US Ambassador to Tanzania's Statement on the Attack on Absalom Kibanda

Kwa January Makamba kulivunjwa na vibaka, just the second day wote walikuwa wamekamatwa. Ndiyo maana nasema hii ya kuleta FBI na kuwalipa mihela kibao ni uhuni tu. Uwezo wa kufanya upelelezi watanzania tunao mkubwa sana, tatizo ni kwamba wafanyaji wa haya yote ni serikali yenyewe. Itampeleleza nani?

Unauliza maswali na unajijibu mwenyewe mkuu vipi? Ndo maana tunaomba FBI au hata CIA waje watufanyie upelelezi maana hatuna imani na wakwetu tunajua wanaweza ila wanatumika kulinda maslahi ya watuhumiwa. Tunahitaji uchunguzi huru sasa amani imetoweka nchini
 
Hivi ni kweli kwamba watanzania tumeshindwa kabisa kufanya shughuli za kiupelelezi hadi tuhitaji FBI kwa kila jambo? Watanzania wenzangu, kuna nini kinaendelea nchi hii? Kama hatuna uwezo wa kufanya shughuli za kiupelelezi kwa matukio kama haya tunaweza nini tena? Ndiyo maana kesi za EPA hadi leo hazijaisha tunaambiwa upelelezi haujakamilika. Ni nani anawajibika kwa hili? Rais hajaona dosari katika jambo hili?

Hadi leo hujui?Duh pole sana,Mbona kila kitu kipo wazi sana.Kwa ujumla hawana viwango vya namna yoyote kushiriki ktk hizi issue.
 
Media freedom ni adui mkubwa sana wa CCM. Kwa kuwa wameshindwa kuiletea nchi maendeleo ya miaka 51 wanaona yeyote anayeandika ukweli na anayewakosoa kama ni adui yao.

Mbaya zaidi utawala huu wa Kikwete ndio umekuwa kinara wa kutishia, kupiga na kuua wana habari wanaokosoa serikali, huku wengine wakifunguliwa kesi za kubambikizwa
 
I mean haya matukio yanayoendelea tunahitaji sana uchunguzi wa FBI, ili kuzuia uhalifu itabidi tuwe karibu na serikali ya US kuliko kipindi chochote kilichowahi kutokea. Na hakuna njia ya kuwa karibu nao inayoweza kuzidi ya kuwapa eneo walilotaka siku nyingi bila mafanikio.
haha.. panya wakizidi wengine huamua kuleta paka..ugaidi ukizidi si mbaya kuwaleta marekani.Ile base wangepewa maeneo ya bwagamoyo.Yangeweka mamabo shwari.Tatzio ni woga wetu walipotuambua kuwa eti magaidi watatu target. Sasa wameanza target kipi bora.?
 
hii inaonesha kushindwa kwa law enforcement agencies in TANZANIA:yo::yo:

Hujui kama hii movie imeshapewa yule macho-ku-mchuzi Kova? baada ya muda mwandishi akienda ofisini kwake na akimuuliza imefikiwa wapi atamjibu "sijui lolote' huku akivuta droo ya meza yake na kugawa bahasha.

Sijui yule anaweka hela ngapi katika ile droo.
 
haha.. panya wakizidi wengine huamua kuleta paka..ugaidi ukizidi si mbaya kuwaleta marekani.Ile base wangepewa maeneo ya bwagamoyo.Yangeweka mamabo shwari.Tatzio ni woga wetu walipotuambua kuwa eti magaidi watatu target. Sasa wameanza target kipi bora.?



Wao wanataka Kigamboni na mipango ilishaanza siku nyingi, kabla watu kuanza kupiga kelele mambo yalikua yanaelekea kua sawa.
 
Wao wanataka Kigamboni na mipango ilishaanza siku nyingi, kabla watu kuanza kupiga kelele mambo yalikua yanaelekea kua sawa.

magaidi wakija amka kiota chao kipya kitakuwa kimeshakuwa resting place ya badgers au Eagles kama Zilivyo symbols zao.Kazi ni kunyakuwa toka angani.
 
Tujaribu kuchunguza kama kweli nchi hii ni yetu kihalali au!haiwezekani watanzania watekwe,wauwawe,na hakuna aliye kamatwa kwa udhalimu huu, mimi niko kwenye uchunguzi kupitia Historia ya Tanzania kujua kama nchi hii ni yetu au tunapigania taifa ambalo linawenyewe,,ukiangalia kwa makini,unaweza ukapata picha flani kuwa viongozi wetu ndio wanapambana kutufilisi,hakuna hata mmoja ambaye yuko tayari kukutetea taifa hili utafikiri wameagizwa wafanye haya ili wapate sababu ya kutuangamiza, wizi wa rasilimali zetu zinaibwa kwenda nje ya nchi,wanyama wanaibwa tu,B.O.T pesa ambazo zilitunzwa kwa manufaa yetu watanzania zimeibwa hakuna wa kuuliza,watoto wetu wanafeli kwa asilimia 90% no one care,...Naomba watuambie kama hatuna haki kwenye taifa hili ili tuanze kutafuta uraia wa nchi nyingine.N.B MTATUUA SANA LAKINI HATA MKITUUA GHAFLA,TUTASEMA HATA KWA KUTUMIA MASABURI NA YATASIKIKA TU! Kumbuka mfalme aliyekuwa na masikio alivyojulikana kuwa ana masikio baada ya kuitunza siri kwa muda mrefu.​
 
Hivi ni kweli kwamba watanzania tumeshindwa kabisa kufanya shughuli za kiupelelezi hadi tuhitaji FBI kwa kila jambo? Watanzania wenzangu, kuna nini kinaendelea nchi hii? Kama hatuna uwezo wa kufanya shughuli za kiupelelezi kwa matukio kama haya tunaweza nini tena? Ndiyo maana kesi za EPA hadi leo hazijaisha tunaambiwa upelelezi haujakamilika. Ni nani anawajibika kwa hili? Rais hajaona dosari katika jambo hili?

swali zuri Mkuu "Kuna nini Tanzania",wako wapi usalama wa taifa,kwanini haya matatizo yanashindwa kutatuliwa na usalama wa taifa,kwanini Raisi awaite FBI na Scotland Yard

Jibu la haraka haraka ni Raisi hawamini watu wake wa usalama wa taifa

Kuna kesi za Albino,Padri,doctor juzi Mhariri wako wapi Usalama wa Taifa......God bles Tanzania
 
Statement by United States Ambassador to Tanzania Alfonso E. Lenhardt on the Attack on Journalist Absalom Kibanda March 8, 2013


We strongly condemn the attack against Tanzania Editors Forum Chairman and Group Managing Editor of New Habari Corporation Absalom Kibanda on the evening of Tuesday, March 5.

Honourable Mr. Alfonso E. Lenhardt, prepare to issue many statements like this during your stint as the US Embassador to Tanzania. You might as well prepare a template so that you will only have change the victim's name and incident date.


 
Kwa January Makamba kulivunjwa na vibaka, just the second day wote walikuwa wamekamatwa. Ndiyo maana nasema hii ya kuleta FBI na kuwalipa mihela kibao ni uhuni tu. Uwezo wa kufanya upelelezi watanzania tunao mkubwa sana, tatizo ni kwamba wafanyaji wa haya yote ni serikali yenyewe. Itampeleleza nani?
FBI ni danganya toto, subirini mtakuja kuniambia, hawa jamaa ni wasanii mno
 
Wangefanya kutuletea FBI kwa hili pia ingesadidia sana!
Hapana, kwa hili hatuhitaji FBI. Mtanzania yyte anaweza kufahamu hapa kuwa CHADEMA inahusika na issue hii ili ionekane kuwa serekali au ccm inahusika. hata hivyo ujanja wao umejulikana na wataingia katika mikono ya sheria very soon.
 
