Urine pregnancy test

middo

JF-Expert Member
Mar 21, 2011
207
56
Habari wadau.

Naomba kufahamu ni baada ya mda gan mimba ikishatunga kipimo cha mimba cha kutumia mkojo kinaweza kutoa majibu thabiti?

Yaan baada ya muda gani baada ya sex msichana anaweza kutumia hicho kipimo akapata majibu yenye ukweli!
 
wiki moja inakuaje inaweza yakawa si ya kweli?? Ndetirima
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom