Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Young_Master,
Hapo kwenye bluu, panaenda kinyume na shule yangu ya Microbiology. Unaweza ukanifafanulia? inawezekana shule yangu ipo outdated....

Nimekuelewa ,kwanza tuanze na kuanika nguo za ndani nje.kuna bacteria mmoja anaitwa staphylococcus saprophyticus huyu mdudu anapenda kuishi kwenye udongo au vumbi, sasa unapoanika chupi nje kama ikidondoka chini au ikipitiwa na vumbi yule bacteria anaweza kuingia ndani ya hiyo chupi na ukija kuivaa unahatari ya kupata U.T.I.

Hivyo kiafya inashauriwa kuwa ukianika chupi nje ni vizuri uifunikie na kitambaa chepesi kinachopitisha mwanga.Pia kwa upande wa maji kwenye maji machafu kuna bacteria anayeitwa Salmonella Typhi,huyu mdudu ni maarufu kwa kusababisha ugonjwa wa Typhoid pia inasemekana kuwa huyu mdudu anauwezo wa kusababisha ugonjwa wa U.T.I kama akiingia katika mfumo wa mkojo lakini hii ni mara chache sana kutokea.

Nazani umenielewa.
 
Maelezo ya Young master yana utata kuhusu kuambukizwa UTI. Naona microbiology yake inapwaya sana. kwa kawaida, Salmonella haileti UTI wala S saprohyticus. Na zile dawa ambazo Ndokezi amezitaja hazina ukweli. Nimeshasema tena kuwa hapa tusidanganyane kama sio field yako usijaribu kubuni.

Definition ya UTI wameipatia, lakini bacteria wanaoleta UTI wako wachache hasa E coli na Klebsiella. hawa ni wadudu walioko kwenye njia ya haja kubwa. kuanika chupi nje huwezi kupata UTI.

Huu ugonjwa ni more common kwa wanawake kwa sababu urethra yao ni fupi kuliko wanaume. Dalili kwa watoto inainclude fever lakini kwa watu wazima ni maumivu wakati wa kukojoa na kwenye kibofu cha mkojo au kwenda haja ndogo mara kwa mara. Kwa akina mama wanaweza kuumwa tumbo.

Ukipata dalili nenda kwa daktari apime mkojo kujua aina ya bacteria na sensitivity testing ifanyike usile dawa hovyo kwani bacteria wametengeneza usugu (resistance). Ukiwa na UTI ukikutana na mwanmke asilimia zaidi ya 80 utamwambukiza mwenzio
 
Mkuu umesomeka, let's also think of the commonest, the E.Coli which is the normal flora Wa gut, hawa ni causative agent mkuu Wa UTI as wengi wanaponawa badala ya kiujisafisha from from to backward wao husafisha back to front and hii huwezesha hawa wadudu kuweza kupenya to the urethra na kusababisha UTI.
In pregnancy UTI can also result from delayed emptying, dilatation of the ureters hii kuchangia vijidudu kepenya kwa urahisi.


QUOTE=Young_Master;3401230]Nimekuelewa ,kwanza tuanze na kuanika nguo za ndani nje.kuna bacteria mmoja anaitwa staphylococcus saprophyticus huyu mdudu anapenda kuishi kwenye udongo au vumbi, sasa unapoanika chupi nje kama ikidondoka chini au ikipitiwa na vumbi yule bacteria anaweza kuingia ndani ya hiyo chupi na ukija kuivaa unahatari ya kupata U.T.I.

Hivyo kiafya inashauriwa kuwa ukianika chupi nje ni vizuri uifunikie na kitambaa chepesi kinachopitisha mwanga.Pia kwa upande wa maji kwenye maji machafu kuna bacteria anayeitwa Salmonella Typhi,huyu mdudu ni maarufu kwa kusababisha ugonjwa wa Typhoid pia inasemekana kuwa huyu mdudu anauwezo wa kusababisha ugonjwa wa U.T.I kama akiingia katika mfumo wa mkojo lakini hii ni mara chache sana kutokea.

