Mfukuaji ana lake jambo, tuvute subira, manake kila nikigonga nakutana na uzi mpya. Ukisoma vizuri utagundua kuna mambo meengi hayapo sawa katika suala la uranium. Labda mfukuzi ana jipya na yawezekana kuna jambo zuuuuri lipo njiani, hili sio jipu ni tambazi!Mbona uzi karibu zote zinazohusu tz na uranium ni za zamani sana? Kulikoni zimefufuliwa leo!
Na hivi ndo wanataka. Tukalie siasa za CCM vs CHADEMA wafanye yao. Mkakati wao tushaujua. Magufuli aanze na waliogombea naye Urais kwa kufuatilia nyendo zao kwani kuna kijana mwingine kishaanza mbio za 2020 mapemaMbona uzi karibu zote zinazohusu tz na uranium ni za zamani sana? Kulikoni zimefufuliwa leo!
Nimekusoma, yaani tubishane kwenye MCC huku wenyewe wanafanya yao!Na hivi ndo wanataka. Tukalie siasa za CCM vs CHADEMA wafanye yao. Mkakati wao tushaujua. Magufuli aanze na waliogombea naye Urais kwa kufuatilia nyendo zao kwani kuna kijana mwingine kishaanza mbio za 2020 mapema
Watanzania tujihadhari, vijana wengine wameshanunuliwa na Marekani.Na hivi ndo wanataka. Tukalie siasa za CCM vs CHADEMA wafanye yao. Mkakati wao tushaujua. Magufuli aanze na waliogombea naye Urais kwa kufuatilia nyendo zao kwani kuna kijana mwingine kishaanza mbio za 2020 mapema
Kuna jingine zaidi: JPM alizingua kuonana na envoy ya wamarekani, wachache wanaojua hili --- Akaonana na wachina kabla ya wamarekani.Na juzi kaleta wabunge wa Marekani, lakini JPM kawatolea nje.
Hao vijana watakuwa wameshaingizwa kwenye "system" ya wakubwa, na kwa matakwa yao.
Kwa mbaaaali sasa naanza kuvuta kumbukumbu nini kinachoendelea!Kuna jingine zaidi: JPM alizingua kuonana na envoy ya wamarekani, wachache wanaojua hili --- Akaonana na wachina kabla ya wamarekani.
Je, mchina atamsaidia JPM?
Wachina wanahitaji nini? Na je wako connected na huyu was uRais was 2020?Kuna jingine zaidi: JPM alizingua kuonana na envoy ya wamarekani, wachache wanaojua hili --- Akaonana na wachina kabla ya wamarekani.
Je, mchina atamsaidia JPM?
Mkuu,Wachina wanahitaji nini? Na je wako connected na huyu was uRais was 2020?
Kwa itikadi za hawa mabwana wenyewe walitaka balozi wa USA aonane na Magufuli kabla ya balozi mwingine. Yote ilikuwa ni kuonyesha kwamba wenyewe ni wakubwa duniani. Sasa kwa hili haliwezi kuwafurahisha, wanataka balozi wa USA awe na heshma kuliko balozi mwingine. Ngoja tuone.Mkuu,
Magufuli alikutana na Wachina na Wakorea mapema nadhani itakuwa ni Novemba 30, 2015 na hapo wamarekani tayari walishataka kuonana naye akazingua.
Unadhani picha hii ya Balozi wa Uchina inawafurahisha?
Siku Balozi wa China alipokutana na JPM.
Sasa, JPM afanye kuwafuatilia Nyalandu na Makamba atabaini kuwa mchezo unaochezwa si wa kitoto tena
Inasemekana wenye dunia wanataka kuacha kutoa msaadaMbona uzi karibu zote zinazohusu tz na uranium ni za zamani sana? Kulikoni zimefufuliwa leo!
Kosa kalifanya kumuweka Maropes kwenye serikali yake japo kacheza kama Pele kumpa Wizara isiyompa publicity nje na ndani ya nchi.Mkuu,
Magufuli alikutana na Wachina na Wakorea mapema nadhani itakuwa ni Novemba 30, 2015 na hapo wamarekani tayari walishataka kuonana naye akazingua.
Unadhani picha hii ya Balozi wa Uchina inawafurahisha?
Siku Balozi wa China alipokutana na JPM.
Sasa, JPM afanye kuwafuatilia Nyalandu na Makamba atabaini kuwa mchezo unaochezwa si wa kitoto tena