I heard some people ati Wana claim eti US ndo wanaongoza Kwa cases za coronavirus infections, the sad truth is US ana test watu wengi per day than any country.
Other countries Wana subiri mpaka mtu aanguke au ipigwe simu kwamba kuna mtu kalala huku, US wana vifaa vingi that means wanafanya tests nyingi, their COVID19 testing rate is higher.
Kama every country ifanye testing ya population yake yote kunaweza kua na nchi zenye COVID19 cases nyingi than US.
The fact is;
US ana cases Zaid ya 100k but vifo havifiki 2,000
Lakini wenye cases chache kama Spain, China, Italy, etc Wana vifo vingi Zaid ya 5,000 each, you see?
If hizi countries zikifanya massive-testing kama US, nafikiri US haitamake top five Kwa cases.
The issue is testing equipment ziko ngapi?
Angalia hizi real-time data below kutoka worldometer website, compare cases, death, rates, etc.
Other countries Wana subiri mpaka mtu aanguke au ipigwe simu kwamba kuna mtu kalala huku, US wana vifaa vingi that means wanafanya tests nyingi, their COVID19 testing rate is higher.
Kama every country ifanye testing ya population yake yote kunaweza kua na nchi zenye COVID19 cases nyingi than US.
The fact is;
US ana cases Zaid ya 100k but vifo havifiki 2,000
Lakini wenye cases chache kama Spain, China, Italy, etc Wana vifo vingi Zaid ya 5,000 each, you see?
If hizi countries zikifanya massive-testing kama US, nafikiri US haitamake top five Kwa cases.
The issue is testing equipment ziko ngapi?
Angalia hizi real-time data below kutoka worldometer website, compare cases, death, rates, etc.