Siku zote wazungu hupenda kuonyesha kuwa Africa ni sehemu isiyo na mpangilio wa makazi, zile sehemu zenye mpangilio kamwe hawazionyeshiMabeberu bwana, halafu hiyo aerial view kwanini wasipige masaki, msasani au Upanga??
Dawa yao ni Taifa kuchukua tahadhari siyo kukimbilia kukanusha pekeeNaona mabeberu yanavyohaha kuingiza ebola Tz.
KABUDI yupo Marekani na kapiga picha na TRUMP baada ya kumuomba sana wafanye hivyo.
Aerial view of Dar es Salaam, capital of Tanzania, where a doctor died with Ebola-like symptoms.BEN CURTIS/AP
The State Department and the Centers for Disease Control and Prevention are alerting American travelers to the possibility that there may be unreported Ebola cases in Tanzania.
The information — posted on their websites Friday afternoon — relates to concerning reports that a Tanzanian doctor who had been in Uganda in August and who died after her return home may have tested positive for Ebola.
The Tanzanian government has steadfastly denied having any Ebola cases. But it has refused to send out for external validation the tests it performed on the dead doctor and several of her contacts who became sick after her death.
Last Saturday, the World Health Organization took the highly unusual step of alerting the world that it had received credible intelligence that Tanzania might have a case or several cases of Ebola, but that the country was refusing to report them. The statement detailed the steps the Geneva-based agency has taken to seek information from Tanzanian authorities, who did not respond to the initial request for information for four days.
Rumors have swirled about positive Ebola tests and relatives and contacts forced into involuntary quarantine. Concern about the situation has been amplified by the fact that Tanzanian authorities are typically cooperative with international partners.
WHO signals alarm over possible unreported Ebola cases in Tanzania
Under the International Health Regulations, a global treaty to which Tanzania is a signatory, countries are obliged to notify the WHO immediately when they have outbreaks of serious infectious diseases that could pose a risk to their neighbors and the wider world.
The WHO has been publicly silent about the matter since it issued the statement on Sept. 21. But sources tell STAT the WHO and some national governments have been trying to get the Tanzanian government to be more forthcoming with information, using the opportunity of this week’s United Nations General Assembly to push for transparency.
There is no information to suggest the dead woman had traveled to the Democratic Republic of the Congo, currently battling the second largest Ebola outbreak on record.
But that doesn’t preclude the possibility that she might have been infected. She might have had contact in Uganda with an unreported case there — the country borders DRC and has had several cases where infected people have crossed into the country. It is also conceivable she might have been infected through a new, as yet undetected emergence of Ebola.
The CDC’s information, which is posted in the travel health section of its website, is both mildly worded and unusual. Typically when the CDC wants to alert Americans of health risks abroad, it issues a travel notice, which are coded as level 1, 2, or 3, with 3 the highest, indicating Americans should avoid all non-essential travel to that location.
In this case, though, the information was simply added to the page that outlines travel health advice for Tanzania. There was no risk level attached to the advice.
“The ongoing risks from this event are unknown, but at this time and based on available information (which is incomplete), no travel restrictions to Tanzania are indicated,” the CDC said.
“However, travelers should remain aware of the situation and avoid direct contact with people who are ill, when possible. They should also monitor themselves for symptoms of [Ebola virus disease] (fever, severe headache, muscle pain, weakness, fatigue, diarrhea, vomiting, abdominal pain, unexplained bruising or bleeding) both during and for 3 weeks after travel,’’ the agency said.
The information on the State Department’s website is more succinct. Both websites outline the locations where the woman who died had traveled before her death: Songea, Njombe, and Mbeya. She died in the capital, Dar es Salaam, on Sept. 8.
About the Author
Helen Branswell
Senior Writer, Infectious Disease
Helen Branswell covers issues broadly related to infectious diseases, including outbreaks, preparedness, research, and vaccine development.
helen.branswell@statnews.com
@HelenBranswell
Siku zote wazungu hupenda kuonyesha kuwa Africa ni sehemu isiyo na mpangilio wa makazi, zile sehemu zenye mpangilio kamwe hawazionyeshi
Bila Tanzania kuchukua hatua sitahiki hizo tetesi za wamarekani zitaimarika zaidi na mwishoe Nchi za Ulaya na Asia wataogopa kuja Tanzania na kuathiri utalii kwa kiwango cha kutishaKABUDI yupo Marekani na kapiga picha na TRUMP baada ya kumuomba sana wafanye hivyo.
Trump anajua EBOLA ipo Tanzania ndio maana Kabudi inasemekana ilibidi apimwe sana, na akawekwa kwenye karantini mpaka aliporuhusiwa kumuona mheshimiwa.
SASA KAMA MNAFIKIRI WAMAREKANI NI WANAFKI, WAMETOA ONYO KWA WANANCHI WAO KWAMBA TANZANIA KUNA EBOLA NA WABONGO HAWATAKI KUTANGAZA, SO WATU WA MAREKANI ASIJE HUKU, NI TAHADGARI TU
umekunywa mbege nini?Bila Tanzania kuchukua hatua sitahiki hizo tetesi za wamarekani zitaimarika zaidi na mwishoe Nchi za Ulaya na Asia wataogopa kuja Tanzania na kuathiri utalii kwa kiwango cha kutisha
Magonjwa umetoka mswaki nini mbona ukonje ya mada unazugazuga hata neno Ebela mtambuka umeshindwa kuambuliaCapital of Tanzania?
Pole kwa jamii yake kwani tumepoteza mtu mwerevu sana aliyekuwa anaendeleza masomo yake.Huyo mgonjwa kafa zaidi ya weeks mbili zimepita, ukiwa contaminated na mgonjwa wa Ebola it will take hours na wewe kuanza kuumwa Ebola, yaani ile ni eruption, sasa mbona hatujasikia cases zozote mpya baada ya kifo cha huyu doctor popote na taarifa zinasema baada ya kutoka Kampala alienda Mwanza then Lindi then Dar na kote huko alikutana na watu wengi sababu alikua akifanya research ya master's yake
Ina maana kote huko hakuna aliemuambukiza katika mzunguko wote huo mpaka kufika Dar?
ha ha ha ndio maana Magu kajiamulia nje ya nchi anamtuma KABUDI, kizungu wito, ebooMagonjwa umetoka mswaki nini mbona ukonje ya mada unazugazuga hata neno Ebela mtambuka umeshindwa kuambulia
Aerial view of Dar? Ile view ya Dar city Centre mwandishi hakuiona? Beberu ni Beberu tu. Period!Capital of Tanzania?
Wewe mbweha ndiyo unakunywa mbege acha ujinga unajua maana ya neno hatua sitahiki? Mie nataka hatua za tahadhari siyo kuficha maradhi kama wewe kushinda mnashikana mikono hata mikojo ikichululuzikia kwenye vidole vyenu hamnawi mikono mnang’ang’ania salam za kukumbatiana wakari congo na Nchi nyingi sasa hawataki hiyo salam ikiwa ni kuishi kwa tahadhariumekunywa mbege nini?
tuchukue hatua ya kuficha? si tuombe msaada wao waje kutusaidia?
kwahiyo tufiche watu wafe?
unakumbuka dokta mwene malechela alisema ugonjwa flani akafukuzwa kazi, sasa hixi ka wa mkubwa umija wa mataifa