Urais wa ZZK 2015: Ngoma Ikivuma Sana...!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,468
113,583
... Inakaribia Kupasuka!.
Preamble: Mimi ni supporter wa ZZK kwenye urais 2015, ila kwa jinsi hii ngoma inavyovurumishwa na kuzidi kutoa mlio mkubwa humu jf, hii ni ishara mbaya kuwa hii ngoma inakaribia kupasuka!.

ZZK: Namkubali sana tuu ila natatizwa na determination yake ya kuwa a "dare devil!" bila kutoa sababu and once defeated anajinyamazia kimya bila kutoa sababu!. "Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!".

ZZK alipofanya atempt ya kumvaa Mbowe kwenye Uenyekiti wa Chadema, alikurupuka bila kutoa sababu, na alipojitoa hakutoa sababu za kujitoa!. Ndivyo vivyo hivyo 2010 alipotishia kutogombea Kigoma!, akatishia kutafuta jimbo lolote, na sasa anatishia tena 2015 kutogombea tena ubunge bali kugombea urais kupitia Chadema!.

The proper way ilikuwa sio yeye kutangaza nia bali kuwaonyesha Chadema kwa vitendo kuwa anaweza na ni kwa kupitia vitendo hivyo vya kuonyesha uwezo, ndipo Chadema waonyeshe kuwa wanamhitaji ZZK kupeperusha bendera yake 2015, not the other way round!.

Kwa vile mpiga ngoma hii mkubwa ni ZZK mwenyewe na ikitokea ngoma hii kupasuka kiukweli, then itakuwa ni haki tukisema aliyeipasua ngoma ya ZZK kwenye urais wa 2015 ni ZZK mwenyewe hivyo wapenzi wa ZZK ngoma ikishapusuka, nawaombeni sana msitafute mchawi!.

Pasco.
 
Sioni ni kwa namna gani ulivyo 'supporter' wa the daredevil!

By the way sio kukurupuka kama unavyotaka kutuaminisha, kuna namna ya ku-handle mambo ambayo hiyo ndiyo signature style ya ZZK. Let it be!
 
uwezo wa mtu kushika madaraka kwa mtu yeyote hutegemea mambo ikiwemo wafuasi,utendaji wako uliotukuka,ustahimivu,hekima na busara yako on critical issues,weledi na uwajibikaji.kwa zito kuna maeneo amepwaya na mbaya zaidi anakosa hekima na busara ya kiuongozi,popote penye uhuru bila mika huleta fujo,sasa ili tukupime kama unatufaa ni namna gani unaishi na wenzio.unawathamini kwa kiasi gani coz hao ndiyo upo nao kwa muda mwingi kuliko wananchi.umesema vema pasco!
 
... Inakaribia Kupasuka!.
Preamble: Mimi ni supporter wa ZZK kwenye urais 2015, ila kwa jinsi hii ngoma inavyovurumishwa na kuzidi kutoa mlio mkubwa humu jf, hii ni ishara mbaya kuwa hii ngoma inakaribia kupasuka!.

ZZK: Namkubali sana tuu ila natatizwa na determination yake ya kuwa a "dare devil!" bila kutoa sababu and once defeated anajinyamazia kimya bila kutoa sababu!. "Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!".

ZZK alipofanya atempt ya kumvaa Mbowe kwenye Uenyekiti wa Chadema, alikurupuka bila kutoa sababu, na alipojitoa hakutoa sababu za kujitoa!. Ndivyo vivyo hivyo 2010 alipotishia kutogombea Kigoma!, akatishia kutafuta jimbo lolote, na sasa anatishia tena 2015 kutogombea tena ubunge bali kugombea urais kupitia Chadema!.

The proper way ilikuwa sio yeye kutangaza nia bali kuwaonyesha Chadema kwa vitendo kuwa anaweza na ni kwa kupitia vitendo hivyo vya kuonyesha uwezo, ndipo Chadema waonyeshe kuwa wanamhitaji ZZK kupeperusha bendera yake 2015, not the other way round!.

Kwa vile mpiga ngoma hii mkubwa ni ZZK mwenyewe na ikitokea ngoma hii kupasuka kiukweli, then itakuwa ni haki tukisema aliyeipasua ngoma ya ZZK kwenye urais wa 2015 ni ZZK mwenyewe hivyo wapenzi wa ZZK ngoma ikishapusuka, nawaombeni sana msitafute mchawi!.

Pasco.
pole sana.
zzk ama zitto zuberi kabwe ama zuberi zitto kabwe ndio rais wetu 2015.
 
uwezo wa mtu kushika madaraka kwa mtu yeyote hutegemea mambo ikiwemo wafuasi,utendaji wako uliotukuka,ustahimivu,hekima na busara yako on critical issues,weledi na uwajibikaji.kwa zito kuna maeneo amepwaya na mbaya zaidi anakosa hekima na busara ya kiuongozi,popote penye uhuru bila mika huleta fujo,sasa ili tukupime kama unatufaa ni namna gani unaishi na wenzio.unawathamini kwa kiasi gani coz hao ndiyo upo nao kwa muda mwingi kuliko wananchi.umesema vema pasco!
kwa mfano wapi amepwaya?. zitto ni rais wangu na masikini wenzangu
 
kwa mfano wapi amepwaya?. zitto ni rais wangu na masikini wenzangu
maadamu mwenyewe umejitambulisha kuwa ni masikini basi nakuhakikishia Zitto hafai kuwa Rais wako, yeye alishajitoa kwenye umasikini siku nyingi. Ni fisadi mzuri tu japo mara kadhaa amefanikiwa kuwahadaa watz wasioshughulisha bongo zao kuwa eti ni mpinga ufisadi. Ana mali kuliko umri wake!
 
uwezo wa mtu kushika madaraka kwa mtu yeyote hutegemea mambo ikiwemo wafuasi,utendaji wako uliotukuka,ustahimivu,hekima na busara yako on critical issues,weledi na uwajibikaji.

