jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,973
- 1,398
Huu ni upumbavu mwingine mwingine wa maafisa wa TRA anakukadiria kodi akiwa ofisini bila kutembelea biashara yako, makadirio yanakuwa makubwa, ukilalamika anakwambia andika barua ya kuomba kupunguziwa kodi. Baada ya hapo anakwambia kodi haipungizwi kwa kuandika barua tu, mpaka tufike tuone biashara yako. Hapo swali linakuja mbona wakati unakadiria hiyo kodi hakuja kwenye biashara kwanza
Ujinga mwingine anakwambia ufuate ratiba yake pale anapokuwa na nafasi na umtafutie usafiri wa kumpeleka na kumrudisha
Ujinga mwingine anakwambia ufuate ratiba yake pale anapokuwa na nafasi na umtafutie usafiri wa kumpeleka na kumrudisha