Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Mbona zamani haikuwa case miaka hii imezidi. Ina maana wanawake wa zamani huwa walikuwa hawaendi chooni.....?!
Tofauti na zamani, siku hizi interaction zimekuwa nyingi hivyo usafi hauzingatiwi hususan public toilets na maji yanayotumika humo
 
Kutakana na data kutoka kwenye vipimo vya urine culture and sensitivity inaonyesha kwamba dawa aina ya nitrofurantoin ni best drug(sensitivive) competed to dawa nyingine,nimekuwa nashangaa mtu anaeumwa UTI kutumia Cipro,Cipro ni dawa Kali ina side effects nyingi pia husababisha drug resistance,hivyo basi tujitahidi kuelimishana juu ya hili,
 
Kuna mwenzetu humu jukwaani alituma hii
Screenshot_20200829-082127.jpg
 
Nilifundishwa na Mzee mmoja nikatumia na ikanisaidia.
unachemsha maji yenye kutokota sana kisha unayaweka kwenye chupa ya chai ujazo nusu lita.
unakatakata mchaichai vipande vidogovidogo kisha unaweka kwenye chupa ya chai yenye hayo maji ya moto unasubiri kwa dk 15 kisha unakunywa.
fanya hivi kwa siku saba.
 
Hii inatumikaje mkuu
Bicarbonate nusu kijiko cha chakula unachanganya na maji safi na salama ujazo wa Mil 400(nusu lita kasoro Mils100)
Koroga vizuri mpaka B.C. ichanganyike kabisa,kunywa maji yote

Utakunywa asubuhi ,utakaa dk 45 ndio upate kifungua kinywa.

Mchana utatengeneza mchanganyiko mwingine ,utakunywa.Utasubiri dk 45 ndio ule.Usiku vivyo hivyo
Kama U.t.i yako ni sugu piga dozi ya siku 7 kama sio sugu siku 3
NOTE: Utumie Bicarbonate of soda sio Baking powder
 
We ndo mkubwa! Fanya hivi weka picha ya hiyo dawa Kama unayo siku yakinifika niwatatue au nayo utaninyima..?😜
Sina kwa sasa,ila madukani zipo.Inauzwa 300 tu mkuu.
Boksi lake linaendana sana na BAKING POWDER angalia usije changanya mafile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom