Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,217
Watu wametafuta kila chembe ya ufisadi kwenye utawala wa Samia, wamekosa, wamebaki kuzilisha maneno kauli zake, wamebaki kuzinyumbulisha kauli zake na kuzijaza maana zinazowapendeza wao kwa manufaa yao ya kifisadi, Samia is clean, hajawahi kuiba na haitotokea. Ni Rais bora zaidi kupatikana kwenye zama hizi zilizojaa watu greed with fkd up Egos! Tupo naye mpaka 2030 kama vitu vyote vikibaki constant, asiyetaka ahamie Burundi