Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,197
- 2,024
Daah kwanza nakupa Pole,inaonyesha haufuatilii siasa za kimataifa(geopolitics) za hasa Urusi na Marekani.Marekani kaanza kumiliki Nyuklia tangu miaka ya 1940s na yeye amekuwa wa kwanza kutumia hizo silaha tangu duniani iwepo mwaka 1945s.Miaka kama 9 baadaye na Urusi naye akajaribu Nyuklia yake(Hydrogen bom) ambalo lilikuwa na nguvu mara 100 kuliko hata lile alilotumia marekani kui adhubu Japan,after hapo ikawa ni mashindano ya kutengeneza silaha hatari hadi leo.Thanks mkuu,US,Russia na wote wanaomiliki silaha za nyuklia ni hatari kwa usalama wa dunia, kibaya mimi naogopa labda nchi nyingi tu duniani zina hizi silaha za nyuklia basi tuu....bora hata North Korea hana unafiki alionyesha kabisa anazo...US mpaka anaingia Iraq kumbe na yeye katulia anazo tuu...mnh
According to the study mbalimbali zinzsema ni nchi 13 hivi ndo zinamiliki hizi silaha za maangamizi