ambazo zilikuwa involved in the characteristics of the "developmental state."


Ma developmental economists wanakuja na namna mbali mbali kuelezea au ku analyse China's experiences from a comparative perspective lakini hii inakuwa raised by two contradictory aspects of Chinese development tunaiona leo nazo ni:



a) On the one hand, China pursues a wide open door policy in the age of globalisation that makes the state capacity of economic intervention vulnerable. b)On the other hand, China still shares many characteristics of developmental state model in East Asia....so its quite obvious kuelewa kwa nini kuna so much state intervention kwenye economy yao na its understandable....


Kila siku tumesikia wataalam wa nchi za Magharibi na hasa US na UK wakisema China hawana muda lazima Uchumi wao utaanguka kama sio leo kesho kutokana na serikali kuingilia..well now we know nani ameumia zaidi na huo uhuru wa kiuchumi -soko huria na globalization!

Mjomba siri ya hawa wachina iko kwenye DUAL STRUCTURE ya uchumi wao. Mfano ukitazama slogan for the Chinese development strategy katika miaka ya 1980s ilikuwa "crossing the river by groping for the stones." lakini kwenye mika ya 90'silibadilika na ikawa theorized as "the Socialist Market Economy." hivyo uchumi wao kupita katika kipindi hicho cha mpito au reform process, the Chinese economy has been transformed into an economy of dual structure yaani on one hand, ever-expanding non-state sectors have been playing major roles for China's wider opening to and incorporation into the world economy....



nisikuchoshe sana na maelezo lakini hizi graphs zinaeleza so much about the current picture:

And as for GDP projections:
world20267sp.jpg






0043511.gif




Kuhusus wao kushsha thmani ya pesa yao.. well what can i say ? kwa kukuongezea tuu ni kuwa Beijing been attempting to diversify its foreign reserves away from U.S dollars and U.S treasury bonds since early last year. But so far Beijing hasn't indicated it will dump U.S dollars but instead is trying to invest the dollars by forming state-controlled investment firms to invest abroad. Given that Beijing has to consider the economic and political implications of dumping dollars, I don't see it is going to do it any time soon. But it could nevertheless be used as leverage, for examples, in trade talks with the U.S concerning U.S trade deficit/appreciation of Chinese Yuan.



Kwa hiyo kabla hujaitazama SWF as a solution ni muhimu tutazame tatizo limeanza wapi..tactics za mashirika haya makubwa ni sawa kabisa na za Mafisadi nyumbani, hao kina Patel, Visran, Rostam na kadhalika ambao wapo tayari kutumia millions to make more billions bila kujali nani yupo njia watamfagia!..


Dont hate the player, hate the game



Their main focus is to make more money at any cost..sasa jiulize ni kina nani wako nyuma ya hao mafisadi....Viongozi, Wataalam, Wasomi wetu ambao wamekwisha sahau kabisa Uzalendo..

I don't buy that people can be manipulated that easily. Sure, we're not perfectly rational Homo Economicus agents, but we're still thinking beings with the ability to reason.Zama za uzalendo zilikwisha siku ile ule ukuta wa Berlin upoanguka...sasa hivi kila mmoja kivyake. Its a sad truth mjomba.

Hata hao Masheikh ulowasema wa Dubai sijui Kuwait na kadhalika hawa ni wafanya biashara na wanaweza kabisa kuhujumu uchumi wa nchi yoyote kwa sababu wanachotafuta wao ni fedha. Na kina nani wapo nyuma ya hawa Masheikh?...ni Viongizi na Wataalamu wakubwa toka nchi za West.... Na trust me Dubai leo hii inaonekana kuwa na yote haya kwa sababu wanatumia fedha yao...Buy anything what money can buy at any cost kuleta maendeleo Dubai na UAE.




Leo hii mkuu, amini usiamini Dubai ina concentration kubwa sana ya talented individuals kuliko nchi za Ulaya - per capita, kuna high degree of technological innovation kuliko nchi zote za Ulaya in the last 10 years, na kikubwa zaidi kuliko yote kuna high level of tolerance for changes in basic fundamental values to accommodate deverse lifestyles kuliko nchi zote za kiarabu na pengine kuliko hata nchi za Ulaya..




Haya yote pia tunayaona Kuwait, Qatar na Kidogo Saudia ingawa wao wamebanwa sana na maswala ya dini...




Mkuu kama nilivyotoa mfano wangu huko nyuma kuhusiana na Ukulima.. tazama basi hawa jamaa zetu waarabu nchi yao jangwa, hakioti kitu wala hakuna uwezekanano wa kuota kitu isipokuwa kwa kutumia fedha zao... nenda leo Dubai ukaone ilivyo utadhani haiko jangwani...



