Mkoko kisu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 759
- 797
Kuna faida za muda mrefu na faida za muda mfupi mtoa mada unatakiwa kuyaongeana ayo sio ushabiki tu
Mafuta na ges ya Russia mteja wake mkubwa ni Europe especially nchi za Europe union kwa sasa atawatesa ila tusisaha european union kwa maelezo yao wanatafta mbadala ya mafuta na gas ndan ya miez sita wanataka waache utegemezi sasa swali linakuja Europe union wakipata mbadala ayo mafuta na gas Russia atamuuzia nan
Africa ni nchi maskin ata akiamua kutuuzia sisi hatopata faida km faida anayoipata kutoka West
Ujue tunapenda tu kudanganyana kiukwel nchi za West ndo nchi zlizoshikilia dunia hii na itachukua mda sana ufalme wao kuangushwa
Iran na Venezuela wanamafuta mengi sana kuzidi Saudi Arabia lakin unawasikia je umeshaona mafuta yake Africa
Ni maoni tu
Mafuta na ges ya Russia mteja wake mkubwa ni Europe especially nchi za Europe union kwa sasa atawatesa ila tusisaha european union kwa maelezo yao wanatafta mbadala ya mafuta na gas ndan ya miez sita wanataka waache utegemezi sasa swali linakuja Europe union wakipata mbadala ayo mafuta na gas Russia atamuuzia nan
Africa ni nchi maskin ata akiamua kutuuzia sisi hatopata faida km faida anayoipata kutoka West
Ujue tunapenda tu kudanganyana kiukwel nchi za West ndo nchi zlizoshikilia dunia hii na itachukua mda sana ufalme wao kuangushwa
Iran na Venezuela wanamafuta mengi sana kuzidi Saudi Arabia lakin unawasikia je umeshaona mafuta yake Africa
Ni maoni tu