Urasi wa serikali tatu ukipita kwenye rasimu hii na kuwa katiba nawafagilia wafuatao...

Mwamba Usemao Kweli

JF-Expert Member
Oct 5, 2012
744
186
1. Serikali ya shirikisho - salim ahmed salim

2. Serikali ya tanganyika - dr. Mwakyembe / dr. Magufuli

3. Zanzibar - nawaachia wenyewe waseme

nawachieni wana jf mzungumze zaidi...
 
Ndoto za Mchana hasa ndoto za viroba ni hatari kuliko UKIMWI. Tumekusikia endelea kutuletea uzi mwingine wa bangi bangi sasa
 
Back
Top Bottom