JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,007
..ccm mnajichanganya na kuongea kwa ndimi mbili.
..CCM mnapinga vipi ushoga, huku mkiunga mkono walawiti watoto kama Babu Seya na Papii?
..mnachofanya ni unafiki tu.
..wamekutwa na hatia na mahakama zote hapa nchini.
..hata mahakama ya afrika mashariki ilikubaliana na mahakama za Tz.
..nashangaa na kusikitika kwanini wameachiwa, na kupewa heshima kubwa ya kupokelewa Ikulu. Na mapokezi hayo yakatangazwa dunia nzima ili kutuchafua waTz.
Acheni unafiki nyie watu na mungu anawaona nyie si ndio mulikua mnapiga kelele kusema kua majamaaa wameonewa!!!je wakumbuka siku ya hukumu ya wale watu kuna mama ambaye aliitwa kutoa ushahidi kua mtt wake naye alifanyiwa kitendo kile alikua analia baada y hukumu kupita na kusema alikua ana namna maana aliambiwa aseme vile, kwenye Kampeni za wapinzani moja ya ahadi zao zilikua kuwatoa jamaaa, wasaniii wote waliimba kwa namna tofuti kua jamaa wameonewa, leo hii mnaleta unafiki. unafiki mbaya sana bora kuua kuliko unafiq.
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh! Watawala wa Ccm wana ndimi mbili...ccm mnajichanganya na kuongea kwa ndimi mbili.
..CCM mnapinga vipi ushoga, huku mkiunga mkono walawiti watoto kama Babu Seya na Papii?
..mnachofanya ni unafiki tu.
Umepanic Bro... angekuwa na akili angejenga mifumo imara bada ya kujijenga yeye binafisi! Putin, Putin, Putin! Isn't Putin just a human being? How long is gonna live? Soon very soon is gonna perish. Je, ameweka mifumo imara ya kuzuia ushpga Urusi? Hilo ndio la muhimu otherwise none sense zaidi ya kujitafutia kiki za muda tu.
Mbona hata Museveni hataki ushoga, na hajazuiwa kwenda US na vikwazo hajawekewa?Huku hakuna cha haki za binadamu kupiga Kelele.
Jamaa amesema na wala hutasikia vikwazo kutoka Marekani.
Huku hakuna wambea wa kusafiri kwenda marekani kupeleka umbea, ukienda ujue ukirudi kifo ni haki yako.
=====
(AFP) – MOSCOW: Russian President Vladimir Putin on Thursday stressed that marriage is solely a heterosexual union and supported the idea of enshrining the notion in the country´s updated constitution.
“A marriage is a union of a man and woman,” he said at a meeting with a Kremlin-appointed committee discussing new amendments to the Russian constitution. “This is the right idea and it should be supported. We need to only think about how to formulate it and where,” he said after conservative lawmaker Olga Batalina said Russia´s constitution should uphold “traditional family values.”
She claimed the family is under attack from attempts to introduce new terms like “parent number one” and “parent number two.” “This is not fantasy, this is reality in some countries,” said Batalina, a senior lawmaker in the majority United Russia party who has lobbied for Russia´s ban on foreign adoptions and a “gay propaganda” law which de-facto outlawed LGBT activism.
“As long as I´m president, we won´t have (parent number one and parent number two). We will have ´dad´ and ´mom´,” Putin said. Putin in January announced that Russia needed changes to the constitution written in 1993 and appointed a committee of dozens of lawmakers and celebrities to come up with ideas.
At the televised meeting Thursday, members advised putting into the constitution phrases about Russia being a “peacemaking state” for humankind, and a country that was victorious in World War II, among a huge range of other offers.
Source: AFP
Si umeona hata yeye mwenyewe kaka kiume zaidi,sio wale wanaofagilia ushoga hata maumbile yao tu yanatilisha mashaka...Huku hakuna cha haki za binadamu kupiga Kelele.
Jamaa amesema na wala hutasikia vikwazo kutoka Marekani.
Huku hakuna wambea wa kusafiri kwenda marekani kupeleka umbea, ukienda ujue ukirudi kifo ni haki yako.
=====
(AFP) – MOSCOW: Russian President Vladimir Putin on Thursday stressed that marriage is solely a heterosexual union and supported the idea of enshrining the notion in the country´s updated constitution.
“A marriage is a union of a man and woman,” he said at a meeting with a Kremlin-appointed committee discussing new amendments to the Russian constitution. “This is the right idea and it should be supported. We need to only think about how to formulate it and where,” he said after conservative lawmaker Olga Batalina said Russia´s constitution should uphold “traditional family values.”
She claimed the family is under attack from attempts to introduce new terms like “parent number one” and “parent number two.” “This is not fantasy, this is reality in some countries,” said Batalina, a senior lawmaker in the majority United Russia party who has lobbied for Russia´s ban on foreign adoptions and a “gay propaganda” law which de-facto outlawed LGBT activism.
“As long as I´m president, we won´t have (parent number one and parent number two). We will have ´dad´ and ´mom´,” Putin said. Putin in January announced that Russia needed changes to the constitution written in 1993 and appointed a committee of dozens of lawmakers and celebrities to come up with ideas.
At the televised meeting Thursday, members advised putting into the constitution phrases about Russia being a “peacemaking state” for humankind, and a country that was victorious in World War II, among a huge range of other offers.
Source: AFP
Sisi wanyonge wanatunyonga kabisa.
Dunia inabidi kwa sauti moja imkemee marekani kwa vitendo vyake vya kinyanyasaji.
Tatizo ni pale wewe wa Mbagala Kizuiani unajiona kuijua Mifumo zaidi ya Putin aliyepo Moscow.... angekuwa na akili angejenga mifumo imara bada ya kujijenga yeye binafisi! Putin, Putin, Putin! Isn't Putin just a human being? How long is gonna live? Soon very soon is gonna perish. Je, ameweka mifumo imara ya kuzuia ushpga Urusi? Hilo ndio la muhimu otherwise none sense zaidi ya kujitafutia kiki za muda tu.
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuruhusu ushoga.
Tatizo ni pale wewe wa Mbagala Kizuiani unajiona kuijua Mifumo zaidi ya Putin aliyepo Moscow.