mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,110
- 21,646
ndege ya kwanza aina ya antonov An-124 yaondoka Nchini Urusi ikielekea kwenye Nchi ya Marekani kwa ajili ya msaada wa vifaa vya kupambana na ugojwa wa corona.
Msaada huu unakuja baada ya mazungumzo ya njia ya simu yaliyofanywa na viongozi wa 2,kati ya Trump na Putin.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada huu unakuja baada ya mazungumzo ya njia ya simu yaliyofanywa na viongozi wa 2,kati ya Trump na Putin.
Sent using Jamii Forums mobile app