Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,537
- 15,494
Mifano kama hii peleka uchochoroni huko.. mikataba ina walinda wote.Uko sahihi
Ni kama mfano nina daladala halafu nalazimisha kuwa lazima abiria wa wapande daladala yangu vinginevyo siji hiyo njia!! Na pili abiria waliokataa kupanda nitawaburuza mahakamani! Kwa kupitia hasara !!!