Itete njiwa
Member
- Dec 29, 2010
- 26
- 14
Urio yupo ni shahidi wa jamuhuriNi luteni aliyopotea kwa mateso pamoja na Linjenje. Wameshadanja hao dingi
Urio yupo ni shahidi wa jamuhuriNi luteni aliyopotea kwa mateso pamoja na Linjenje. Wameshadanja hao dingi
Ngoma hii ni nzito. Kuweni na subira. Urio na Lijenje wanaweza kutokea mahakamani wakiwa ni mashahidi wa upande wa serikali. Hamjui how the national security systems work. Kuna kitu kinaitwa fifth column! Mbowe atakuwa aliingia kichwa kichwa.Ulisikiliza/kusoma ushahidi wa kwanza wa Adamoo na Ling'wenya (Walisema walipigwa na vitako vya bunduki kichwani huku wakiambiwa mkiwa wakaidi tutawatupa kama wenzenu ). Ambao walikuwa nao Tazara na Mbweni ila baada ya hapo hawajawaona tena mpaka walipoambiwa watatupwa kama wenzao. Tafakari. Serikali iwalete Lijenje na Urio. Na pia kila kituo walichokuwa wanapelekwa walikuwa wanaingizwa mahabusu kwa majina bandia hivyo huwezi kuwakuta katika register ya polisi popote pale Tanzania (unaona chezo hilo)
Inawezekana labisa hapo Luteni anataka apande faster awe Major....muda mwalim mkuuNgoma hii ni nzito. Kuweni na subira. Urio na Lijenje wanaweza kutokea mahakamani wakiwa ni mashahidi wa upande wa serikali. Hamjui how the national security systems work. Kuna kitu kinaitwa fifth column! Mbowe atakuwa aliingia kichwa kichwa.
Je yuko hai ai ameuawa ?
Hii kesi itawafufua ndani ya kaburi , subiri Sirro atakapoitwa Mahakamani , japo wanataka wamstaafishe kabla ya kuja kutoa ushahidi , ila ataletwa Mahakamani na pinguNi luteni aliyopotea kwa mateso pamoja na Linjenje. Wameshadanja hao dingi
Kila ubaya utalipwaDaah! aisee inaumiza kumbe keshapotea
Wewe acha kujidanganya wewe.hadi leo 5nov2021 hakuna muunganiko wa ushahidi wowote kuwa kulikua na njama za kufanya Ugaidi Mr Mbowe.Ngoma hii ni nzito. Kuweni na subira. Urio na Lijenje wanaweza kutokea mahakamani wakiwa ni mashahidi wa upande wa serikali. Hamjui how the national security systems work. Kuna kitu kinaitwa fifth column! Mbowe atakuwa aliingia kichwa kichwa.
Huyu Luteni Urio [kama informer] wa kina Kingai na Mahita hata aitwe leo mahakamani na akawa na jambo lolote kama ushahidi halitakuwa na thamani au umuhimu wowote ktk kesi hii mpaka hatua hii...Leo imetoka twitter kuna uwezekano hakupotea ila kahifadhiwa mahali.Ndiye alikuwa informer ,toka twitter
Tunajua ni ngumu sana kwako kuamini au hata kufikiria kwamba haka ka mr mbowe kumbe ni kagaidi (ka tourist) ka siku nyingi! Sasa kamedakwa.Wewe acha kujidanganya wewe.hadi leo 5nov2021 hakuna muunganiko wa ushahidi wowote kuwa kulikua na njama za kufanya Ugaidi Mr Mbowe.
Mnapoteza muda tu.
Viongozi waliotakiwa kuuwawa na Mbowe ni Sabaya.
Mmawatesa watu bure tu.
Kama huyo Lutenant Urio hajafa Basi mnamkaririsha uongo.
Mtaumbuka tu.
Ukweli na uongo daima ukweli huja juu.
Kwenye commital pale mahakama ya Kisutu, mashahidi walikuwa 21 tu. Kwenye mahakama ya mafisadi ni mashaidi ni 24. Maana yake mashaidi watatu waliombewa kuingizwa. Wengine majina yao yaliombwa kutotangazwa hadharani hadi wakati wa kesi. Upande wa utetezi walifanya hivyo hivyo.Huyu Luteni Urio [kama informer] wa kina Kingai na Mahita hata aitwe leo mahakamani na akawa na jambo lolote kama ushahidi halitakuwa na thamani au umuhimu wowote ktk kesi hii mpaka hatua hii...
