Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 572
- 2,548
Shirikisho la soka Barani Ulaya limeshikilia msimamo wake wa kutoiruhusu nchi ya Urusi kushiriki michuano ya kufuzu UERO mwaka 2024.
Huu ni mwendelezo wa vikwazo kwa nchi hiyo kufuatia kufanya uvamizi wa kijeshi kwenye nchi ya Ukraine.
Hadi sasa, vilabu vya soka nchini humo vimezuiwa pia kushiriki michuano ya ligi ya mabingwa wa Ulaya.
Kwa mujibu wa UEFA, nchi hiyo haitashiriki kwenye droo ya makundi ya kufuzu kwa fainali za EURO inayotazamiwa kufanyika Octoba 9, 2022 mjini Frankfurt.
Independent
Huu ni mwendelezo wa vikwazo kwa nchi hiyo kufuatia kufanya uvamizi wa kijeshi kwenye nchi ya Ukraine.
Hadi sasa, vilabu vya soka nchini humo vimezuiwa pia kushiriki michuano ya ligi ya mabingwa wa Ulaya.
Kwa mujibu wa UEFA, nchi hiyo haitashiriki kwenye droo ya makundi ya kufuzu kwa fainali za EURO inayotazamiwa kufanyika Octoba 9, 2022 mjini Frankfurt.
Independent