Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,206
- 33,223
Kuna watu huwa wanataka umaarufu usio na tija we katiba yenyewe hairuhusu sasa why disturb us na utakaji wa uraisi wakati bado miaka mitatu mbele?
Hivi huwa mnasoma shule gani nyie mbona hata ambao hatujasoma sana twawazidi kasomeni katiba na pia nahakika hatakuwa raisi huyo Zitto
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
katiba inaandikwa upya mkuu,ulikua huna taarifa nini?