Hawa ni watu wabaya sana, lakini inafika wakati ubaya wao ni mzuripale watawala wanapoonea watu wao.Mhhh mbona anaongea kama nchi ni yake??anajuwa sababu ya wenyewe kukamatwa...anyway inabidi Tanzania kuwa makini maana Libya na Mirsi wote wamepitia huko....hawa US ni watu wabaya sana tena sana hasa wakiona nchi inafanya vizuri...
Tangu 1995 kura zanzibar zinaibiwa lakini walau haikuwa sahani mzima. Nakwambia kuna possibility kubwa dunia kugongana na Jua kuliko CCM kushinda Pemba. Hili hata wana ccm wenyewe nafsi zinawasuta.