middo JF-Expert Member Mar 21, 2011 207 56 May 23, 2014 #1 Habari wadau. Naomba kufahamu ni baada ya mda gan mimba ikishatunga kipimo cha mimba cha kutumia mkojo kinaweza kutoa majibu thabiti? Yaan baada ya muda gani baada ya sex msichana anaweza kutumia hicho kipimo akapata majibu yenye ukweli!
Habari wadau. Naomba kufahamu ni baada ya mda gan mimba ikishatunga kipimo cha mimba cha kutumia mkojo kinaweza kutoa majibu thabiti? Yaan baada ya muda gani baada ya sex msichana anaweza kutumia hicho kipimo akapata majibu yenye ukweli!
Ndetirima JF-Expert Member Oct 4, 2011 1,008 783 May 23, 2014 #2 Baada ya wiki mbili majibu yanaonekana vizuri sana.
middo JF-Expert Member Mar 21, 2011 207 56 May 23, 2014 Thread starter #3 wiki moja inakuaje inaweza yakawa si ya kweli?? Ndetirima Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Z zedlyn JF-Expert Member Mar 14, 2012 1,244 801 May 23, 2014 #4 middo said: wiki moja inakuaje inaweza yakawa si ya kweli?? Ndetirima Click to expand... Inaweza kuonyesha lakini ule mstari wa pili unakuwa faint sana lakini wiki 2 inaonesha vizuri kabisa huna haja ya kusugua macho Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
middo said: wiki moja inakuaje inaweza yakawa si ya kweli?? Ndetirima Click to expand... Inaweza kuonyesha lakini ule mstari wa pili unakuwa faint sana lakini wiki 2 inaonesha vizuri kabisa huna haja ya kusugua macho
Mshawa JF-Expert Member Sep 6, 2011 776 306 May 23, 2014 #6 Baada ya masaa 72 chukua mkojo pima utapata majibu.