TheCombination
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 370
- 727
Mnaanza wabongo ...mnaanzaUnamacho halisi,Mimi nilisha ongea hayo eneo flani nikaonekana ni mshirika wa anga za uajemi nikafunga mdomo
Mnaanza wabongo ...mnaanzaUnamacho halisi,Mimi nilisha ongea hayo eneo flani nikaonekana ni mshirika wa anga za uajemi nikafunga mdomo
Mkuu:I agree, but still I don't understand how Russia falls into the category of monarchy states.
Hata wewe unazeeka kwani ulizaliwa hivyo ulivyo?Jamaa anazidi kuzeeka!
Ni kweli. sote tunazeeka!Hata wewe unazeeka kwani ulizaliwa hivyo ulivyo?
Kuna akili fulani kwa viongozi hawa ambao wanainua taifa mfano marehemu Gaddafi, huwa sijui hawawaamini wengine, hata mwendazake alikiwa na akili hizi hizi, alihisi ni yeye anaweza wengine vilaza tu, huwa hawaandai kabisa waendelezaji wao.
Labda political scientists waliomo humu watusaidie, ila nchi ambayo haijengi taasisi imara ikitegemea utashi wa kiongozi aliyepo, ni swala la muda tu, itayumba.
Na ili uwe na uongozi uliobalance vizuri, hakikisha katiba ya nchi imetoa mamlaka ya kiasi kwa raisi lakini mamlaka hayo pia yakiwa utaratibu wa kuyazibiti.
Ndio maana hata hapa Tanzania eneo la eneo la kuanzia ni katiba mpya.
Hiyo ipo kwenye theory tu,nitajie nchi yenye taasisi imara duniani.
China
Mpinzani wake wa kisiasa alimfunga jela na huko alimchoma sindano yenye maambukizi ya HIV. Ni jini tu anaweza kutenda hayo.
Lazima ujione shithole sababu ndio ubongo wako ulilishwa hivyo na hao unaowaabudu.
Tofauti ya Putin na viongozi wa Afrika ni moja tu, kwamba Putin anatawala taifa la watu wabunifu ambao hawategemei chochote toka kwa wazungu basi.
Misimamo ya Putin alikuwa nayo pia Mugabe ila Mugabe alifeli sababu raia wake ni wapumbavu, hawajui kubuni chochote, ni tegemezi kwa wazungu.
Unatamani wawe kama nyerere ukishindwa narudi ikuluKuna akili fulani kwa viongozi hawa ambao wanainua taifa mfano marehemu Gaddafi, huwa sijui hawawaamini wengine, hata mwendazake alikiwa na akili hizi hizi, alihisi ni yeye anaweza wengine vilaza tu, huwa hawaandai kabisa waendelezaji wao.
Rais Putin anaetimiza miaka 69 wiki ijayo, hutumia muda mwingi kujitenga (isolation) kutokana na wimbi la maambukizi ya Covid 19 yaliyoikumba nchi hiyo.
View attachment 1953807
View attachment 1953808
View attachment 1953809
View attachment 1953810
View attachment 1953811
View attachment 1953812
View attachment 1953813
Wanampeleka kimya kimya akirud ndo wanatoa picha alikua hukoJitu mwitu msitu hilo,
Akienda zake huyu, nina wasiwasi urusi itayumba