jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,615
- 4,389
Apambane na marekan kwanza trump analia anahujumiwa
Ameeleza kila kitu.. Kama huelewi tuliaMbona sasa ajaeleza na ushahidi huo wasi wasi wake, huyu mzungu anaanza majungu mapema sana.
You are referring yourselfDaydreamer.
Unadhani Marekani ni kama Tanzania ya Jiwe ambapo nyie mnamchukulia Jiwe kama kila kitu???😂😂😂Apambane na marekan kwanza trump analia anahujumiwa
Kama tulivyowahi kuwakwamua waganda kwny makucha ya dikteta idd Amin Dada, nasi kwa sasa tunahitaji kunasuliwa haraka toka kwa mkoloni mweusi ccmAna wasiwasi mapandikizi yao yatashindwa.
Kwa kifupi ndio yameshashindwa! Tena atulie kabisa watanzania wanajua wanachokitaka
Hatupangiwi
Hawa wezi ccm wamezoea kuiba kura.. wanajua uchaguzi ukiwa huru na haki, wanashindwa saa 3 asbhMama D huo ushindi kwani hauwezi kupatikani kwa HAKI mpaka figusi???
Zero brain does not even understand diplomatic norm.Polisi wankamate balozi afafanue msimamo wake anaegemea nje ya mfumo
Ww hujasikia kuhusu wakurugenzi kuapisha mawakala wa ccm pekee na kisha kutoroka ili wa upinzani wasiapishwe?!Tume inafanya kazi zake kwa weledi mkubwa na inasikiliza wananchi na kutatua matatizo kila mara
Mkuu, ccm imejaa watu wa ajabu sana!Zero brain does not even understand diplomatic norm.
Bila nguvu ya vikwazo vya jumuiya ya kimataifa CCM hawawezi kuelewa,walivyobinywa na World Bank kuhusu sheria ya Takwimu mbona walinywea na wakakimbilia bungeni kuibadilisha.Balozi anazidi kunogesha mwisho wa CCM
Na wewe sio mtu wa ajabu?Mkuu, ccm imejaa watu wa ajabu sana!
Kabisa.. The earlier ccm is dumped the betterKuna hatari ya nchi yetu kuwa playground ya mataifa makubwa na hii ni hatari katka historia ya nchi yetu. Tuchukue tahadhari.
Ila mitandaoni wanasema hawababaishwi na mabeberu na wafuasi wao wanatukana kwelikweli.Bila nguvu ya vikwazo vya jumuiya ya kimataifa CCM hawawezi kuelewa,walivyobinywa na World Bank kuhusu sheria ya Takwimu mbona walinywea na wakakimbilia bungeni kuibadilisha.
Tukutane kwenye sanduku la kura 28102020Kama tulivyowahi kuwakwamua waganda kwny makucha ya dikteta idd Amin Dada, nasi kwa sasa tunahitaji kunasuliwa haraka toka kwa mkoloni mweusi ccm
CCM wanaelewa ukichaa wa Wamarekani ndiyo maana hawathubutu kumfanyika vituko walivyomfanyia balozi wa umoja wa ulaya mpaka akaondoka Tanzania,Kama wanajiamini wamfukuze huyu wa Marekani kwa kua ni beberu na siyo wanapiga makelele yasiyo na maanaIla mitandaoni wanasema hawababaishwi na mabeberu na wafuasi wao wanatukana kwelikweli.
Mfano huyu Balozi kama ni Beberu kwanini Polisiccm wasimkamate wamuhoji kwa kuingilia siasa za TZ matokeo yake nao wametafta beberu lao China ndo anapiga simu kulima mkwara marekani. Thubutuu
#SasaBaaaaaasi
Haswaa!Kama tulivyowahi kuwakwamua waganda kwny makucha ya dikteta idd Amin Dada, nasi kwa sasa tunahitaji kunasuliwa haraka toka kwa mkoloni mweusi ccm
CCM wakati mwingine huwa mnajitoa ufahamu kweli kweli🤣🤣🤣🤣Tukutane kwenye sanduku la kura 28102020View attachment 1609035View attachment 1609035
HAKUNA kitu hapo.. ile nyomi ni sabb ya wasanii na wanaosombwa kws malori toka mikoa mingineMagufuli kiboko yao. Kilimanjaro imekuwa nyeupe tayari kwa kuvunwa kura za kijani tupu. Sio Same, Mwanga, Rombo, Moshi mjini, Siha, Hai kote kumetepeta ndembendembe. Saccos ya mjasiriamali hawaamini kilichotokea, asante Sana JPM. Burudaniii
Nimeku quote mkuu, nitarudi tuongeeCCM wanaelewa ukichaa wa Wamarekani ndiyo maana hawathubutu kumfanyika vituko walivyomfanyia balozi wa umoja wa ulaya mpaka akaondoka Tanzania,Kama wanajiamini wamfukuze huyu wa Marekani kwa kua ni beberu na siyo wanapiga makelele yasiyo na maana