mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Mkandara umenena! Kwa hali hiyo c haba kuamini kabisa ZZK lengo lake hasa ni kuharibu tu chama na kuandaa mparaganyiko flani
Mtei na wazee wengine ni very smart hawakuingiza mtu ni mtu tuu just because kaweza leta ubishi wa uswazi na kuwashinda wengine.Zitto anthibitihsa hilo kwa vitendo kuwa bado hajastaarabika vya kutosha kuwa kiongozi wa kitaifa pamoja na exposure aliyopata.
Mtei anataka mkaskazini mwenzake.teh teh teh
Mkuu BAK, kuhusu uwepo wa ethics, hizo zipo tena kwenye maandishi!, lakini issue ya jee hizo ethics zinafuatwa?, hapa ndipo tatizo lilipo!. TBC na Magazeti ya Daily News, vinajulikana kama "vyombo vya habari vya serikali" "government media!", kiukweli, hivi sio vyombo vya habari vya serikali, hizi ni "public media", yaani vyombo vya habari vya umma!.Hivi Tanzania kuna ethics!? tangu lini!? hizo ethics ziko katika nyanja zipi? Kama tungekuwa na ethics madudu mbali mbali yanayotokea tungekuwa tunayasikia nchi nyingine tu na si kwetu. Mifano hai ni wale TBC1 na utangazaji wao, magazeti ya uhuru, mzalendo, daily noise jinsi yalivyo biased katika kufukia madhambi ya Serikali ya magamba na kutaka kuinonyesha kama ni Serikali iliyotukuka.
Ila nakubaliana nawe jinsi ulichanganua kuhusu ngoma ikivuma sana....!
Mkuu Facilitator, hili la kutoona, wala kusikia, ni moja ya matatizo ya ndani kabisa ya ZZK, hii inaitwa "ego"!, kwa vile ZZK ni mtoto "born and breed" Chadema, anapoota pembe na kujiona sasa yeye ni mkubwa, ame i over grow Chadema, hivyo haoni, wala hasikii!, kama bado anahitajika nyumbani, then hufunza adabu kwa hizo pembe kukatwa, hivyo kuonyeshwa na kusikilizishwa kwa nguvu kwa mtindo wa "spare the rod and spoil the kid"!, au kama ni kweli amekuwa mkubwa, huachwa ku fall out na kuji detach na base hivyo kuanza kujitegemea!.Wengi sisi tumekuzwa na difficult realities. Huyu dogo naye atajifunza tu mwenyewe as he grows up. Sasa hivi haoni wala haskii.
Mkuu BAK, kuhusu uwepo wa ethics, hizo zipo tena kwenye maandishi!, lakini issue ya jee hizo ethics zinafuatwa?, hapa ndipo tatizo lilipo!. TBC na Magazeti ya Daily News, vinajulikana kama "vyombo vya habari vya serikali" "government media!", kiukweli, hivi sio vyombo vya habari vya serikali, hizi ni "public media", yaani vyombo vya habari vya umma!.
Hivyo TBC ni "public broadcasting station" na sio "government broadcasting station" hivyo inapaswa kufuata ethics za "public broadcasting stations" ndio maana uchaguzi wa 2010, hamkuona kipindi chochote cha chama chochote!. Hata vile vipindi vya "Salva", kwa mwamvuli wa "Kurugenzi ya Mawasiano Ikulu" ambavyo Ahmed Kipozi (ameshapewa asante yake) alivitangaza, Tido, alivigomea!, baada ya ya uchaguzi, Tido naye alipatiwa ujira wake stahiki kwa kusimamia "ethics"!.
TBC ina behave kama "government broadcasting station" kwa sababu hakuna "watu" wa kuinyooshea kidole na kuilazimisha TBC, itimize wajibu wake!. Japo mimi sio mwana Chadema, na Chadema sii lolote sii chochote kwenye kupigania maslahi ya taifa kwa vitendo, hivyo kwenye hili, akina sisi ambao hatuna vyama, tutajikuta kama tunaisaidia Chadema, kwa njia moja au nyingine!.
Gazeti la Uhuru, lenyewe ni gazeti la CCM kama ilivyo radio uhuru, hivyo ni haki yao na halali yao kuegemea upande wao wenye maslahi nao!.
Hakuna faida yoyote ya kuwa na ethics kwenye maandishi ambapo hakuna yeyote yule anayezifuata na hivyo utekelezaji wako ni sifuri. Kwa maoni yangu sheria inayohusiana na vyombo vya habari nchini inahitaji marekebisho makubwa sana ili vyombo hivyo visitumiwe katika kuficha maovu mbali mbali yanayofanywa na Serikali husika eti ni kwa sababu tu ni gazeti/TV la/ya Serikali.
Ikumbukwe Serikali iliyopo madarakani ni Serikali ya Watanzania wote bila kujali itikadi zetu hivyo gazeti/TV station la Serikali ambalo/ambayo linalotumia/inayotumia kodi za walipa kodi ili kujiendesha, kuendelea kutumika kwa kueneza propaganda ambazo mara nyingi zinakuwa si kweli ni kukiuka maadili ya uandishi/utangazaji wa habari.
Sasa hivi tuna vyombo vya habari vingi tu nchini wakati umefika Serikali kuyaachia magazeti na TV za Serikali ili vyombo hivi viwe huru katika kufanya kazi zao kama waandishi au watangazaji bila woga wa kuingiliwa na Serikali.
Kama nje ya mada vile......?
Mkuu Mkandara, asante sana kwa hii link.Ebu msomeni kijana mwenzake January Makamba jinsi alinavyokomaa kisiasa.. Hata kama anautaka Urais lakini he knows how to play the game..source Bofya
Kama nilivyowaambia Jumamosi nilikuwa na Mhe January Makamba ambapo pamoja na kuelezea maisha yake ya kawaida ya kisiasa pia alijibu maswali yenu. Moja ya vitu alivyosema ni kuwa hana mpango wa kugombea Urais.
Alisema anaamini nafasi ya urais inahitaji mtu ambaye amejiandaa Kisaikolojia, Kisiasa na Kifikra na kumalizia kwa kusema kuwa Urais sio uamuzi wa mtu mmoja kwa sababu nchi haiendeshwi na mtu mmoja na inahitaji watu ambao wanashauriana, kuandaa dira ya pamoja na kupeleka ujumbe wa kuwaunganisha Watanzania.
Alipoulizwa Rais anayekuja anatakiwa aweje alisema anatakiwa awe ni mtu atakae waunganisha Watanzania huku akisema mianya ya ukabila, udini na rushwa ambayo baba wa taifa Mwalimu Nyerere aliitaja imeanza kuonekana.
Pia Makamba alisema rais ajaye anatakiwa asiwe mtu mwenye hulka ya visasi na atakiwa awe na uwezo wa kuwaambia wananchi kuwa yeye sio masihi wakuyafanya maisha yao yabadilike papo kwa hapo kwa kuwa nchi ni ya watu wote, hivyo kila mmoja ana wajibu wa kutumia nafasi yake kuleta mabadiliko.
Hapo. Pasco nakukubali maana leo 2012 hadi 2015 ni mbali kuanza kuwashawishi WaTZ km ya Lowasa.either itatokea km alivyosema Mkandara au yaje ya Walid Kabour kwa wana Kigoma wenzie...
ZZK: Namkubali sana tuu ila natatizwa na determination yake ya kuwa a
ZZK alipofanya atempt ya kumvaa Mbowe kwenye Uenyekiti wa Chadema, alikurupuka bila kutoa sababu, na alipojitoa hakutoa sababu za kujitoa!
Kwa vile mpiga ngoma hii mkubwa ni ZZK mwenyewe na ikitokea ngoma hii kupasuka kiukweli, then itakuwa ni haki tukisema aliyeipasua ngoma ya ZZK kwenye urais wa 2015 ni ZZK mwenyewe hivyo wapenzi wa ZZK ngoma ikishapusuka, nawaombeni sana msitafute mchawi!.
Pasco.
ZZK kuwa na mali kuliko umri wake sio tija, ameshitakiwa wapi kwamba amekwiba? Kuna eneo unaloweza kuthibitisha kuwa mali alizonazo ameziiba au kudhulumu sehemu, au ni wapi kaingia mkenge wa kusaini mikataba hewa? msimuonee kijana utajiri sio kipingamizi cha mtu kuwania kugombea urais. hao unaodhani ni wasafi sio chochote.maadamu mwenyewe umejitambulisha kuwa ni masikini basi nakuhakikishia Zitto hafai kuwa Rais wako, yeye alishajitoa kwenye umasikini siku nyingi. Ni fisadi mzuri tu japo mara kadhaa amefanikiwa kuwahadaa watz wasioshughulisha bongo zao kuwa eti ni mpinga ufisadi. Ana mali kuliko umri wake!
Ngoja nimsaidie Mgaya, au na mimi nichomekee kidogo. Kikwete is a historic mistake. Hafai na hakufaa kabisa kuwa rais wa Tanzania. Tusirudie tena kosa hilo.
Labda tu nichomekee kidogo ingawaje iko nje ya mada hapo Bw. Jakaya Kikwete unamweka wapi ktk hizo sifa za kiongozi?
kwa mfano wapi amepwaya?. zitto ni rais wangu na masikini wenzangu