Nazani umenielewa.[/QUOTE]
 
Nimekuelewa ,kwanza tuanze na kuanika nguo za ndani nje.kuna bacteria mmoja anaitwa staphylococcus saprophyticus huyu mdudu anapenda kuishi kwenye udongo au vumbi, sasa unapoanika chupi nje kama ikidondoka chini au ikipitiwa na vumbi yule bacteria anaweza kuingia ndani ya hiyo chupi na ukija kuivaa unahatari ya kupata U.T.I.

Hivyo kiafya inashauriwa kuwa ukianika chupi nje ni vizuri uifunikie na kitambaa chepesi kinachopitisha mwanga.Pia kwa upande wa maji kwenye maji machafu kuna bacteria anayeitwa Salmonella Typhi,huyu mdudu ni maarufu kwa kusababisha ugonjwa wa Typhoid pia inasemekana kuwa huyu mdudu anauwezo wa kusababisha ugonjwa wa U.T.I kama akiingia katika mfumo wa mkojo lakini hii ni mara chache sana kutokea.

Nazani umenielewa.

Nimekuelewa kaka.
With all due respect, I advise you to polish/refresh your aetiology and epidemiology of UTI and general microbiology. No hard feelings, right brother?
 
Nimekuelewa kaka.
With all due respect, I advise you to polish/refresh your aetiology and epidemiology of UTI and general microbiology. No hard feelings, right brother?

Thanks alot my dear, umenena vyema I had seen that nikadhani mie Wa zamani sana shule yangu is no longer applicable. Commonest is E. Coli nadhani let's give the common things
 
Maelezo ya Young master yana utata kuhusu kuambukizwa UTI. Naona microbiology yake inapwaya sana. kwa kawaida, Salmonella haileti UTI wala S saprohyticus. Na zile dawa ambazo Ndokezi amezitaja hazina ukweli. Nimeshasema tena kuwa hapa tusidanganyane kama sio field yako usijaribu kubuni.

Definition ya UTI wameipatia, lakini bacteria wanaoleta UTI wako wachache hasa E coli na Klebsiella. hawa ni wadudu walioko kwenye njia ya haja kubwa. kuanika chupi nje huwezi kupata UTI.

Huu ugonjwa ni more common kwa wanawake kwa sababu urethra yao ni fupi kuliko wanaume. Dalili kwa watoto inainclude fever lakini kwa watu wazima ni maumivu wakati wa kukojoa na kwenye kibofu cha mkojo au kwenda haja ndogo mara kwa mara. Kwa akina mama wanaweza kuumwa tumbo.

Ukipata dalili nenda kwa daktari apime mkojo kujua aina ya bacteria na sensitivity testing ifanyike usile dawa hovyo kwani bacteria wametengeneza usugu (resistance). Ukiwa na UTI ukikutana na mwanmke asilimia zaidi ya 80 utamwambukiza mwenzio

wewe unaepinga kuhusu maelezo yangu ya U.T.I. umeisomea wapi hiyo medicine labda uwe umesomea chooni lakini sio chuoni maana unatia aibu. Medicine haibabaishwi kama hujui kaa kimya usije ukapotosha watu tena uache ,ukija kumwambia dactari hivyo atakucheka tena atakuvua nguo kimawazo utabaki uchi.Hivi unajua unayembishia hivyo ni nani?Nakushauri soma vitabu vingi ili upate maarifa ,tiba haibabaishwi utauwa mgonjwa kwa upumbavu wako.Tena kuhusu dawa unasema sio za ukweli hivi unaakili timamu kweli au umekurupuka hiyo pharmacology uliyoisomea itakuwa niya vichochoroni sio ya medicine kwa taarifa yako hizo dawa zinatibu UTI iliyosababishwa na Salmonella spp ziko dawa nyingi hizo ni baadhi tu.
 
Thanks alot my dear, umenena vyema I had seen that nikadhani mie Wa zamani sana shule yangu is no longer applicable. Commonest is E. Coli nadhani let's give the common things

Na mimi na kushauri soma vizuri microbiology ili usije ukadanganya na kubabaisha katika maswala ya tiba ni aibu.
 