Unauliza maswali na unajijibu mwenyewe mkuu vipi? Ndo maana tunaomba FBI au hata CIA waje watufanyie upelelezi maana hatuna imani na wakwetu tunajua wanaweza ila wanatumika kulinda maslahi ya watuhumiwa. Tunahitaji uchunguzi huru sasa amani imetoweka nchini
Kuna mahali nimeuliza, report ya uchnguzi utakaofanywa na FBI itapelekwa wapi? Kwenye media? Kuwatangazia watanzania ukweli wa matokeo ya uchunguzi au yatapelekwa Ikulu? Milipuko ya mabomu ya gongo la mboto na mbagala iliundiwa tume ya uchunguzi iliyohusisha wataalamu kutoka nje ya nchi, je report ya huo uchunguzi mlishaipata? Mmesikia ni nani amechukuliwa hatua za kinidhamu huko jeshini au serikalini kutokana na vifo vya watanzania vilivyotokana na yale mabomu? Tuchukue hatua nyingine zaidi ya FBI ambayo inaletwa na serikali yenyewe. Tufike mahali wananchi tusema Tanzania ni nchi yetu na sisi ndiye tuliyempa Kikwete dhamana ya kuiongoza na si kwa kuwa kwake madarakani maana yake kwamba yeye anamiliki nchi.
 
Hapana, kwa hili hatuhitaji FBI. Mtanzania yyte anaweza kufahamu hapa kuwa CHADEMA inahusika na issue hii ili ionekane kuwa serekali au ccm inahusika. hata hivyo ujanja wao umejulikana na wataingia katika mikono ya sheria very soon.
Nyie ndio mnatufanya tutafute fbi kwa speculations zenu zisizo na evidence ili kupotosha ushahidi.
Kama unajua ni CDM katoe ushahidi wako ili polisi wasiangaike kutafuta mchawi.

Mnafanya siasa hata mambo yaliyo serious, kuwa mtaifa zaidi ktk mambo kama haya leo kwa huyu kesho kwako.!
 
Huh...This time they are so fast....During the Ulimboka Saga,they never said anything.Afteral the Kibanda case does not have as many questions as Ulimboka case.The same Americans never said anything when Mwangosi was Killed.Again---Tanzania problems will be solved by Tanzanians.Americans are just opportunists in our land...
 
Tanzania the Nation which is loosing integrity worldwide.


You know, I can just imagine the embassador's report to Washington;

" We observe a leadership that has resorted to hooliganism and brutality, and is now hovering over fascism. Religious polaralization, largely attributed to the current leadership, is likely to make what is happening in Nigeria a boy scouts kim's game. Close monitoring is recommended as such a leadership trend could have direct and/or indirect impacts on US current and future interests in Tanzania, given the country's endowment with diverse natural resources, including uranium".

Now that is what I would call an accurate reflection of the situation.
 
Hapana, kwa hili hatuhitaji FBI. Mtanzania yyte anaweza kufahamu hapa kuwa CHADEMA inahusika na issue hii ili ionekane kuwa serekali au ccm inahusika. hata hivyo ujanja wao umejulikana na wataingia katika mikono ya sheria very soon.
selikali inaweza kujikamata? Yahani Kova amkamate Ighondu? Haiwezekani!.
 
hii inaonesha kushindwa kwa law enforcement agencies in TANZANIA:yo::yo:

Siyo inaonekana kushindwa... ilishashindwa na haina mwelekep tena. Usalama wa Taifa ulishageuka kuwa mauaji ya wa-tanzania, watu wateteao wanyonge. Dola imegeuka kuwa wauaji kila leo ili kumfurahisha aliyemteua. HATARI!
 
On the one hand I understand the essense of the gesture of support for democracy and law/ order on the part of the US Embassy.

On the other, I am having a hard time reconciling it with the diplomatic principles of non-interference in internal affairs.

If the Tanzanian Embassy in DC will reciprocate this gesture with a comment on every reciprocal item, they will need JF volunteers.

I understand the move towards "Responsibility to Protect", but is international diplomacy giving up on any semblance of non-interference in internal affairs?

Au ndo tukishasaidiwa tumekubali international diplomatic principles zitupwe?

Couldn't the US Embassy do the same thing covertly?

Lest some of the conspiracy theorists supplant a motive.
 
Back
Top Bottom