Urusi: Korea Kaskazini inataka kuhakikishiwa usalama wake na Marekani

Aliyekutangulia kuiona siku sio wa kubeza, Nk hana historia katika vita yoyote kubwa, hivyo naona anataka kuingia msitu mgeni kwake, japo silaha zake pia sio za kubeza lakini "avaaye asijifu kushinda avuaye)
Ila mwisho wa siku watakaa chini na kuweka sawa mambo...always Marekani huwa anataka kuwa namba moja na anatamani hata Urusi isambaratike kabisa abaki mwenyewe (Marekani hana rafiki ama adui wa kudumu, anytime unaweza ukashangaa wakaa mezani vinginevyo siku nyingi sana angeshamvaa ila sababu bado hajapata maana Korea kuna wanaomkingia kifua)
 
China na Urusi zinasema majadiliano ndo njia pekee ya kutatua mgogoro huo huku ikisisitiza sera yake ya 'double freeze' ambapo NK iache kufanya majaribio yake ya makombora na Marekani iache kufanya mazoezi ya kijeshi na SK, Marekani imekataa mpango huu kwa kusema kwamba ina haki ya kufanya mazoezi ya kijeshi na washirika wake huku ikisisitiza kwamba muda
wa mazungumzo na Korea Kaskazini unakaribia ukomo.


Hii aya mmeielewa lakini? Urusi, China na PRK wanajua wanachokifanya.
 
Hao jamaa hawajaufyata wanataka watambuliwe kama taifa lenye nguvu za kinyuklia kinyume na hapo hakuna alichokifyata
Unaomba/unataka kutambuliwa kwamba una nguvu za kinyuklia! Njia nzuri zaidi ni kufanya kitu ambacho automatically kitamfanya sio tu atambulike bali aheshimike na sio kulialia kijinga eti "anataka atambulike" kama mtoto mdogo; kweli Kim bado toto.
 
Hapo hakuna Vita kamwe Wamarekani wanajua kabisa kuwa hiyo vita itakuwa na madhara makubwa, si kwa Korea tu dunia nzima itapata matatizo, Kuwa na makombora ya Korea ni tayari hilo siyo taifa lakutishwa,bahati mbaya wakorea kusini wanawapenda wakorea wa kaskazini kwa sababu wanauhusiano wa damu pamoja na Marekani kutumia Nguvu, yale mataifa yanachonganishwa tu,Korea ya kaskazini si yakupuzwa kabisa, ikianza vita duniani nzima itaingia kwenye shida kubwa
 
Unaomba/unataka kutambuliwa kwamba una nguvu za kinyuklia! Njia nzuri zaidi ni kufanya kitu ambacho automatically kitamfanya sio tu atambulike bali aheshimike na sio kulialia kijinga eti "anataka atambulike" kama mtoto mdogo; kweli Kim bado toto.
sasa andunje anataka kutumbuliwa kwa kulazimisha
 
Alisema watafanya mazungumzo pale ambapo watafanya jaribio la kombora litakaloweza kupiga USA na so ndio wameshalifanya sasa ni muda wa mazungumzo


Hakuna mazungumzo.. Kiduku asubiriwe kupasuliwa hadi kila kona atoke expansion joints.. U.S kamwe haitakubali Kiduku aachiwe nyuklia arsenals.. Never ever.. Kichaa unampa bomu? Tena bomu la maangamizi? Kiduku ni kichaa
 
Engineer Tillerson kazi anayo especially sasa wakati the U.S is on the brink of war, Nuke War to be exact.
Tuone diplomasia yake ita play vipi hapa.

Afadhali Warusi wanavyokuwa "grown-ups" katika hili kujaribu kuweka mambo vizuri. Maana vinginevyo, itakuwa balaa tu.
 
Back
Top Bottom