Mkuu hawa jamaa hawaendi shambani kulima wao mafuta yapo na population yao kidogo sana, kiasi kwamba raia wote wa Dubai wanaweza kutokwenda kazini kwa mwaka mmoja na still vitu vikajiendesha kwa kutumia Watumwa wapya wa waarabu..- Wataalam, hii ndiyo biashara mpya ya Utumwa nchi za kiarabu..




Tofauti kubwa kati ya nchi za kiarabu, China au Marekani ni kwamba hawa jamaa waarabu hawalimi wanaagiza tu kile kilichokuwa bora..wanachagua pa ku invest...




Nchi nyingine zote uchumi unahesabiwa kwa fedha, tunajipanga kama malaya wanaojaribu kumvutia mwarabu...Iwe China, Marekani au Ulaya..
[/QUOTE]



Naomba economic critique ya SWF kam aliyoitoa Larry Summer kwenye hii op ed ya FT sometimes back in Summer last year:
Funds that shake capitalist logic​
http://www.ft.com/cms/s/2/bb8f50b8-3dcc-11dc-8f6a-0000779fd2ac.html
 
US bail-out plan provokes doubts
BBC News Online

Markets have seen huge volatility recently
Doubts over the speed at which the US financial bail-out plan can be introduced have emerged from both Democrat and Republican politicians.

Democrat Congressman Barney Frank said it was "entirely unreasonable" to expect Congress to give the rescue plan the go-ahead quickly.

Urging speed, President Bush said the world was watching to see if "we can act quickly to shore up our markets".

Few details about the $700bn (£382bn) package have been announced.

The uncertainty has caused the Dow Jones share index to fall by 2%.

Meetings took place over the weekend between Federal Reserve head Ben Bernanke, US Treasury Secretary Henry Paulson and members of Congress to try to seek consensus on the plan.

'Unreasonable' expectation

Republican Congressman Christopher Shays said members needed sufficient time to debate the issue.

Democrat Congressman Barney Frank, chairman of the House Financial Services Committee, said Democrats would want certain changes, such as guaranteeing that the pay for bosses of the firms being bailed out was limited.

"The private sector got us into this mess," said Mr Frank.

"The government has to get us out of it. We do want to do it carefully."

But President George W Bush said it "would not be understandable if members of Congress sought to use this emergency legislation to pass unrelated provisions, or to insist on provisions that would undermine the effectiveness of the plan".

Changing landscape

The Group of Seven (G7) most wealthy nations said it welcomed the US move and reaffirmed its strong commitment to "protect the integrity of the international financial system".

"We pledge to enhance international cooperation to address ongoing challenges in the global economy and world markets," said the G7.

It added it would do whatever was necessary to ensure stability in the international financial system.

The financial sector has seen huge upheaval in recent days, with Lehman Brothers folding and Merrill Lynch being bought by Bank of America.

Morgan Stanley and Goldman Sachs - for decades independent investment banking firms - requested to change their status that will see them regulated by the Fed.

The move, which means they will expand into the commercial banking sector, arguably marks an end of an era on Wall Street.
 
GAME THEORY,

Mkuu mimi nayoandika ni jinsi navyoona mimi sifuati msomi fulani wala kitabu fulani kwa sababu sijabobea ktk Uchumi isipokuwa najua tu baadhi ya mambo ambayo huyatazama na kulinganisha na hali halisi...
Mengi kama sio yote uliyoyaandika ndio ninachosema mimi na nimetazama kwa undani zaidi kulingana na mazingira haya tuliyokuwa nayo. Na nimejaribu sana kuyaweka ktk lugha ambayo inaeleweka kwa wengi.

The great depression has nothing to do with what we face now!...factors are different, so is economic environment and major players..Mkuu America inahitaji kuweka taratibu za kuhakikisha haki na ufanisi unatumiaka ktk financial market laa sivyo tutazidi kuishiwa.. Unacheza na Myahudi...
Nita touch back kile nachokiona mimi!..
 