Maelezo ya Young master yana utata kuhusu kuambukizwa UTI. Naona microbiology yake inapwaya sana. kwa kawaida, Salmonella haileti UTI wala S saprohyticus. Na zile dawa ambazo Ndokezi amezitaja hazina ukweli. Nimeshasema tena kuwa hapa tusidanganyane kama sio field yako usijaribu kubuni.

Definition ya UTI wameipatia, lakini bacteria wanaoleta UTI wako wachache hasa E coli na Klebsiella. hawa ni wadudu walioko kwenye njia ya haja kubwa. kuanika chupi nje huwezi kupata UTI.

Huu ugonjwa ni more common kwa wanawake kwa sababu urethra yao ni fupi kuliko wanaume. Dalili kwa watoto inainclude fever lakini kwa watu wazima ni maumivu wakati wa kukojoa na kwenye kibofu cha mkojo au kwenda haja ndogo mara kwa mara. Kwa akina mama wanaweza kuumwa tumbo.

Ukipata dalili nenda kwa daktari apime mkojo kujua aina ya bacteria na sensitivity testing ifanyike usile dawa hovyo kwani bacteria wametengeneza usugu (resistance). Ukiwa na UTI ukikutana na mwanmke asilimia zaidi ya 80 utamwambukiza mwenzio

mkuu ebu tupe treatment ya U.T.I bladder infection na kidney infection kama nilivoelezea mimi au labda maelezo yangu hujayaelewa
 
wewe unaepinga kuhusu maelezo yangu ya U.T.I. umeisomea wapi hiyo medicine labda uwe umesomea chooni lakini sio chuoni maana unatia aibu. Medicine haibabaishwi kama hujui kaa kimya usije ukapotosha watu tena uache ,ukija kumwambia dactari hivyo atakucheka tena atakuvua nguo kimawazo utabaki uchi.Hivi unajua unayembishia hivyo ni nani?Nakushauri soma vitabu vingi ili upate maarifa ,tiba haibabaishwi utauwa mgonjwa kwa upumbavu wako.Tena kuhusu dawa unasema sio za ukweli hivi unaakili timamu kweli au umekurupuka hiyo pharmacology uliyoisomea itakuwa niya vichochoroni sio ya medicine kwa taarifa yako hizo dawa zinatibu UTI iliyosababishwa na Salmonella spp ziko dawa nyingi hizo ni baadhi tu.

afadhali mkuu umemjibu hawa watu wakugoogle ndiyo wanakulupuka ni washida sana hana hata shule microbiology, pharmacology,physiology ,management halafu huyu jamaa katokea wapi
 
Nimekuelewa ,kwanza tuanze na kuanika nguo za ndani nje.kuna bacteria mmoja anaitwa staphylococcus saprophyticus huyu mdudu anapenda kuishi kwenye udongo au vumbi, sasa unapoanika chupi nje kama ikidondoka chini au ikipitiwa na vumbi yule bacteria anaweza kuingia ndani ya hiyo chupi na ukija kuivaa unahatari ya kupata U.T.I.

Hivyo kiafya inashauriwa kuwa ukianika chupi nje ni vizuri uifunikie na kitambaa chepesi kinachopitisha mwanga.Pia kwa upande wa maji kwenye maji machafu kuna bacteria anayeitwa Salmonella Typhi,huyu mdudu ni maarufu kwa kusababisha ugonjwa wa Typhoid pia inasemekana kuwa huyu mdudu anauwezo wa kusababisha ugonjwa wa U.T.I kama akiingia katika mfumo wa mkojo lakini hii ni mara chache sana kutokea.

Nazani umenielewa.

Thanks Kwa darasa zuri YM, Upo deep sana!
 
Jaman habar zenu' nauliza kwamba,U.T.I. ,inaweza kuenezwa kwa njia ya kujamiana!? Kutoka kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume!? Nisaidien'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom