Urusi yaridhia kusaidia kuwaondoa wanafunzi wa Kitanzania Ukraine

Ngao ya Sponji

JF-Expert Member
Jul 26, 2018
341
541
Ubalozi wa Tanzania mjini Stockholm Sweden pamoja na Ubalozi wa Tanzania ulio nchini Urusi zimesema kwamba kupitia njia za kidiplomasia, serikali ya Urusi imeridhia wanafunzi wa Kitanzania walioko Chuo Kikuu Sumy State kutoka nchini Ukraine kwa kupitia mpaka wa Urusi.

Taarifa ya Ubalozi wa Tanzania mjini Stockholm na Ubalozi wa Tanzania mjini Moscow inasema zoezi la kutoa wanafunzi kutoka Sumy hadi kwenye mpaka wa Urusi linaratibiwa na serikali ya Urusi na tayari mipango ya utekelezaji imeanza.

''Ubalozi wa Tanzania nchini Urusi utawapokea kwa taratibu nyingine za kurejea nyumbani'' ilisema sehemu ya taarifa hiyo.
 
Ubalozi wa Tanzania mjini Stockholm Sweden pamoja na Ubalozi wa Tanzania ulio nchini Urusi zimesema kwamba kupitia njia za kidiplomasia, serikali ya Urusi imeridhia wanafunzi wa Kitanzania walioko Chuo Kikuu Sumy State kutoka nchini Ukraine kwa kupitia mpaka wa Urusi.

Taarifa ya Ubalozi wa Tanzania mjini Stockholm na Ubalozi wa Tanzania mjini Moscow inasema zoezi la kutoa wanafunzi kutoka Sumy hadi kwenye mpaka wa Urusi linaratibiwa na serikali ya Urusi na tayari mipango ya utekelezaji imeanza.

''Ubalozi wa Tanzania nchini Urusi utawapokea kwa taratibu nyingine za kurejea nyumbani'' ilisema sehemu ya taarifa hiyo.

IMG_20220302_115525_094.jpg
 
Hivi ni Ukraine ndo walikua wanazuia watu weusi kupanda treni ?
 
Back
Top Bottom