Labda tu nichomekee kidogo ingawaje iko nje ya mada hapo Bw. Jakaya Kikwete unamweka wapi ktk hizo sifa za kiongozi?

 
kwa mfano wapi amepwaya?. zitto ni rais wangu na masikini wenzangu

Mbona humtukani matusi kama unavyowatukana Dr Slaa,John Heche na Mbowe kule Facebook?
Ni aibu kubwa Zitto kutetewa na mtu kama wewe ambaye matusi yako unayoeatukana viongozi wa CDM hayaandikiki hapa JF.
 
... Inakaribia Kupasuka!.
Preamble: Mimi ni supporter wa ZZK kwenye urais 2015, ila kwa jinsi hii ngoma inavyovurumishwa na kuzidi kutoa mlio mkubwa humu jf, hii ni ishara mbaya kuwa hii ngoma inakaribia kupasuka!.

ZZK: Namkubali sana tuu ila natatizwa na determination yake ya kuwa a "dare devil!" bila kutoa sababu and once defeated anajinyamazia kimya bila kutoa sababu!. "Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!".

ZZK alipofanya atempt ya kumvaa Mbowe kwenye Uenyekiti wa Chadema, alikurupuka bila kutoa sababu, na alipojitoa hakutoa sababu za kujitoa!. Ndivyo vivyo hivyo 2010 alipotishia kutogombea Kigoma!, akatishia kutafuta jimbo lolote, na sasa anatishia tena 2015 kutogombea tena ubunge bali kugombea urais kupitia Chadema!.

The proper way ilikuwa sio yeye kutangaza nia bali kuwaonyesha Chadema kwa vitendo kuwa anaweza na ni kwa kupitia vitendo hivyo vya kuonyesha uwezo, ndipo Chadema waonyeshe kuwa wanamhitaji ZZK kupeperusha bendera yake 2015, not the other way round!.

Kwa vile mpiga ngoma hii mkubwa ni ZZK mwenyewe na ikitokea ngoma hii kupasuka kiukweli, then itakuwa ni haki tukisema aliyeipasua ngoma ya ZZK kwenye urais wa 2015 ni ZZK mwenyewe hivyo wapenzi wa ZZK ngoma ikishapusuka, nawaombeni sana msitafute mchawi!.

Pasco.
Nadhani unamaanisha pia na chadema inavyovuma hapa jf pia itakuwa kama zzk. asante kwa taarifa.
 
... Inakaribia Kupasuka!.
Preamble: Mimi ni supporter wa ZZK kwenye urais 2015, ila kwa jinsi hii ngoma inavyovurumishwa na kuzidi kutoa mlio mkubwa humu jf, hii ni ishara mbaya kuwa hii ngoma inakaribia kupasuka!.

ZZK: Namkubali sana tuu ila natatizwa na determination yake ya kuwa a "dare devil!" bila kutoa sababu and once defeated anajinyamazia kimya bila kutoa sababu!. "Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!".

ZZK alipofanya atempt ya kumvaa Mbowe kwenye Uenyekiti wa Chadema, alikurupuka bila kutoa sababu, na alipojitoa hakutoa sababu za kujitoa!. Ndivyo vivyo hivyo 2010 alipotishia kutogombea Kigoma!, akatishia kutafuta jimbo lolote, na sasa anatishia tena 2015 kutogombea tena ubunge bali kugombea urais kupitia Chadema!.

The proper way ilikuwa sio yeye kutangaza nia bali kuwaonyesha Chadema kwa vitendo kuwa anaweza na ni kwa kupitia vitendo hivyo vya kuonyesha uwezo, ndipo Chadema waonyeshe kuwa wanamhitaji ZZK kupeperusha bendera yake 2015, not the other way round!.

Kwa vile mpiga ngoma hii mkubwa ni ZZK mwenyewe na ikitokea ngoma hii kupasuka kiukweli, then itakuwa ni haki tukisema aliyeipasua ngoma ya ZZK kwenye urais wa 2015 ni ZZK mwenyewe hivyo wapenzi wa ZZK ngoma ikishapusuka, nawaombeni sana msitafute mchawi!.

Pasco.


Mkuu P,

Mimi nadhani unatania unapofikiria kwamba ZZK anaweza kugombea urahisi na hata kufikia asilimia 20 ya kura.

Huyu jamaa nilikwishasema kwenye thread moja hivi kwamba mienendo yake inafuatiliwa kuona kama ana kazi mbili au ana mawazo gani.

Halafu mkuu unawa-suport watu wangapi? maana kuna EL na sasa unakuja na huyu, ama! vipi tena?

ZZK pia hana sifa za kuwa raisi wa TZ bali anafaa kuendelea kuwa mshauri wa mambo mengi juu ya taifa letu, lakini uraisi?
 
Pasco naungana na wewe hapa unaposema "Chadema waonyeshe kuwa wanamhitaji". Naamini mambo ya uongozi/urais c suala la mtu kupaza sauti sana (kama aliae nyikani) bali wanaokuzunguka inafika wanakwambia tunakuhitaji,tafadhali gombea. So kwa Zitto unaweza kuona wazi hana nia ya urais bali anayasema haya kwa lengo flani bila shaka kwa kutumwa na kundi flani la watu
 
Back
Top Bottom