Urgent!!!

Julian Bauer

Member
Oct 3, 2011
8
2
Natafuta Rafiki wa Kike wa kubadilishana mawazo na awe na sifa zifuatazo:-
  • Awe na utu
  • Awe mcha mungu pref christian
  • Asiwe na nyodo
  • Awe na upeo wa kujua mambo
  • Awe as natural as possible
  • Awe SMART (kimavazi, mavazi ya heshima)
  • Awe na Umri kati ya 26-28
  • Kwa walio serious tu tuma maombi hapa info.julian@yahoo.com
 
Natafuta Rafiki wa Kike wa kubadilishana mawazo na awe na sifa zifuatazo:-
  • Awe na utu
  • Awe mcha mungu pref christian
  • Asiwe na nyodo
  • Awe na upeo wa kujua mambo
  • Awe as natural as possible
  • Awe SMART (kimavazi, mavazi ya heshima)
  • Awe na Umri kati ya 26-28
  • Kwa walio serious tu tuma maombi hapa info.julian@yahoo.com

i can smell utapeli wa mapenzi hapa,....haya bana ngoja waku e mail mkuu
 
Natafuta Rafiki wa Kike wa kubadilishana mawazo na awe na sifa zifuatazo:-
  • Awe na utu
  • Awe mcha mungu pref christian
  • Asiwe na nyodo
  • Awe na upeo wa kujua mambo
  • Awe as natural as possible
  • Awe SMART (kimavazi, mavazi ya heshima)
  • Awe na Umri kati ya 26-28
  • Kwa walio serious tu tuma maombi hapa info.julian@yahoo.com




nitajijuaje km najua au SIJUI MAMBO?
tafadhali nisaidie SI UNIT ili nijipimie nijue km NAJUA MAMBO AU DEADLY KILAZA

yours faithfull
kadala.
 
Aaah! Huu uzee nao! Nishakosa rafiki tena sababu ya umri!


Natafuta Rafiki wa Kike wa kubadilishana mawazo na awe na sifa zifuatazo:-
  • Awe na utu
  • Awe mcha mungu pref christian
  • Asiwe na nyodo
  • Awe na upeo wa kujua mambo
  • Awe as natural as possible
  • Awe SMART (kimavazi, mavazi ya heshima)
  • Awe na Umri kati ya 26-28
  • Kwa walio serious tu tuma maombi hapa info.julian@yahoo.com
 
sijasema natafuta mpenzi! nimesema rafiki! am seriuous jamani! read the post carefully!!!
Tuwekee na upande wa pili pia. Namaanisha, umri wako, mrefu/mfupi, mweupe/ mweusi, elimu yako, dini yako ukiweza na kabila pia..je wewe ni mwanafunzi? Umeoa? Una mchumba?.. Maoni yako kuhusu uchaguzi wa Igunga ni yepi?
 
Huna lolote wewe,ukware tu unakusumbua......technique hii ishakuwa ya zamani!........alafu inaonyesha mwoga sana wa mademu wewe,........jiamini mwanaume!


Natafuta Rafiki wa Kike wa kubadilishana mawazo na awe na sifa zifuatazo:-
  • Awe na utu
  • Awe mcha mungu pref christian
  • Asiwe na nyodo
  • Awe na upeo wa kujua mambo
  • Awe as natural as possible
  • Awe SMART (kimavazi, mavazi ya heshima)
  • Awe na Umri kati ya 26-28
  • Kwa walio serious tu tuma maombi hapa info.julian@yahoo.com
 
Back
Top Bottom