figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Heshima kwenu wakuu,
Mimi huwa sipendezwi na wanawake wadada wanaopaka kucha zao rangi halafu unakuta rangi imechakaa na ishaanza kubanduka.
Unakuta mtu kapendeza kuanzia juu hadi chini tena. Unakuta mtu hata wigi hajavaa lakini ukiangalia kucha zina mabakabaka. Inawashushia heshima. Jiangalie kucha zako mwanamke wewe unayesoma hapa.
Heshima kwa wanawake wote wanajali usafi wao. Kuna dada unakuta hajapaka rangi lakinibkucha zake safi, kazisafisha mwenyewe hadi unapenda.
Asilimia kubwa wanaopaka rangi wwnaficha uchafu. Unakuta mdani ya kucha ukichokonoa kuna ichafu kama ugoro, sema huwezi kuona sababu ya rangi. So ukitaka kujua mwanamke mchafu akikusalimia angalia kama rangi imebandukabandika. Mara nyingi unakuta hata nguo zake za ndani chafu. Anashindwa kutunza kucha ataweza kutunza papuchi?
Mimi huwa sipendezwi na wanawake wadada wanaopaka kucha zao rangi halafu unakuta rangi imechakaa na ishaanza kubanduka.
Unakuta mtu kapendeza kuanzia juu hadi chini tena. Unakuta mtu hata wigi hajavaa lakini ukiangalia kucha zina mabakabaka. Inawashushia heshima. Jiangalie kucha zako mwanamke wewe unayesoma hapa.
Heshima kwa wanawake wote wanajali usafi wao. Kuna dada unakuta hajapaka rangi lakinibkucha zake safi, kazisafisha mwenyewe hadi unapenda.
Asilimia kubwa wanaopaka rangi wwnaficha uchafu. Unakuta mdani ya kucha ukichokonoa kuna ichafu kama ugoro, sema huwezi kuona sababu ya rangi. So ukitaka kujua mwanamke mchafu akikusalimia angalia kama rangi imebandukabandika. Mara nyingi unakuta hata nguo zake za ndani chafu. Anashindwa kutunza kucha ataweza kutunza papuchi?