Google chrome
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 2,276
- 12,671
Nakukumbusha tu ahadi yako maana siku si nyingi tutataka uitekelezeJiandae tu kisaikolojia
Goliathi Putin anaondoka
Nakukumbusha tu ahadi yako maana siku si nyingi tutataka uitekelezeJiandae tu kisaikolojia
Goliathi Putin anaondoka
Wasigusww wao ni wakina nani .inferioritycomplex .waafrika sisi ndo hatuguswi
Bulgaria hopeless. Wana capability gani ya kivita wajinga wakubwaNakukumbusha tu ahadi yako maana siku si nyingi tutataka uitekeleze View attachment 2211733
Jiandae tu kisaikolojia
Goliathi Putin anaondoka
Kaa kimya hujui kitu!! Ukisikia NATO's Basi jua kabisaaa ndo Full Israel ya Leo!!.....Hakuna NATO hakuna Israel!...kasome upya siasa za kimataifa ndo uje hapa!!
Wangekuwa hawaguswi nadhani leo hii pasingekuwepo na Syria wala Iran achilia mbali Palestine. Wayahudi wako overrated sana ila kiukweli hawana lolote..ame hit the wrong target Wayahudu huwa hawaguswi!! ukiona russia inaomba radhi jua kuna jambo
Wakishabebeshwa bendera na Gwajima na Mwamposa basi wanaona Israel ndio kila kituHuyo US ambae ndio anayemsaidia yahudi ameshindwa aje aweze anaye saidiwa? Hivi hua mnajitoa ufahamu au ndio mahaba niue yamewatawala?
Fake newsHayo yamesemwa na msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa Urusi Maria Zakharova huku akiweka wazi pia kuwa mamluki wa Israeli wanapigana bega kwa bega na Azov nchini Ukraine.
“Bado, nitasema kitu fulani ambacho wanasiasa wenyewe nchini Israeli ambao sasa wanachangia kampeni hawatataka kukisikia. Au labda watataka kuyasikia. Nchini Ukraine, mamluki wa Israeli wako bega kwa bega na wanamgambo wa Azov,” alisema Waziri wa mambo yan je wa Urusi Bi Maria Zakharova
“Niliona video, muundo,na nyenzo,” Zakharova alisisitiza.
Azov ni kikosi cha wanamgambo kilichoundwa kama jeshi la kujitolea tangu mwezi Mei 2014, na kimekuwa kikipigana dhidi ya vikosi vya Urusi katika jimbo la Donbas nchini Ukraine. Kwanza kilishuhudia mapigano yaliyopelekea kukamatwa tena kwa Mauripol kutoka mikononi mwa wanajeshi wa Urusi na wapiganaji wanaotaka kujitenga wanaoungwa mkono na Urusi mwezi Juni mwaka 2014.
Pia amesema kuwa mazungumzo kuhusu chuki dhidi ya Wayahudi, ambayo yalianzishwa baada ya Sergei Lavrov kutoa matamshi makali sio "upendeleo", bali "ni ya kupotosha ukweli " wa matatizo halisi, alisema msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Urusi Maria Zakharova.
"Uache kuyaita 'ya upendeleo'. Kuna neno zuri la kibinadamu – Ubaya ," Zakharova alisema.
Zakharova alisema kwamba Urusi ilijaribu "kuwasiliana na Israeli kujaribu kufafanua, kuomba aina fulani ya huruma na uelewa wa tatizo ." Hatahivyo, kulingana na Zakharova, majaribio haya hayakufanikiwa.
Je Wayahudi kumuondoa Putin Kremlin? Tusubiri tuone.