I might have misunderstood Ur primary question.. as I recall U asked me if SWF was a solution…To my understanding SWF is the pool of financial assets a government owns and has invested in. What I have been stressing in the past postings is that using foreign government to invest in US wasn't a solution to what America is facing..
Reason behind was that, these Assets to be bailed out are bad Assets yaani kwa Kiswahili cha mtaani ni Rejects!.. Now huyo mwarabu atakuwa mjinga kiasi gani kuingia mkenge wakati harufu mbaya ya mashirika haya imeisha jitokeza kwani yeye yupo pale kupokea makombo!
Besides, tunapozungumzia SWF kumbuka hizi ni government owned investments ambazo hawa jamaa wana wataalam wa kutosha kuweza kutambua tofauti kati ya business cycles na fluctuations...
Now, as we speak US and it's vichwas are focusing on another option to bail out these financial giants. - Tax payers meaning You and me are bound to pay for bad Assets kwa sababu wanajua kwamba Waarabu hawawezi kutumbukiza rejects ktk SWF zao.esp. pale forecasting changes on market for these investments is simply unknown…hii business circle haijulikani inakwenda wapi!..kweli wewe in your right mind unaweza kununua any of these company kama ungekuwa nazo! mkuu hata wachumi wengi wanatushauri sisi wananchi turudi ku invest ktk basic – GOLD..

Larry Summer anachozungumzia ndio hofu ya watu wengi including me!.. Uwezo wa nchi za nje kuchukua ama ku invest ktk commanding heights za nchi yao ni hatari kubwa. Ni hatari ambayo miaka yote nimeizungumzia humu kuhusiana na Tanzania!.. Hofu yake kaieleza wazi kuhusiana na Waarabu, Wachina, Singapore na kadhalika ambao serikali zao wame invest ktk mashirika makubwa ya Marekani as SWF kwa nchi zao.. Hii ndio hatari kubwa ya globalization kwa mtazamo wake na inaturudisha pale pale kuwa sababu ni kwamba hakuna regulation ktk financial market kiasi kwamba hata adui wa uchumi wako anaweza kupenyeza kirahisi.. na nimesema hawa jamaa (waarabu) sio wajinga ni wafanya biashara wana wataalam na viongozi nyuma yao tena pengine ama kwa uhakika hawa wapambe ni raia wa Marekani.. Saudi Arabia ama Dubai who relies on its Oil export for its wealth hawawezi kabisa ku devote all its reserves in Oil but, surely will look for other types of assets that can act as a shield against oil-related risk…Now, lets say Ur their financial adviser wa huyo Sheikh wa Dubai, will u buy these bad Assets which are not even sold investments?​

Now, turudi kwenye issue yetu kwani who pays for these bad assets, doesn't change the fact that America is in for the hard ride!..'cause the root of all this lay within these Financial giants themselves. We live necessarily in a society of Political uncertain, continual and unending change, change that can never be precisely charted in advance or even be reduced to an exact science…At the end of all this it's the government of America will add up these bad Assets (bad investment) into it's SWF and hope that the market will make a U turn to be sold at profit..Who benefts - The wall street not tha main street!
..
Mkuu unajua kabisa kwamba nyumba Marekani ilifkia hadi wanauza with zero downpayment .I mean ZERO kuwavuta watu kisha basi kwa bei ambazo zinaepuka kuonyesha kuwa recession imesha strike on that particular sector…Ukija tazama upande wa magari vile vile utaona mchezo ulikuwa ni huo huo wakati Financial marketing waliendelea kupika namba hali manufacturing companies walisha kata production aggressively lakini mashirika haya mama yaliendelea kucheza mchezo wao kama kawa kufunika ukweli ili wapate posho zao za mamillioni kwa mwaka. Mkuu kumbuka Enron hivi kweli unafikiria mwarabu angeweza kuinunua Enron katika hali ile na kuifufua kwa sababu wna fedha za kutupa!
Watu sio wajinga hali ya maisha imekuwa ngumu sana huwezi kuendelea kununua gari la lita 6 hadi 8 wakati mafuta yako juu kiasi hiki, maintenance juu na vipuri vimepanda bei pia.. Now kufikiria kwamba mafuta yatakuja shuka bei wakati China ndio kwanza ipo katikati ya mabadadiliko ni sawa na kuomba nyumba za Kariakoo mtaa wa Sikukuu na Uhuru zitashuka bei kesho!
Bush na serikali yake walilikoroga hivyo shurti walinywe wao.. hakuna CEO yeyote wa mashirika haya atakubali kutoka bila kitu wakati kazi yake kaifanya!.. kupata ama kukosa watasema sio kosa lao ndio biashara ilivyo, hapo mtafikishana mbali hadi ukweli utafunua mengi mazito zaidi!​
 
Report: Berkshire Hathaway to Invest $5 Billion in Goldman Sachs

Goldman to sell $5 bln preferred stock to Berkshire Hathaway

Berkshire also to get $5 bln in Goldman common warrants

A Buffett rumor that is true!
 
....Bailout naona hatapita kwenye Senate maana imeonekana not popular kwa voters wengi na kipindi cha uchaguzi ndio hiki kwa hiyo sijui kama senators wana weza kuchukua risk ya kupitisha hii deal na waka survive November,seems America is going down kama Roma empire na nyingine zilizowahi kutokea huko nyuma!
 
