Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Wakuu tofautisheni mkojo mchafu na UTI. Mkojo mchafu kweli unatibika na mchaichai, mpapai, kitunguu swaumu nk. Lakini UTI ni bakteria. Huwezi kumuua bakteria kwa mchaichai. Tutofautishe vitu hivyo....Wakubwa hachana na madawa ya madukani, tumia mchai chai, chemsha kama chai usichanganye na chochote, weka tu sukari, kunywa asubuhi na jioni, kwa kifupi ifanye kama chai yako, malaria, UTI, na magonjwa mengine utayasikia kwa jirani