Huyu ndiye Maria Zakharova aliyetoa kauli hiyo leo hiiView attachment 2211475
Usisahau Mungu anaishi katikati ya watu. Watu watamuondoa Putin.Hakuna taifa kubwa kwa hapa Duniani kama Urusi.hakuna wa kumuondoa Putin zaidi ya Mungu pekee aliyemuumba.napata mashaka kwa matamshi ya mkremlin maana katika mataifa ambayo uwa ayapendi kuingilia mambo ya nchi chingine ni pamoja na Israel
Nikwambie tena?? .......umeamini kuwa hujui sasa???Wewe ndo ukae kimya maana ujui kitu kabisa.niambie wameingilia mgogoro gani?
Aah c'mon Mzee Israel ni one man army...haiitaji misaadaHuyo US ambae ndio anayemsaidia yahudi ameshindwa aje aweze anaye saidiwa? Hivi hua mnajitoa ufahamu au ndio mahaba niue yamewatawala?
Israel watawafanya nn urusi bwana unafikiri palestina haoHayo yamesemwa na msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa Urusi Maria Zakharova huku akiweka wazi pia kuwa mamluki wa Israeli wanapigana bega kwa bega na Azov nchini Ukraine.
“Bado, nitasema kitu fulani ambacho wanasiasa wenyewe nchini Israeli ambao sasa wanachangia kampeni hawatataka kukisikia. Au labda watataka kuyasikia. Nchini Ukraine, mamluki wa Israeli wako bega kwa bega na wanamgambo wa Azov,” alisema Waziri wa mambo yan je wa Urusi Bi Maria Zakharova
“Niliona video, muundo,na nyenzo,” Zakharova alisisitiza.
Azov ni kikosi cha wanamgambo kilichoundwa kama jeshi la kujitolea tangu mwezi Mei 2014, na kimekuwa kikipigana dhidi ya vikosi vya Urusi katika jimbo la Donbas nchini Ukraine. Kwanza kilishuhudia mapigano yaliyopelekea kukamatwa tena kwa Mauripol kutoka mikononi mwa wanajeshi wa Urusi na wapiganaji wanaotaka kujitenga wanaoungwa mkono na Urusi mwezi Juni mwaka 2014.
Pia amesema kuwa mazungumzo kuhusu chuki dhidi ya Wayahudi, ambayo yalianzishwa baada ya Sergei Lavrov kutoa matamshi makali sio "upendeleo", bali "ni ya kupotosha ukweli " wa matatizo halisi, alisema msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Urusi Maria Zakharova.
"Uache kuyaita 'ya upendeleo'. Kuna neno zuri la kibinadamu – Ubaya ," Zakharova alisema.
Zakharova alisema kwamba Urusi ilijaribu "kuwasiliana na Israeli kujaribu kufafanua, kuomba aina fulani ya huruma na uelewa wa tatizo ." Hatahivyo, kulingana na Zakharova, majaribio haya hayakufanikiwa.
Je Wayahudi kumuondoa Putin Kremlin? Tusubiri tuone.
Huyu ndiye Maria Zakharova aliyetoa kauli hiyo leo hiiView attachment 2211475
Story za zamani hizo atamfanya nn sasaame hit the wrong target Wayahudu huwa hawaguswi!! ukiona russia inaomba radhi jua kuna jambo
Huko cnn na bbc hakuna upupu huu, hawa wagalatia washaanza kupagawa, wanatamani ndoto zao ziwe hivyo ila wapiNasubiri aje na CNN na BBC
Hujui kua US ndio mfadhili mkuu wa Israel?Aah c'mon Mzee Israel ni one man army...haiitaji misaada
Hizi story huwa mnasimuliana kwenye vijiwe Gani? Huwa Nataman nizisikie ila sijajua Ni vijiwe vipi huwa mnazipatiaHujui kua US ndio mfadhili mkuu wa Israel?
duhWangekuwa hawaguswi nadhani leo hii pasingekuwepo na Syria wala Iran achilia mbali Palestine. Wayahudi wako overrated sana ila kiukweli hawana lolote..
Kwenye TITLE umeandika :Huyu ndiye Maria Zakharova aliyetoa kauli hiyo leo hii