Ni noma...Halafu Ahmedinejad naye yeye kaingia kwa mbwembwe nyingi sana hapo UN....Na madai yake kuwa Zionists time is over.

Yani vurugu tupu tu...Na sasa sijui watafana nini hawa watu.
Ila msimamo wake kuhusu Israel unaweza kusababisha tatizo hili kuwa kubwa zaidi kama likitumika kisiasa kama ilivyokuwa ikitokea huko nyuma na kusababisha vita kubwa.

Mrusi na yeye anapania kuitumia nafasi hiyo.....Mvenezuela na yeye kamkimbilia mchina na kususia mkutano wa UN na mchina yeye kudai kuwa hafungamani na upande wowote kwani hata mmarekani mwenyewe keshamkimbilia mchina mara nyingi tu na bado anafanya hivyo.

Wamerakani na dunia nzima tuko kwenye defining moment.
Je nguvu zipi zitashinda?

Nguvu za giza ama za nuru? Maendeleo ama uamsikin,vita na maafa na njaa na magonjwa?

Ni muhimu sana kujua tunakoelekea...Sasa mafuta inaonekana hawayapati inavyotakiwa na uchumi wa marekani unaendeshwa na biashara ya magari....Na usafirishaji pia ni wa kiwango cha juu kwa sababu ya best infrustructure.

Kwa hiyo wamarekani wana option mbili ambazo there is a fine line they have got to walk....Either waface civil war kwa kumchaguwa Obama....Ama waface world war kwa kumchaguwa Mc Cain.

Wanachotakiwa ni kutafuta namna ya kuepuka hayo yote.
Hawawezi kuishi bila ushirikiano na mataifa mengine na tatizo kwenye hawaja fanya jitihada za ku include the foreign factor kwenye Micro economics yao..Wame ignore na sasa ni wazi kuwa mambo kama hayo yanawaathiri wamarekani kwenye maisha yao ya kila siku...Na hivyo basi ni muhimu wakawa na uhusiano mzuri ili waweze kupata mafuta hayo....Ama waamuwe kuwa na uhusiano mbaya na kuzivamia nchi hizo na kuyachukuwa mafuta hayo.

All in all wanayahitaji....Ama wachimbe huko Alaska kama wanavyosema...Na huko Alaska nako kuna wale wanaotaka daraja lijengwe ambalo litakuwa limeunganisha marekani na Urusi...Lakini siasa za Far Right zinaelekea ku imply kuwa Warusi wanaweza wakaichukuwa Alaska kama vile madai ya awali dhidi ya Japan wakati wa vita kuu ya pili ya dunia pale waliposema kuwa Japan inataka kuichukuwa Hawaii.

NB:Dini aliyoko Sarah Palin wana amini kuwa mwisho wa dunia ndio sasa na watu wote watakimbilia huko Alaska...Ni mmojawapo wa wale walioamini kuwa ni mpango wa Mungu kwa marekani kuivamia Iraki....Kwa upande mwingine Ahmedinejad na yeye anaamini kuwa mwisho wa dunia ndio huu na ni pale ambapo Taifa la Israel halitakuwepo.....Alipohojiwa na Larry King...Ahmedinejad alisema kuwa uchaguzi ufanyike wa kulihusisha eneo hilo la wapalestina...Ila hakusema Israel...Hii ikiwa ina maana kuwa madai yake ni kwamba hata hao jews walioko huko wataruhusiwa kupiga kura sambamba na wapalestina na kupata serikali ya majority.
Kaazi kweli kweli.
 
US bail-out plan provokes doubts
BBC News Online

Markets have seen huge volatility recently
Doubts over the speed at which the US financial bail-out plan can be introduced have emerged from both Democrat and Republican politicians.

Democrat Congressman Barney Frank said it was "entirely unreasonable" to expect Congress to give the rescue plan the go-ahead quickly.

Urging speed, President Bush said the world was watching to see if "we can act quickly to shore up our markets".

Few details about the $700bn (£382bn) package have been announced.

The uncertainty has caused the Dow Jones share index to fall by 2%.

Meetings took place over the weekend between Federal Reserve head Ben Bernanke, US Treasury Secretary Henry Paulson and members of Congress to try to seek consensus on the plan.

'Unreasonable' expectation

Republican Congressman Christopher Shays said members needed sufficient time to debate the issue.

Democrat Congressman Barney Frank, chairman of the House Financial Services Committee, said Democrats would want certain changes, such as guaranteeing that the pay for bosses of the firms being bailed out was limited.

"The private sector got us into this mess," said Mr Frank.

"The government has to get us out of it. We do want to do it carefully."

But President George W Bush said it "would not be understandable if members of Congress sought to use this emergency legislation to pass unrelated provisions, or to insist on provisions that would undermine the effectiveness of the plan".

Changing landscape

The Group of Seven (G7) most wealthy nations said it welcomed the US move and reaffirmed its strong commitment to "protect the integrity of the international financial system".

"We pledge to enhance international cooperation to address ongoing challenges in the global economy and world markets," said the G7.

It added it would do whatever was necessary to ensure stability in the international financial system.

The financial sector has seen huge upheaval in recent days, with Lehman Brothers folding and Merrill Lynch being bought by Bank of America.

Morgan Stanley and Goldman Sachs - for decades independent investment banking firms - requested to change their status that will see them regulated by the Fed.

The move, which means they will expand into the commercial banking sector, arguably marks an end of an era on Wall Street.


And whats your take on this issue?
 
Ni noma...Halafu Ahmedinejad naye yeye kaingia kwa mbwembwe nyingi sana hapo UN....Na madai yake kuwa Zionists time is over.

Yani vurugu tupu tu...Na sasa sijui watafana nini hawa watu.
Ila msimamo wake kuhusu Israel unaweza kusababisha tatizo hili kuwa kubwa zaidi kama likitumika kisiasa kama ilivyokuwa ikitokea huko nyuma na kusababisha vita kubwa.

Mrusi na yeye anapania kuitumia nafasi hiyo.....Mvenezuela na yeye kamkimbilia mchina na kususia mkutano wa UN na mchina yeye kudai kuwa hafungamani na upande wowote kwani hata mmarekani mwenyewe keshamkimbilia mchina mara nyingi tu na bado anafanya hivyo.

Wamerakani na dunia nzima tuko kwenye defining moment.
Je nguvu zipi zitashinda?

Nguvu za giza ama za nuru? Maendeleo ama uamsikin,vita na maafa na njaa na magonjwa?

Ni muhimu sana kujua tunakoelekea...Sasa mafuta inaonekana hawayapati inavyotakiwa na uchumi wa marekani unaendeshwa na biashara ya magari....Na usafirishaji pia ni wa kiwango cha juu kwa sababu ya best infrustructure.

Kwa hiyo wamarekani wana option mbili ambazo there is a fine line they have got to walk....Either waface civil war kwa kumchaguwa Obama....Ama waface world war kwa kumchaguwa Mc Cain.

Wanachotakiwa ni kutafuta namna ya kuepuka hayo yote.
Hawawezi kuishi bila ushirikiano na mataifa mengine na tatizo kwenye hawaja fanya jitihada za ku include the foreign factor kwenye Micro economics yao..Wame ignore na sasa ni wazi kuwa mambo kama hayo yanawaathiri wamarekani kwenye maisha yao ya kila siku...Na hivyo basi ni muhimu wakawa na uhusiano mzuri ili waweze kupata mafuta hayo....Ama waamuwe kuwa na uhusiano mbaya na kuzivamia nchi hizo na kuyachukuwa mafuta hayo.

All in all wanayahitaji....Ama wachimbe huko Alaska kama wanavyosema...Na huko Alaska nako kuna wale wanaotaka daraja lijengwe ambalo litakuwa limeunganisha marekani na Urusi...Lakini siasa za Far Right zinaelekea ku imply kuwa Warusi wanaweza wakaichukuwa Alaska kama vile madai ya awali dhidi ya Japan wakati wa vita kuu ya pili ya dunia pale waliposema kuwa Japan inataka kuichukuwa Hawaii.

NB:Dini aliyoko Sarah Palin wana amini kuwa mwisho wa dunia ndio sasa na watu wote watakimbilia huko Alaska...Ni mmojawapo wa wale walioamini kuwa ni mpango wa Mungu kwa marekani kuivamia Iraki....Kwa upande mwingine Ahmedinejad na yeye anaamini kuwa mwisho wa dunia ndio huu na ni pale ambapo Taifa la Israel halitakuwepo.....Alipohojiwa na Larry King...Ahmedinejad alisema kuwa uchaguzi ufanyike wa kulihusisha eneo hilo la wapalestina...Ila hakusema Israel...Hii ikiwa ina maana kuwa madai yake ni kwamba hata hao jews walioko huko wataruhusiwa kupiga kura sambamba na wapalestina na kupata serikali ya majority.
Kaazi kweli kweli.

whats your opinion on Buffett & Tumisomo buying stake on GS?
 
Back
Top Bottom