Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
" urithi pekee kwa watoto,wajuuu na vitukuu wetu ni Tanzania bila CCM madarakani"
Nasisitiza urithi pekee na wa maana kwa kwa watoto wetu ni kuwarithisha nchi hii ikiwa inaongozwa na vyama mbadala na si CCM tena.
Kwa sasa hakuna elimu tunayoihitaji kama Taifa kama elimu ya kujikomboa elimu ambayo hatuwezi kuipata tukiwa tunatawaliwa na CCM.
Watanzania tutumie fursa za kisheria na kikatiba kuwachia watoto wetu hawa urithi huu wa thamani kuliko vitu vyote katika ardhi ya nchi hii.
Pigania katiba mpya,pigani marekebisho ya sheria ya uchaguzi ili umuachie mwanao urithi bora wa Tanzania bila CCM madarakani.
Nasisitiza urithi pekee na wa maana kwa kwa watoto wetu ni kuwarithisha nchi hii ikiwa inaongozwa na vyama mbadala na si CCM tena.
Kwa sasa hakuna elimu tunayoihitaji kama Taifa kama elimu ya kujikomboa elimu ambayo hatuwezi kuipata tukiwa tunatawaliwa na CCM.
Watanzania tutumie fursa za kisheria na kikatiba kuwachia watoto wetu hawa urithi huu wa thamani kuliko vitu vyote katika ardhi ya nchi hii.
Pigania katiba mpya,pigani marekebisho ya sheria ya uchaguzi ili umuachie mwanao urithi bora wa Tanzania bila CCM madarakani.