After all hata kama ni muhimu kwa kiwango gani kwa Jamhuri, hayupo hawakumwingiza kwenye orodha ya mashahidi isipokuwa [labda] upande wa utetezi wamtake kwa nguvu ya mahakama kuja ku - testify against Jamhuri iwapo wataona umuhimu huo kama ambavyo Sabaya na IGP Simon Sirro ataitwa na mahakama...
Na kama huyo Luteni ndiye "shahidi wao muhimu", na mwenye " kitu kizito" cha kuwaponda kina Mbowe, wasingekuwa na mashahidi 24 wasiokuwa na lolote ili kuja kupoteza muda na rasrimali za umma tu mahakamani. Huyu huyu mmoja angekuja na kumaliza kila kitu...
Kwa hiyo unadhani yumo?Kwenye commital pale mahakama ya Kisutu, mashahidi walikuwa 21 tu. Kwenye mahakama ya mafisadi ni mashaidi ni 24. Maana yake mashaidi watatu waliombewa kuingizwa. Wengine majina yao yaliombwa kutotangazwa hadharani hadi wakati wa kesi. Upande wa utetezi walifanya hivyo hivyo.
Duuh! Ngoja tusubiri.Kwa hiyo unadhani yumo?
Jibu ni hili kwa herufi kubwa na kujiamini kabisa: HAYUPO...!!
WHY?
Kwa sababu walishamuua sawasawa tu kama walivyomua Moses Lijenje...
Sababu za kumuua?...Mimi na wewe kwa sasa hatuwezi kuzijua lakini itajulikana tu muda si kitambo...
NA HUU NDIYO uthibitisho kuwa, KESI HII NI YA KUBUMBA/KUTENGENEZWA MAGOGONI na yeyote aliyeshiriki halafu akaanza kuleta za kuletwa katikati ya safari kama kusitasita kuendelea mbele, kuugomea mkakati, kuanza kuhoji na kutishia kujitoa, basi dawa take ni KUUWAWA TU...!!
Twitter wamasema wamefichwa na serikali.Mkague Mchambuzi twittani (Ndiyo maana hata ndugu zao huwasikii kupiga keleleKwa hiyo unadhani yumo?
Jibu ni hili kwa herufi kubwa na kujiamini kabisa: HAYUPO...!!
WHY?
Kwa sababu walishamuua sawasawa tu kama walivyomua Moses Lijenje...
Sababu za kumuua?...Mimi na wewe kwa sasa hatuwezi kuzijua lakini itajulikana tu muda si kitambo...
NA HUU NDIYO uthibitisho kuwa, KESI HII NI YA KUBUMBA/KUTENGENEZWA MAGOGONI na yeyote aliyeshiriki halafu akaanza kuleta za kuletwa katikati ya safari kama kusitasita kuendelea mbele, kuugomea mkakati, kuanza kuhoji na kutishia kujitoa, basi dawa take ni KUUWAWA TU...!!
MCHAMBUZIKwa hiyo unadhani yumo?
Jibu ni hili kwa herufi kubwa na kujiamini kabisa: HAYUPO...!!
WHY?
Kwa sababu walishamuua sawasawa tu kama walivyomua Moses Lijenje...
Sababu za kumuua?...Mimi na wewe kwa sasa hatuwezi kuzijua lakini itajulikana tu muda si kitambo...
NA HUU NDIYO uthibitisho kuwa, KESI HII NI YA KUBUMBA/KUTENGENEZWA MAGOGONI na yeyote aliyeshiriki halafu akaanza kuleta za kuletwa katikati ya safari kama kusitasita kuendelea mbele, kuugomea mkakati, kuanza kuhoji na kutishia kujitoa, basi dawa take ni KUUWAWA TU...!!
Tuashumu kuwa ni kweli..Twitter wamasema wamefichwa na serikali.Mkague Mchambuzi twittani (Ndiyo maana hata ndugu zao huwasikii kupiga kelele